Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Maandishi marefu unamsifia mwanamke aje hapa kiduni tuone uanaharakati wake,sasa mange kwanza chadema baadae!
nimechochea nini? MangeKimambi kaongeza expenditure kwenye bajeti ya wizara ya ulinzi Na wizara ya Mambo ya ndani Na pia idara ya usalama wa Taifa. Watu wamekula posho za kutosha sababu ya kitoto cha kike chenye kigugumizi.Watakwambia wewe mchochezi
Atayaonaje hali anawasubiri ofisini kwake. Wasaidizi wake wamemwambia waandamanaji wenyewe wamefunika sura kuficha aibu yao.Hapo sweden huyo balozi anatakiwa anakili hayo mabango yanasemaje,
huo sio muda wa maongezi ya mdomo aongee na mabango ya waandamanaji.
Akili yako inadhani kuiba 1.5 trillioni ni kama kuchota maharage upike, ok ongeza sauti wakusikie unaodhani watakusaidia.wewe reasoning yako iko wapi??...kula hadi rambi rambi eti kutengeneza miundo mbinu wakati hujui trillion zimefutika na nani,hio ni reasoning au umejaza matope kichwani?
Hakika huyo dada ni wa kipekee na si wa kubeza..ana character ya aina yake!
Masikini maafande, tarehe 25 niliwaona wanakimbizwa mchakamchaka na mvua barabarani sura zao zimejaa uzuni na aibu.Sio kwa kuwatesa huko polisi jamani!!
Akili yako inadhani kuiba 1.5 trillioni ni kama kuchota maharage upike, ok ongeza sauti wakusikie unaodhani watakusaidia.
Pole kwa kufikiri kwa kutumia mtak00 badala ya kichwaHakuna cha mwiba hapa. Kama anajiamini si aje Tz. Huko kanda ya ziwa kuna msemo " mange ni sawa na kipumulio(kijambio) kinachohamasisha wengine kujamba" halafu kikabaki constant after the reaction. Watanzania wanajua Magu anatupeleka wapi. Yeye aendelee kuwashwa huko insta
Haha naona kisu cha mange kimegonga mfupa mnatokwa mapovu kwa uchungu.Malaya huyo ana nini cha kujivunia?? Yaani mleta maada ni kibinyio na unapumuliwa. Yaani maandamano mmeshindwa halafu eti mnajisifia, kweli mmekwisha
Leo ndo kabisaaa hawana hamu kabisaaa!! Kuanzia asubuhi mpaka sa hizi wako mitaani, sijui kama wamekula aki!Masikini maafande, tarehe 25 niliwaona wanakimbizwa mchakamchaka na mvua barabarani sura zao zimejaa uzuni na aibu.
Huyu binti kabinya makende ya nchi
Atoke hapo nje ya ofisi yake wahusika wamesimama na mabango ayasome.Atayaonaje hali anawasubiri ofisini kwake. Wasaidizi wake wamemwambia waandamanaji wenyewe wamefunika sura kuficha aibu yao.
Hawajala wawili nimewaona supermarket wamenunua soda moja na mkate.Leo ndo kabisaaa hawana hamu kabisaaa!! Kuanzia asubuhi mpaka sa hizi wako mitaani, sijui kama wamekula aki!
Mungu mbariki Mange Kimambi , walidhani ni maandamano ya kishamba ya kutoka Manzese kwenda Posta , kumbe wamebugi ! poor ccm !!!Ni mwendo wa kuhamisha magoli tu leo kwa vijana wa UFIPA.....Tuliwaambia mwanamke mwenye LAANA NA MCHAFU kama huyu kamwe hawezi ingiza nchi hii kwenye matatzo...Naishauri tu SERIKALI ICHUNGUZE CCTV CAMERA NA VIDEO MBALI MBALI ZA DIASPORA WOTE walioshiriki kwenye huu UHAINI NA KUCHAFUA TASWIRA YETU iwajue na iwaambie hatuwataki hapa nchini kwetu...Nina amini huko walipo wanajutia
Kuna waropokaji humu wanasema askari wamejazwa barabarani SI KWELI....tutupieni hizo picha za askari tofauti ya hizo za moshi na arusha(PHotoshop)......
Wenzio walikuwa Samora avenue pale Leo we sijakuona ulijificha wapi?Atoke hapo nje ya ofisi yake wahusika wamesimama na mabango ayasome.
Amuige rose migiro yeye amepiga picha hayo mabango amemtumia boss wake apate ujumbe wake.
Mange anawahenyesha sana !Hawajala wawili nimewaona supermarket wamenunua soda moja na mkate.
Weka juhudi kumsapoti..na hayo mengine anayofanya msapoti..alianzia dubai wewe unaweza anzia hata hapa.nachojua watu kama dentist,lawyers nk wanaweza kukuibia hata usijue,sasa wewe endelea kuwasupport serikali zulmat,mie nitaendelea kumsupport Mange,tafadhali usi cross njia yangu,na sita cross kwako?done with you.lol
HIYO INAITWA GIA ANGANIMungu mbariki Mange Kimambi , walidhani ni maandamano ya kishamba ya kutoka Manzese kwenda Posta , kumbe wamebugi ! poor ccm !!!
HahahaHawajala wawili nimewaona supermarket wamenunua soda moja na mkate.
Kamtisha babaenu we unaongea Nn...Ni mwendo wa kuhamisha magoli tu leo kwa vijana wa UFIPA.....Tuliwaambia mwanamke mwenye LAANA NA MCHAFU kama huyu kamwe hawezi ingiza nchi hii kwenye matatzo...Naishauri tu SERIKALI ICHUNGUZE CCTV CAMERA NA VIDEO MBALI MBALI ZA DIASPORA WOTE walioshiriki kwenye huu UHAINI NA KUCHAFUA TASWIRA YETU iwajue na iwaambie hatuwataki hapa nchini kwetu...Nina amini huko walipo wanajutia
Kuna waropokaji humu wanasema askari wamejazwa barabarani SI KWELI....tutupieni hizo picha za askari tofauti ya hizo za moshi na arusha(PHotoshop)......