Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #121
so?!kumbe unaongelea utitiri wa vitu, wenzako hao unaowasema hao wa mbele script ya movie moja analipwa ela ya maana zaidi ya Bilion za Kitanzania
Uyo pussy akiniona mimi haji hata siku 1 kazi yake kuzingua mandeziThe List njooo best wangu March Baby mwenzangu uone nanvyowanyoosha wadogo zako!
wewe ndio mshamba mpaka unafuatil;ia money moneyMoney penny.... Mwenzio anajiita money Monday nani Kati ya ww na huyo anajiita izo money money... Au ndio mtu akianza biashara ya kitumbua na mwingine anaanza pia...
But Safi unajitaidi kujiamini utatoboa... Ila next time acha ushamba
Sijamfollow yeyote kati hao na hata akaunti ya insta sina. Lkn usifikiri kila anayemfollow mtu ni kwajili ya kujinufaisha kiuchumi. Wengine are just for intertainment. Hata huko marekani usifikiri wote wanaowa follow celebs wao ni kwajili ya kujifunza market strategy. By the way hongera kwa kuingiza mkwanja kupitia JF but na Mimi kuna angle napiga mkwanja ambazo wewe hupigi.naona!
turudi kwako basi tangu umeingia JF ushatengeneza pesa ngapi? au unawatengenezea pesa ngapi?
hio dola 5000 ni sehemu moja tu nimeongea sijaongea mengine.,.. sijaongea script nimeuza WCB sijaongelea Tamthilia ilionunuliwa na DSTV... my braza subiri baadae sana utanitafuta! sasa hivi weka vocha endelea kuwafollow hao ma celeb!
hakuna movie Tanzania iliyowahi kuwa na budget hata ya milion 500, sasa we script writter hiyo ela hata million mia akulipe nani... Ombea Industry ikue labda na sioni kama ikikua maana nayo imesimama kama mamovie ya wanaijeriaso?!
alianza na bilioni? kaangalia walipoanza kuandika script ndani ya miezi 6 walilipwa bei gani?
afu uje ukae mezani na ulinganishe na yangu uone kama hatukufanana!
umemfanya nini mdogowangu Mange wewe?!Uyo pussy akiniona mimi haji hata siku 1 kazi yake kuzingua mandezi
narudia
hio dola 5000 ni sehemu moja tu nimeongea sijaongea mengine.,.. sijaongea script nimeuza WCB sijaongelea Tamthilia ilionunuliwa na DSTV... my braza subiri baadae sana utanitafuta! sasa hivi weka vocha endelea kuwafollow hao ma celeb!
turudi kwako basi tangu umeingia JF ushatengeneza pesa ngapi? au unawatengenezea pesa ngapi?
hongeraSijamfollow yeyote kati hao na hata akaunti ya insta sina. Lkn usifikiri kila anayemfollow mtu ni kwajili ya kujinufaisha kiuchumi. Wengine are just for intertainment. Hata huko marekani usifikiri wote wanaowanga follow celebs wao ni kwajili ya kujifunza market strategy. By the way hongera kwa kuingiza mkwanja kupitia JF but na Mimi kuna angle napiga mkwanja ambazo wewe hupigi.
Tatizo unaongea kwa imagination na sio uhalisia wa mambo.msanii anaingiza pesa kwa mauzo ya kazi,show,endorsments na investments za pembeni,na hivi vyote vinategemeana na uchumi wa nchi husika.ishu sio policies ishu ni mazingira hayafanani so huwezi linganisha.mimi nachokikosoa hapa ni hyo comparison unayoilazimishakwa utandawazi na policy za nchi kuwa friendly kimuziki tulitakiwa kuwa mbali jombaa!
marekani policies ni tougher than ever regardless of technology!
msisisngizie marekani marekani, haya huyu Diamond mbona amefanya vizuri anachukua ma awards kuliko nchi zingine kwa mara ya kwanza... technology now ipo dunia nzima hamna cha kusingizia
wala hata asifute ili wajione walivyo 0!mkuu achana nao,muombe mod waifute hii topic,usi disclose info za watu uliopiga nao business,unakosea,hutakiwi ku prove anything to anyone humu,sana sana watakazana kukuchefua tu
taja 1 tu mupenzi nikuskieMoney Penny naweza sema una kaushamba fulani mupenzii!?..
haya mhalisia!Tatizo unaongea kwa imagination na sio uhalisia wa mambo.msanii anaingiza pesa kwa mauzo ya kazi,show,endorsments na investments za pembeni,na hivi vyote vinategemeana na uchumi wa nchi husika.ishu sio policies ishu ni mazingira hayafanani so huwezi linganisha.mimi nachokikosoa hapa ni hyo comparison unayoilazimisha
Ndio mana nikakwambia ni context mbili tofauti sana kati ya ulaya/USA na Africa. Utajiri wa dangote tajiri namba moja Africa huwezi kuulonganisha na buffet aliyewahi kuwa tajiri namba moja USA.hongera
kumbuka time haimsubiri mtu
usiridhike na hela unazopiga sasa... kajifananishe na wenzio wa mbele walioanza hiyo biashara unazopiga kwa wakati wako walitengeneza bei gan na wewe unatengeneza ngapi bro!
ni ushauri tu
kwa speed hio ya kusupport vitu vya kitoto havinipi hela bora nibakie raia tu!Kumbe ww Co mzalendo
Mwache afunguke tuu mkuu ndio raha ya humumkuu achana nao,muombe mod waifute hii topic,usi disclose info za watu uliopiga nao business,unakosea,hutakiwi ku prove anything to anyone humu,sana sana watakazana kukuchefua tu