Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli

Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli

Ameleta taharuki kubwa nchni.kwakuw jaribu limefeli ya maandamano watawala watakuwa na viburi hawataongoza watatawala wameshawaelewa watanzania ni waoga.wito wangu kwa viongozi wachukue lalamiko ya wanaotaka kuandamana wawafanyie kazi napia wananchi tusiwe waoga kueleza hisia zetu.utawala ukishakuwa wakimabavu huwa unakuwa na mwsho mbya mf gadaf na sadam
Amepanda mbegu ipo siku inaota aisee
Nimeona Polisi wakitia huruma hadi basi
 
Haha naona kisu cha mange kimegonga mfupa mnatokwa mapovu kwa uchungu.
Wewe ndiyo kimegonga nyonga. Maana leo hakuna mbwa wala paka yeyote aliyetoka. Na mgetoka tuwaone nyie mnaojifanya mnataka vita Tz. Yaani leo ndiyo mgetambua kondoo kwa kiigereza anaitwa ship.
 
nimechochea nini? MangeKimambi kaongeza expenditure kwenye bajeti ya wizara ya ulinzi Na wizara ya Mambo ya ndani Na pia idara ya usalama wa Taifa. Watu wamekula posho za kutosha sababu ya kitoto cha kike chenye kigugumizi.
Hata Fid Q Leo hakupanda open roof kwa kumuogopa mlimbwende
Hahahaha kweli GTs JF imevamiwa. Hivi wewe una akili kweli??? Je kichwani mwako umejaza ubongo au ninihiii?? Nadhani wengi wenu mtakuwa na upungufu wa akili, na ndiyo maana wakati mwingine kuwajibu inakuwa ni kupoteza muda.
 
Hahahahahahaaaa, yaani kwa sasa ukiwa mpinzani unatakiwa upimwe akili. Sasa huyu anayeshabikiwa kuwa mwiba ana umwiba gani?? Ameshindwa na maandamano yake yameshindwa wamebakia wehu wachache wanaotafuta sababu za kumsifia huyu psycho aliyeshindwa kuishi hata na familia yake mwenyewe..
 
Hahahaha kweli GTs JF imevamiwa. Hivi wewe una akili kweli??? Je kichwani mwako umejaza ubongo au ninihiii?? Nadhani wengi wenu mtakuwa na upungufu wa akili, na ndiyo maana wakati mwingine kuwajibu inakuwa ni kupoteza muda.
Kabinti kamewaingiza ubaridi hadi masikini hadi mama samia wa watu anatoka kwenye vikao vya saa tisa usiku
 
Polisi hawaajiri ili wakae..walichofanya polisi leo ndio kazi yao ya kila siku..msifie kuwa shujaa wa kutukana labda.
mbona haiwakamati wasiojulikana sasa kama ni kazi yao? kwani hawana kambi za kufanyia hayo mazoezi?
 
Atakam akuna alieandamana ila kama kushika mange alishika nyeti zote sio police sio viongoz wa police nikukimbia kama vichaa kubeba smg nzito kuchezea mafuta ya serikali kushinda njaaa jua Lao mvua yao [emoji1][emoji16]ipo siku isiyo na jina poleni sn ila sio mbay mmepata kaposho,,,, nawakumbuk nao wanashida kam wengine tuu
 
Kabinti kamewaingiza ubaridi hadi masikini hadi mama samia wa watu anatoka kwenye vikao vya saa tisa usiku
Kwani haijulikani nyie mnatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu??? Na ndiyo maana lazima serikali ijiandae kuhakikisha yeyote anayetaka kuvuruga amani yetu anakufa na kutekekea kabisa ili nchi isonge mbele na wapenda amani na maendeleo. Hata huko US aliko huyo malaya wenu waliwaua wasaliti wote mpaka kuja kuwa na kizazi cha wazalendo.
 
Kafanikiwa kwa 100% hata mkuu mwenyewe anajua, viva Mange
 
Ni mwendo wa kuhamisha magoli tu leo kwa vijana wa UFIPA.....Tuliwaambia mwanamke mwenye LAANA NA MCHAFU kama huyu kamwe hawezi ingiza nchi hii kwenye matatzo...Naishauri tu SERIKALI ICHUNGUZE CCTV CAMERA NA VIDEO MBALI MBALI ZA DIASPORA WOTE walioshiriki kwenye huu UHAINI NA KUCHAFUA TASWIRA YETU iwajue na iwaambie hatuwataki hapa nchini kwetu...Nina amini huko walipo wanajutia

Kuna waropokaji humu wanasema askari wamejazwa barabarani SI KWELI....tutupieni hizo picha za askari tofauti ya hizo za moshi na arusha(PHotoshop)......
Well said
 
Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa serikali ya Magufuli
Ikiwa ni zaidi ya miaka miwili sasa tangu Rais John Magufuli wa Tanzania aingie madarakani, rais huyo ameonesha kutokusita kukabiliana na wapinzani wake, kuanzia wanasiasa na hata viongozi wa dini.
Rais Magufuli amethibiti shughuli za kisiasa za wapinzani. Mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa vyote vimezuiliwa, huku viongozi wote wa juu wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema wakiwa wanakabiliwa na kesi mbalimbali mahakamani ikiwa ni pamoja na makosa ya kusababisha vurugu.
Serikali ya Rais Magufuli, ambaye ni muumini mzuri wa kanisa Katoliki, imetishia kuzifutia usajili asasi zote za kidini ambazo aidha zinajihusisha na siasa au kuzungumzia siasa katika mahubiri ya ibada

Lakini sasa rais huyo anakabiliana na upinzani mkubwa katika utawala wake kutoka kwa mwanaharakati wa kisiasa ambaye ushawishi wake bado unawashangaza wengi.
Mange Kimambi, mwanamitindo aliyebadilika kuwa mwanaharakati wa siasa, ndie muasisi wa maandamano yanayaopangwa nchi nzima kupinga kile anachokiita kuwa ni muendelezo wa ukiukwaji wa haki za binadamu na uminywaji wa haki za kiraia nchini Tanzania.
Mange, akiwa na wafuasi karibu milioni mbili kwenye ukurasa wake wa Instagram, ambaye miaka miwili iliyopita aliutumia ukurasa wake Instagram kumuunga mkono Rais Magufulu wakati wa kampeni za urais, leo hii anautumia ukurasa huo huo kuitisha maandamano makubwa ya kumpinga Magufuli na serikali yake.
Mange ni mama wa watoto watatu anayeishi nao Los Angeles, nchini Marekani. Harakati za mama huyo kumpinga Rais Magufuli zilianza kwenye mitandao ya kijamii takribani miezi sita tu baada ya rais huyo kupinga kuonyeshwa mubashara kwa shughuli za bunge kwasababu za kiuchumi.
Wafuasi wake, wengine wakiwa watumishi wa umma, wamekuwa wakimtumia taarifa mbali mbali zikiwemo zile zinazoaminika kuwa nyaraka nyeti za serikali, kufichua kile wasichokubaliana nacho juu ya mwenendo wa serikali. Wapo wengi pia ambao wamekuwa wakimtumia picha na taarifa kuonyesha hali duni ya huduma za kijamii katika maeneo yao.
Mange ni mmoja wa watu wa kwanza nchini Tanzania miaka ya mwanzo ya 2000, ambapo alitumia kurasa zake kuzungumzia maisha yake na marafiki zake pamoja na mitindo ya mavazi. Lakini Mange alizungumzia pia habari binafsi mbalimbali za watu maarufu waishio ndani na nje ya Tanzania, wakiwemo walimbwende, wanamuziki na waigizaji filamu.
Wengi wanaamini habari hizi ndizo ziliwavutia watu wengi kuanza kumfuata katika kurasa zake za mitandaoni.

-Wakati ambapo shughuli za kisiasa za vyama vya upinzani zimedhibitiwa na watu kadhaa wamekamatwa na kushtakiwa kwa kuikosoa serikali kwa namna ambayo mamlaka haikupendezwa nayo, ukurasa wa Instagram wa Mange umefanyika sauti kuu kwa wakosoaji wengi wa serikali ya Rais Magufuli
Wakosoaji wa serikali na wanaharakati wa haki za binadamu wameendelea kuonya kwamba haki za kisiasa na uhuru vyombo vya habari na watu kujieleza vimeendelea kuminywa nchini Tanzania. Hata hivyo serikali imekuwa ikitupilia mbali madai haya.
Mara ya mwisho wafuasi wa upinzani walipoandamana mwezi Februari, makabiliano yao na polisi yalisababisha kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwilline ambaye inaelezwa kuwa alipigwa risasi kwa bahati mbaya.
Ikiwa maandamano haya yatafanyika ama la, ni jambo ambalo wengi wanasubiri kuliona. Lakini muitikio wa serikali katika kuapa kudhibiti maandamano haya umetafsiriwa na wengi kuwa ni mafanikio ya ushawishi wa Mange kupitia ukarasa wake wa Instagram tu, jambo ambalo vyama vingi rasmi vya upinzani nchini Tanzania vimeshindwa kulifanya.
Mbwembwe zoote Leo mlijificha nyuma ya mapazia!tunajua chama cha demokrasia ya matusi ndo kiliratibu maandamano ....nikuulize...mwenyekiti amesharudi toka Marekani!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani haijulikani nyie mnatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu??? Na ndiyo maana lazima serikali ijiandae kuhakikisha yeyote anayetaka kuvuruga amani yetu anakufa na kutekekea kabisa ili nchi isonge mbele na wapenda amani na maendeleo. Hata huko US aliko huyo malaya wetu waliwaua wasaliti wote mpaka kuja kuwa na kizazi cha wazalendo.
Safiii
 
Mbwembwe zoote Leo mlijificha nyuma ya mapazia!tunajua chama cha demokrasia ya matusi ndo kiliratibu maandamano ....nikuulize...mwenyekiti amesharudi toka Marekani!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti CHAMA CHA DEMOKRASIA CHA MATUSI!
Hahahaha
Haki ya Mola wangu walahi uwiii
 
unaniudhi,lol makamanda wanaudhi nao,Mange alipigana mpaka Lissu akapata hela ya matibabu lakini Mange alivyoitisha maandamano wakamkana hawakumpa support,hii nayo ilifanya maandamano kukosa momentum
Nchi hii ingekuwa inaongozwa ktk misingi ya utawala wa sheria leo watu wangefurika barabarani
 
hongera sana Mange kitendo cha mapolice kukaa barabarani ni prove tosha kuwa ni wewe ni mwanamke shujaa... ....kwani nini wangapi wana Instagram account na serikali haiwatambui???? lol
Kwanini hamku muunga mkono kwenye maandamano,badala yake mmebaki kumsifia tu humu kwenye mitandao.
 
Silaa anayotumia mange kimambi ni slaa Kali zaidi kuliko bunduki
 
Back
Top Bottom