Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

N

NeNena www.moneypennytz.com utajua kama mshamba au mjanja jinsi gan ulivyo bush man ungekuwa wa mjini ungeshamjua money penny kaanzia wap
Mjanjaa wa wap... Ww wakuja unaonekana bado unapenda kiki... Sasa nkujue utanisaidia nn na mambo unayo ya discuss n ya kinyaluu... Eti huja mfollow mangee.. Sijui diamond.. Sijui na hao wengine Eti ww unafollow kina Beyonce sasa ndo nn...vitu vingine piga story mtaani kwenu uko kama cjataka kujua ulivo viandika... Sasa kama sio Ushamba unaona n nn... Ww money penny
 
Anko anapenda ushilawadu huyu kwahiyo nae anasoma
 
Acha uswahili ww ndio walewale wanaojiita geti kali wakiwa Maisha club anyway uhuru wa manyani.
my dia labda nikueleze kwa kidhungu

Status = MARRIED WITH 3 CHILDREN, SOON TO BE A GRAND MA

VEPE KWANI KUNA MTU KANUNA?!

AHAHAHAHA WEWE NAKUZAA HATA MARA 100
 
kwasababu wabongo ndio wameanza 0 lakini kwa time waliochukua kuwa celebs hakuna walichotengeneza kinachomfanya mtz anaetaka kuwa msanii ajifananishe nao!

mbona akina Shilole sijaskia walitamani kuwa kama Lady Jay Dee?

time limit waliotumia kuupata umaarufu mpaka sasa hakuna walichokifanya cha maana... bora tu tuangaliage wasanii wa mbele kuwasaidia celebs wetu!

ni sawa na wewe kuchukia bongo movie na kupenda movie za kichina za kutafsiri!

hakuna cha kujifunza kwa celebs wetu

sasa kweli Diamond ni wa kuuza KARANGA kwa level yake? we unaona Jay Z au Rick Ross anauza karanga america? acheni utani buana!
 
Hehehe atupe kazi
AJIRA MNAZO WENYEWE KAMA UNAWEZA KUWEKA INTERNMET UKAMFOLLOW CELEB WA BONGO basi unaweza kufukiria mbali ya hapo

NARUDIA!

nDIO Wabongo ndio wameanza 0 lakini kwa time waliochukua kuwa celebs hakuna walichotengeneza kinachomfanya mtz anaetaka kuwa msanii ajifananishe nao!

mbona akina Shilole sijaskia walitamani kuwa kama Lady Jay Dee?

time limit waliotumia kuupata umaarufu mpaka sasa hakuna walichokifanya cha maana... bora tu tuangaliage wasanii wa mbele kuwasaidia celebs wetu!

ni sawa na wewe kuchukia bongo movie na kupenda movie za kichina za kutafsiri!

hakuna cha kujifunza kwa celebs wetu

sasa kweli Diamond ni wa kuuza KARANGA kwa level yake? we unaona Jay Z au Rick Ross anauza karanga america? acheni utani buana!
 
We unafaa kuolewa na le kokobanga mutu ya watu le king of social media le super mutuz mana swaga zako ni za mbelez kama yeye u know!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…