Mange Kimambi awavaa January Makamba na Ridhiwani, Ajiunga rasmi 'Team Lowassa'

Mange Kimambi awavaa January Makamba na Ridhiwani, Ajiunga rasmi 'Team Lowassa'

Tatizo CCM wanajichukulia kama wana hati miliki ya kutawala hii nchi...
Hawajui kuwa inawezekana kufikia November nchi hii inakuwa chini ya Ukawa na wao kuwa upinzani...
Hapo ni kuwatengenezea 'Ukawa' mazingira ya kuwa mafisadi bila kuguswa...(no wonder walikaa kimya wakati wa huu mswada)

Ndio mana wataalamu wanasema sheria inabidi iwe fair maana hujui itamshugulikia nani siku za usoni...(prisoner's dilemma)
 
Tatizo CCM wanajichukulia kama wana hati miliki ya kutawala hii nchi...
Hawajui kuwa inawezekana kufikia November nchi hii inakuwa chini ya Ukawa na wao kuwa upinzani...
Hapo ni kuwatengenezea 'Ukawa' mazingira ya kuwa mafisadi bila kuguswa...(no wonder walikaa kimya wakati wa huu mswada)

Ndio mana wataalamu wanasema sheria inabidi iwe fair maana hujui itamshugulikia nani siku za usoni...(prisoner's dilemma)

Umeonaaaa eeeeehh
 
Sheria hii ina mazuri pia, kwa kuwa watu wengi wameathirika kwa kutumiwa vibaya kwa mitandao ya kijamii, wengi sana kwa Mange anaona mbaya kwa sababu yeye anatumia blog yake kudhalilisha wanawake wenzake na kujiona yeye ni zaidi, hakuna mtu ambae hatofautiani na mwenzake au kugombana na marafiki zake ila haiwi sababu ya kuanika mabaya au udhaifu wa adui yako ulimwengu mzima ujue bila kujali ina muathiri vipi kijamii, mpaka sasa anamtolea maneno ya kashfa zari na kumuonesha yeye ni mama wa hovyo kwenye jamii, shamim anamtukana sana kupitia blog yake ila shamim hajawahi andika linalomuhusu mange kwenye blog yake, alimchamba sintah anabeba mimba za majanini hana mume hali na yeye anamtoto aliezaa nje ya ndoa, kifupi mange ana haki ya kuichukia hii sheria kwa kuwa ikipitishwa atashidwa kutoa chuki zake na matusi yake kwa watu. Ila kwa kweli watanzania wengi wamegeuza social media sehemu za kuharibiana heshima.
 
Ndio maana kuna watu kama CAG...tunaanza na tetesi na debate ikiwaka bungeni CAG anachunguza kama kuna facts na evidence...

Sasa unataka whistle blowers waje na facts na wajitaje kwa kuw utawa protect?

- Whistle Blower wanakuwa na Sheria yao iiliyotungwa na kusimamiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani au PCCB kama wanaihitaji hapa Tanzania ni tatizo lao hao sio Social Media, so far walalamikaji mnakosa hoja nzito ingawa mnapiga kelele sana hamna justifications ya kelele zenu ni kweli Serikali baada ya kuwa kimya kwa miaka 53 ya uhuru finally imekuja na Sheria iliyofanyiwa utafiti kwa muda mrefu sana kuhusu matumizi mabaya sana ya Tanzania ya Uhuru wa habari,

- Now mnaambiwa muandike RESPONSIBLY mnali lia nini, wewe una FACTS and EVIDENCE unalia lia nini kuandika kama kawaida ni kwa sababu mnajua kwamba huwa mnazusha zusha tu habari na please trust me maan na hii sheria mpya mtafungwa wengi sana ambao mlikuwa mmejisahau kabisa!!

Le Mutuz
 
Tatizo CCM wanajichukulia kama wana hati miliki ya kutawala hii nchi...
Hawajui kuwa inawezekana kufikia November nchi hii inakuwa chini ya Ukawa na wao kuwa upinzani...
Hapo ni kuwatengenezea 'Ukawa' mazingira ya kuwa mafisadi bila kuguswa...(no wonder walikaa kimya wakati wa huu mswada)

Ndio mana wataalamu wanasema sheria inabidi iwe fair maana hujui itamshugulikia nani siku za usoni...(prisoner's dilemma)

- Watu mnaotetea wananchi kutukanwa bila sababu mkishika nchi mimi nitahama nchi, hahahahahah eti mtashika nchi ipi hiyo?

Le Mutuz
 
- Something had to be done tumeishi bila hizi sheria all our life matokeo yake yalikuwa ni abuse, Tanzania tulishafikia hatua ya kuongoza Duniani kwa Social MEdia Abuse now Serikali inaamua kufanya kazi yake kuna watu mnalia lia yaani mtumzima na akili timamu unaandika article kubwa na mapicha ya watu kisa unalilia HAKI ya kutukana watu bila sababu that is a shame, wale wote mnaolia lia mnalillia only one thing HAKI ya kutukana wengine katika jamii that is sad,

- Mimi watu wote ninaowajua watukana matusi mitandaoni huwa ninawadharau sana na huwa hata sipotezi muda wangu hata kuwasemesha cause na mimi nitakuwa mjinga kama wao, hakuna anayekukataza kusema anything na Sheria ila unatakiwa kusema na RESPONSIBLITY that is all, mimi sijawahi in my life kukurupuka bila FACTS au EVIDENCE kwenye mitandao, na ndio maana wala sina wasi wasi na hii sheria cause nikiamua kumtwanga kiongozi yoyote wa Siasa nitafanya tena bila tatizo kwa sababu siku zote huwa ninakuwa na FACTS ambazo hata yule kiongozi hawezi kushindana nazo hata awe na nguvu vipi,

- Guys badilikeni muanze kuandika na RESPONSIBILITY, wale wote mnaolia lia poleni sana ila this Law is just great at its heart ni from now on mnatakiwa kuandika with RESPONSIBILITY that is all!!

Le Mutuz

Please put your personal issues with Mange aside and discuss the entire law. It doesn't say only about to publish story/ news without evidence, it includes a lot about shutting Tanzanian up and it protect only leaders( Wala rushwa and drug dealers).
It gives authorities to police officers to inspect someone belongings eg phone, house etc without court order.
It also stop Tanzanian to criticise their government.
This is pure dictatorship country, I know you are talking from political views because you're One of them.
If you like your country you could have seen this is not right at all.
 
Hakuna mswada wa dharula wa madwa ya kulevya mfano...bado nao faini unakute 5 m...

he he he...wanaogopa midomo kuliko madhara ya madawa ya kulevya...

Nilimfuatilia Melo BBC..inasikitisha...maana kama wanasema hakuna kuandika chochote bila kuwa na evidence haya mambo ya EPA na Escrow tusingeyajua kama say hii sheria ingekuwa imepitishwa miaka kadhaa ilopita...

Why umpe burden of proof mwananchi wa kawaida..hacha umbea utembee afu serikali ipate kibarua cha ku prove innocence...

Kuna sheria ya right to information (kama niko sahihi) basi nayo iwe implemented kwa serikali kulazimishwa kuwa wazi pindi wananchi wanapotaka taharifa ...maana isije kuwa danganya toto...wakitaka kuficha info wanakimbilia issue ya usalama wa taifa...

Hamna shida...ukweli siku zote una njia ya kujitokeza...

Ni kweli kabisa hii sheria inahitaji marekebisho makubwa mno, watu wengi wana comment kwa chuki zao walizonazo kwa Mange, but the issue ingekuwa addressed na different person ingepokelewa tofauti. Amka Tanzanian, siasa ya bongo ipo kidictator now.
Le Mutuz yy ni mtoto wa former prime minister, na kila cku anagombea ubunge cjii vitu gani. Ni hajabahstiks tuu, siku akifanikiwa atakuwa worse even Riidhwan au January. Point ni kuwa hawezi kuona tatizo ya hii sheria, anajua at some point atakuwa kiongozi tuu so lazima aitee ije kumlinda.

Watanzania someni hiyo sheria vizuri na mchambue kipengele kimoja baada ya kingine badala ya kushikilia matusi ya Mange. Kipengele cha matusi kinaweza kikabaki, Vp kuhusu vipengele vya kuwapa police officers mamlaka zaidi ya mahakama. Vp khs wananchi ku access documents za serikali na kuikosoa serikali, mana tusingejua kuhusu Escorl na mengi yanayoendela kimya kimya. Ridhwani kamaliza masters si zaidi ya miaka kumi now ni millioner, tunataka kujua anepata wapi hizo hela, km si kushitikiana na baba yake kuchakachua nchi.
 
- Watu mnaotetea wananchi kutukanwa bila sababu mkishika nchi mimi nitahama nchi, hahahahahah eti mtashika nchi ipi hiyo?

Le Mutuz

Itakuwa heri kweli ukihama ila uende nchi za kiafrika at least matumizi hayatakuwa makubwa. Mana ukae nchini au uhame ww na family yako mnakula heka za walipa kodi za watanzania.
 
Kinacho nishangaza mimi ni kwamba hii nchi inamatatizo 1000 kidogo, lakini hii sheria ya cybercrime ndio imeonwa ya maana saana ikimbizwe chap chap kusainiwa.

Nchi miundo mbinu mibovu, kukinyesha kidogo barabara hazipitiki, je kuna sheria imepitishwa haraka haraka wajenzi wa hizi barabara zisizodumu wapigwe fine na kunyimwa contract?
Elimi ya Tanzania is on a free fall. Tunaongeza tu madaraj ya kufeli now tuna mpaka Div 5. The quality of education is falling year after year. Private schools zimeshamiri lakini shule za Serikali zinazorota lakini hakuna anayewajibika wa kiwajibishwa from Mawaziri to Walimu. Hakuna sheria ya viongozi hawa kuwajibishwa maana wapo kazini je wanafanya kazi je, ni nani huwafanyia appraisal? Huwa wanasema wameachieve nini year after year?
Afya ndio usiseme. Yaani hii inatia huruma. Wenye hela including Rais wanaenda kutibiwa Marekani na India, meanwhile Muhimbili is struggling.
Tanzanian shilling is also on a free fall because hatuzalishi tuuze nje sisi ni kuimport tu, nchi kubwa namna hii.
Albino's are being killed for how long now? at least 4 years this is continuosly being reported on BBC. How many people have been convicted by now? And how long did it take for JK and his government to outlaw waganga?
But watu wako concerned na kutukanwa mitandaoni.
Why arent they in a hurry to pass a law to make every leader and people in position of power accountable ndio ufisadi uwe unakuwa easily exposed. Nchi imekithiri ufisadi, madawa y akulevya yamekithiri wauzaji madawa hawaogopi tena. Na hii nchi yetu inaambiwa eti kuna wasomi. Le Mutuz I respect you bro, but hii akili kubwa unaiongeleaga sana, you need to look outside social media pia. Tanzania has better things to focus on.
Kuna mahali nilisoma mtu kasema "In Tanzania some of the most educated people, are the most stupid people"
 
Kinacho nishangaza mimi ni kwamba hii nchi inamatatizo 1000 kidogo, lakini hii sheria ya cybercrime ndio imeonwa ya maana saana ikimbizwe chap chap kusainiwa.

Nchi miundo mbinu mibovu, kukinyesha kidogo barabara hazipitiki, je kuna sheria imepitishwa haraka haraka wajenzi wa hizi barabara zisizodumu wapigwe fine na kunyimwa contract?
Elimi ya Tanzania is on a free fall. Tunaongeza tu madaraj ya kufeli now tuna mpaka Div 5. The quality of education is falling year after year. Private schools zimeshamiri lakini shule za Serikali zinazorota lakini hakuna anayewajibika wa kiwajibishwa from Mawaziri to Walimu. Hakuna sheria ya viongozi hawa kuwajibishwa maana wapo kazini je wanafanya kazi je, ni nani huwafanyia appraisal? Huwa wanasema wameachieve nini year after year?
Afya ndio usiseme. Yaani hii inatia huruma. Wenye hela including Rais wanaenda kutibiwa Marekani na India, meanwhile Muhimbili is struggling.
Tanzanian shilling is also on a free fall because hatuzalishi tuuze nje sisi ni kuimport tu, nchi kubwa namna hii.
Albino's are being killed for how long now? at least 4 years this is continuosly being reported on BBC. How many people have been convicted by now? And how long did it take for JK and his government to outlaw waganga?
But watu wako concerned na kutukanwa mitandaoni.
Why arent they in a hurry to pass a law to make every leader and people in position of power accountable ndio ufisadi uwe unakuwa easily exposed. Nchi imekithiri ufisadi, madawa y akulevya yamekithiri wauzaji madawa hawaogopi tena. Na hii nchi yetu inaambiwa eti kuna wasomi. Le Mutuz I respect you bro, but hii akili kubwa unaiongeleaga sana, you need to look outside social media pia. Tanzania has better things to focus on.
Kuna mahali nilisoma mtu kasema "In Tanzania some of the most educated people, are the most stupid people"

Haya yote yatafanikiwa ikiwa watu wana power ya kuongea, mana sasa ukiikosoa serikali ikiwa unasema kweli lkn huna evidence ni kosa.
Unaona mtu anakosea, na anatoa utetezi wa kijinga ukimwambia ni kosa.
Mfano ni hayo ya miundo mbinu, watu wanapewa tenda kwa kujuana na matokeo yake tunajengewa barabara chini ya kiwango, magorofa yanabomoka. Ukipaisha sauti juu kulalamika, utaulizwa una ushahidi tenda ilitolewa kwa kujuana. Ushahidi utakosekana ila ni tabia zilizozoeleka.
Kifupi, hili la kuwafunga watu midomo litaathiri mambo mengi na nchi itarudi nyuma zaidi ya hapo ilipo
 
Please put your personal issues with Mange aside and discuss the entire law. It doesn't say only about to publish story/ news without evidence, it includes a lot about shutting Tanzanian up and it protect only leaders( Wala rushwa and drug dealers).
It gives authorities to police officers to inspect someone belongings eg phone, house etc without court order.
It also stop Tanzanian to criticise their government.

This is pure dictatorship country, I know you are talking from political views because you're One of them.
If you like your country you could have seen this is not right at all.

- Kwanza kabisa huyo uliyemtaja simjui ni nani hasa MWanaume au Mwanamke? Halafu pili unaonekana na mtu unayemini in personal attacks badala ya Taifa na Hoja, Sheria mpya inawalinda Viongozi na Rais kwa ujumla zile tabia za kuandika andika uzushi na uongo kuchafua majina ya wananchi sasa basi, hujakatazwa kuandika about anybody au anything ila unatakiwa kuandika kwa uahkika with FACTS and EVIDENCE kama huna huwezi kuandika tena cause UTAFUNGWA au UTALIPISHWA FAINI hii ni Sheria ya Dunia nzima sio Tanzania tu,

- Sasa hivi ukitaka ku criticise Serikali na Viongozi wake ni lazima uwe na FACTS au EVIDENCE kama huna ni bora ukanyamza maana yatakukuta makubwa sana na mimi naunga mkono sana, juzi nilikuwa ninaongea na Mmiliki wa Samaki Samaki Carlos, alialikwa Ikulu akaonana na Rais na kupiga naye picha mjinga mmoja huko Social Media akachukua zile picha na kuanza kumtukana Carlos na kudai anauza Madawa ya Kulevya, MWanasheria wa Carlos alipombana mbavu jamaa akaaanza kulia lia kuomba msamaha now imegine Image ya Carlos ndio maana ninasema hii sheria ni nzuri wale wote mnaolia lia mna lenu jambo na niwahakikishie kwamba kweli MUTAFUNGWA na hii Sheria mpya mkifanya mchezo,

- Kama Tanzania ni nchi ya kidikteta nenda Rwanda mkuu uone habari ya huko ilivyo pevu, kuhusu mimi wachana na mimi jali maneno yangu kama ninvyojali yako kama wewe unaona wananchi kukumbushwa wajibu wao na Sheria ni makosa sio wote lazima tuwe kama wewe, pole sana ila mimi naunga mkono Sheria mpya 100%, kuanzia sasa kufanya mambo kwa FACTS na USHAHIDI.

Le Mutuz
 
Ni kweli kabisa hii sheria inahitaji marekebisho makubwa mno, watu wengi wana comment kwa chuki zao walizonazo kwa Mange, but the issue ingekuwa addressed na different person ingepokelewa tofauti. Amka Tanzanian, siasa ya bongo ipo kidictator now.
Le Mutuz yy ni mtoto wa former prime minister, na kila cku anagombea ubunge cjii vitu gani. Ni hajabahstiks tuu, siku akifanikiwa atakuwa worse even Riidhwan au January. Point ni kuwa hawezi kuona tatizo ya hii sheria, anajua at some point atakuwa kiongozi tuu so lazima aitee ije kumlinda.

Watanzania someni hiyo sheria vizuri na mchambue kipengele kimoja baada ya kingine badala ya kushikilia matusi ya Mange. Kipengele cha matusi kinaweza kikabaki, Vp kuhusu vipengele vya kuwapa police officers mamlaka zaidi ya mahakama. Vp khs wananchi ku access documents za serikali na kuikosoa serikali, mana tusingejua kuhusu Escorl na mengi yanayoendela kimya kimya. Ridhwani kamaliza masters si zaidi ya miaka kumi now ni millioner, tunataka kujua anepata wapi hizo hela, km si kushitikiana na baba yake kuchakachua nchi.

- Mkuu ungeachana na chuki zako kwa CCM na Serikali ungeweza ukaandika vizuri sana, halafu huyu mtu unayemtaja taja kwamba ndiyo chanzo cha maoni ya watu hapa ni nani hasa? Amewahikufanya nini cha ajabu mpaka unadhani watu wanamchukia mpaka kuwa na maoni ya kupenda Sheria mpya ni nani huyo MWanaume au Mwanamke anafanya nini na yupo wapi hapa Tanzania?

- Wewe sasa ni kiranja wa JF kwamba unajua kila member hapa na sababu inayomfanya kuwa na mawazo tofauti na yako, nani a;liyekupa huo ukiranja? Mimi ningekuwa naogopa anything nisingeingia kwa jina langu hapa, wewe ndio muongo na muoga ndio maana unaingia kwa kujificha ficha unaogopa nini na wewe unasema ukweli? Tuliza boli Watanzania tumeisoma hiyo Sheria haihitaji anything ila kutumika tu, halafu tizama unarudia yale yale yanayokataliwa na Sheria ya uzushi,

- Ridhiwani MWanasheria aliyebobea akitokea IMMA Advocates ambako washiiriki wote huko ni matajairi hata kabla JK hajawa Rais, leo unaleta majungu majungu tu hapa niambie ni MWanasheria gani hapa mjini ambaye ni wa kujitegemea kama Ridhiwani ni masikini? Baba yako hakwenda shule sio kosa letu, tulia mkuu pigana na maisha wacha majungu majungu Ridhiwani ni Mwanasheria wa kujiteegemea na ana ofisi yake ulitegemea awe masikini kwa vipi? Na hawa Wanasheria wengine matajiri hapa mjini baba zao ni marais?

- MKUU FUATA SHERIA MPYA BILA HIVYO UTAISHIA JELA U KNOW

Le Mutuz
 
Kinacho nishangaza mimi ni kwamba hii nchi inamatatizo 1000 kidogo, lakini hii sheria ya cybercrime ndio imeonwa ya maana saana ikimbizwe chap chap kusainiwa.

Nchi miundo mbinu mibovu, kukinyesha kidogo barabara hazipitiki, je kuna sheria imepitishwa haraka haraka wajenzi wa hizi barabara zisizodumu wapigwe fine na kunyimwa contract?
Elimi ya Tanzania is on a free fall. Tunaongeza tu madaraj ya kufeli now tuna mpaka Div 5. The quality of education is falling year after year. Private schools zimeshamiri lakini shule za Serikali zinazorota lakini hakuna anayewajibika wa kiwajibishwa from Mawaziri to Walimu. Hakuna sheria ya viongozi hawa kuwajibishwa maana wapo kazini je wanafanya kazi je, ni nani huwafanyia appraisal? Huwa wanasema wameachieve nini year after year?
Afya ndio usiseme. Yaani hii inatia huruma. Wenye hela including Rais wanaenda kutibiwa Marekani na India, meanwhile Muhimbili is struggling.
Tanzanian shilling is also on a free fall because hatuzalishi tuuze nje sisi ni kuimport tu, nchi kubwa namna hii.
Albino's are being killed for how long now? at least 4 years this is continuosly being reported on BBC. How many people have been convicted by now? And how long did it take for JK and his government to outlaw waganga?
But watu wako concerned na kutukanwa mitandaoni.
Why arent they in a hurry to pass a law to make every leader and people in position of power accountable ndio ufisadi uwe unakuwa easily exposed. Nchi imekithiri ufisadi, madawa y akulevya yamekithiri wauzaji madawa hawaogopi tena. Na hii nchi yetu inaambiwa eti kuna wasomi. Le Mutuz I respect you bro, but hii akili kubwa unaiongeleaga sana, you need to look outside social media pia. Tanzania has better things to focus on.
Kuna mahali nilisoma mtu kasema "In Tanzania some of the most educated people, are the most stupid people"

- Sawa ila kila kitu na wakati wake tumekaa kama Taifa miaka 53 bila Sheria hata moja ya Social MEdia matokeo yake tukawa Taifa la kwanza Duniani kwa Social Media abuse now Serikali imeamua kujibu matatizo ya Social MEdia unalia lia na kurusha majina kama langu WHY? Wewe una wasi wasi gani kama huna mpango wa kuvunja sheria?

- Calm down umeongea sana mkuu ukweli ni kwamba hata mimi naiunga mkono Serikali enough is eunogh, Chadema leo wakikujua kwamba umetoa habari zao za siri wanakupiga ngumi kwenye mkutano tena mbele ya Viongozi wao wa Taifa WHY? Ni kwa sababu hakuna mtu anayependa uongo na usaliti na kuvunjwa kwa Sheria za chama chao, sasa tulieni mfuate sheria tu hamna choice ama sivyo MTAFUNGWA tu!!

Le Mutuz
 
Haya yote yatafanikiwa ikiwa watu wana power ya kuongea, mana sasa ukiikosoa serikali ikiwa unasema kweli lkn huna evidence ni kosa.
Unaona mtu anakosea, na anatoa utetezi wa kijinga ukimwambia ni kosa.
Mfano ni hayo ya miundo mbinu, watu wanapewa tenda kwa kujuana na matokeo yake tunajengewa barabara chini ya kiwango, magorofa yanabomoka. Ukipaisha sauti juu kulalamika, utaulizwa una ushahidi tenda ilitolewa kwa kujuana. Ushahidi utakosekana ila ni tabia zilizozoeleka.
Kifupi, hili la kuwafunga watu midomo litaathiri mambo mengi na nchi itarudi nyuma zaidi ya hapo ilipo

- Hakuna mwananchi wa Tanzania anayekatazwa kuongea ila unatakiwa kuongea na UKWELI pamoja na USHAHIDI tu!!

Le Mutuz
 
Itakuwa heri kweli ukihama ila uende nchi za kiafrika at least matumizi hayatakuwa makubwa. Mana ukae nchini au uhame ww na family yako mnakula heka za walipa kodi za watanzania.

- Sure ila kama wewe na UKAWA mtashika dola ambayo ni ndoto ya mwendawazimu!

Le Mutuz
 
- Mkuu ungeachana na chuki zako kwa CCM na Serikali ungeweza ukaandika vizuri sana, halafu huyu mtu unayemtaja taja kwamba ndiyo chanzo cha maoni ya watu hapa ni nani hasa? Amewahikufanya nini cha ajabu mpaka unadhani watu wanamchukia mpaka kuwa na maoni ya kupenda Sheria mpya ni nani huyo MWanaume au Mwanamke anafanya nini na yupo wapi hapa Tanzania?

- Wewe sasa ni kiranja wa JF kwamba unajua kila member hapa na sababu inayomfanya kuwa na mawazo tofauti na yako, nani a;liyekupa huo ukiranja? Mimi ningekuwa naogopa anything nisingeingia kwa jina langu hapa, wewe ndio muongo na muoga ndio maana unaingia kwa kujificha ficha unaogopa nini na wewe unasema ukweli? Tuliza boli Watanzania tumeisoma hiyo Sheria haihitaji anything ila kutumika tu, halafu tizama unarudia yale yale yanayokataliwa na Sheria ya uzushi,

- Ridhiwani MWanasheria aliyebobea akitokea IMMA Advocates ambako washiiriki wote huko ni matajairi hata kabla JK hajawa Rais, leo unaleta majungu majungu tu hapa niambie ni MWanasheria gani hapa mjini ambaye ni wa kujitegemea kama Ridhiwani ni masikini? Baba yako hakwenda shule sio kosa letu, tulia mkuu pigana na maisha wacha majungu majungu Ridhiwani ni Mwanasheria wa kujiteegemea na ana ofisi yake ulitegemea awe masikini kwa vipi? Na hawa Wanasheria wengine matajiri hapa mjini baba zao ni marais?

- MKUU FUATA SHERIA MPYA BILA HIVYO UTAISHIA JELA U KNOW

Le Mutuz

Hata kwenye developed countries, lawyers are not that rich. Mwache aje ajijibie badala ya ww kuwa kibaraja wake.
Mm sio kiranja na sitokuwa, km mtanzania lazima nisene ukweli SHERIA MPYA NI YA KI DICTACTOR, ITAWALINDA LE MUTUZ NA WENZIE NA SIO MWANANCHI WA KAWAIDA.
Ww na viongozi wenzio mlojivika madaraka yote hamuitakii heri Tanzania. Na wishes zako za wasioitaka hiyi sheria mpya waende Rwanda, soon Tanzania itageuka Rwanda kwa mtindo huu maba watu wamechoka kuburuzwa.
 
Hata kwenye developed countries, lawyers are not that rich. Mwache aje ajijibie badala ya ww kuwa kibaraja wake.
Mm sio kiranja na sitokuwa, km mtanzania lazima nisene ukweli SHERIA MPYA NI YA KI DICTACTOR, ITAWALINDA LE MUTUZ NA WENZIE NA SIO MWANANCHI WA KAWAIDA.
Ww na viongozi wenzio mlojivika madaraka yote hamuitakii heri Tanzania. Na wishes zako za wasioitaka hiyi sheria mpya waende Rwanda, soon Tanzania itageuka Rwanda kwa mtindo huu maba watu wamechoka kuburuzwa.

- Ulianza na nguvu sasa umeishiwa kabisa, unasema hawa Wanasheria wote tunaowaona wanatanua hapa mjini baba zao waliwahi kuwa maraisi mbona unakuwa kama mgeni hapa mjini, unashindwa kuandika hoja za kutetea msimamo wako umebakia maneno maneno ya personal attacks pole sana, wale wote mnaolia lia na hii sheria tatizo moja kubwa ni hamna hoja ila mna kelele kama za mlango, mimi siwezi kusumbuliwa na Sheria yoyote ya nchi kwa sababu mimi sio mvunja sheria,

- Mkuu naomba nikuambie one thing hii sheria mpya ukifanya mchezo utafungwa kweli maana huwezi tena kuja hapa kuzusha zusha ujinga bila FACTS au EVIDENCE utafungwa tu!! na utaburuzwa tu mpaka ujifunze kuandika na RESPONSIBILITY

Le Mutuz
 
Huyu dada ameongea point sana. Ata kama ana mapungufu yake ila hapa amesimama kama mtanzania anaetakia mema nchi yake. Ifike October UKAWA ishike hatam
 
Back
Top Bottom