Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Maandishi marefu unamsifia mwanamke aje hapa kiduni tuone uanaharakati wake,sasa mange kwanza chadema baadae!
Mkuu huyo huyo unaesema mwanamke kuna watu wanafanya sherehe saa hizi kwa kudai wamemshinda, mheshimiwa mkuu wa wakuu wa mikoa Tanzania akiwa ma limutuz na Jery muro wanatumbua kodi zetu.
Huoni kama mange ana nguvu sana mpaka watu kuandaa sherehe kwa ajili ya kujipongeza kwa kuzima maandamano??