Msukule umefufuka
.Hivi huyu mtu kumbe bado yuko hai jamani
.Sikujua
. Mai mi na wewe tunaheshimiana so ntaongea na wewe kistaarabu
Mai hivi kwanini usiact your age? eeeh? Mbona enzi zako zishaaisha jamani? si ujizeekee kwa amani tu nini unachomtafuta Wema lakini ? kakukosea nini huyu unamdhalilisha hivi huko instagram? eeeh? Mai kama unatafuta pakufia kamfie mtu mwingine sio Wema. usijemletea lawama bureeee
Jamani, mbona wewe ulikula maisha, ulifanya yooote ukayamaliza kwa raha zako, ulifanya madudu yote enzi za ujana wako si umuache na wema ale ujana wake? unachomfatia fatia nini? yani hapo unatafuta followers ulivyo huna aibu jamani
. Embu jiheshimu Mai lakini? Kwa age yako bora utuchokoze vizee wenzio kina Mnage, vitoto kama Wema unajichoresha Mtu ushazaaa, unajuwa uchungu wa mtoto kisha kutwa kumchokonoa last born wa mama sepetu
. Alafu kutwa kujifanya mie sijalelewa hivyo kutaja majina ya afamilia yenu eti huyu anafanya kazi hii , wooote ndugu uliowataja choka mbaya, hivi unaweza kufananisha family yako na sepetus??? plssss,Na ungekuwa umelelewa familia ya kistaarabu usingekuwa unamtafuta ugomvi mtoto mdogo kama Wema.. Unachomdhalilishia ni nini? au kuna kitu sie hatukijui Wema alikukosea? au labda mna ugomvi wenu embu tuambie? kha!! jiheshimuuuuuu,,
.. jione ulivyo mrembo, warembo hawana tabia hizi Mai,uzuri wako na tabia zako hazivafanani mai
Embu acha lakini.. Kama ni folliwers utapata huna haja ya kumdhalilisha Wema
. Mie mweneywe na udaku wangu picha za Zari zileee,nilishindwa kurusha humu wewe uanwezaje lakini Mai
. Mai ushayachoka maisha na maisha yenyewe yamekuchoka sasa kafie pengine ,sio kwa Wema
.. Najua utanichamba mpaka maana wewe kwa maneno sikuwezi, ila message delivered Hivi huyu mtoto mpaka siku ajiue ndo mtaona raha? eeh jamani, sawa kuna mafake profile yakutmtukana sasa mpaka real profile kweli muanze kumdhalilisha, is it fair lakini??? Eti ndo alirusha hiii picha, nimeifuta maana sioni sababu ya kuzidi kuisambaza
Wema na wewe unaboa kishenziiii, hujui tu
Unaboaaaaaaaa.. Hujui thamani yakoooooooo, umenishinda tabia wema. Hivi vivulana vichafu vichafu vya nini we mtoto jamani? Hivi huwezi kudate na watu vijana wa mahita, au wa Lowassa (hahahahahahhahahahaha,nna utani jamani ) you get my drift. hivi wewe ni wa kutoka na ex wa Lina ? Huoni ssa Lina anavyotafuta kick kwenye maredio? anakutumia sasa kuongeza umaarafu, kujifanya mjane mfyuuu, hujioni unajishushia heshima for nothing
Huyo kaka hapo anakutia shombo kama tuuuu. Kwanini wewe ndo kila siku uwe na wanaume maskini maskini uwangarishe then waanze kukusumbua? Wa nini? kwanini wewe usiwe yule anaewapata wakishazipata,waishangaaa ule bata tu???? Wema jamani, acha kutoka na hawa ushuziiiii , nachukiiiaaaaa mimi. Ona sasa unavyojitukanisha ovyo. Sasa sibora ungemkubali Ivan angalau unapata aibu huku unapata matunzo ya kukupunguzia mawazo, tungempelekeka jando fasta basi,sasa hapa unapata aibu na shingi kumi hupati ,full shomboooooo
Unaboaaaaaaaaaa,, Hujajijua thamani yako Wema,,,,,, Ulivyo na body # 8 we mtoto, mpaka naona hasira huyo kajamba nani yuko ndani ya shuka na mwili wako
KHA!! Mie dadako tu nishatema toto 3 huyo kaka hanigusii itakuwa wewe mtoto mbichiiii, pls pls Wema
Unaboa sanaa Nimechukia sana leo
Unauzi Wema, Mungu alikuepusha na kina Aunty ila umerudi tena pale pale
mmmh
.. Lina shut your yarp
Utarudishiwa kibwana chako wiki hii hii,,,, hakuna anaemtaka. Huyu anaku deserve wewe sio Wema Sepetu. Unaskia?? So stop ma inteview ya kijinga jinga,huoni haya eti imekuuma ,unajidhalilisha. Si umpotezee tu, mwenyewe unadhani unamdhalilisha Wema kumbe na wewe mwenyewe unajidhalili kuongea na maradio
Ila usikose usingizi Lina hii kazi niachie mimi, huyu jamaaa wiki hii anarudi home, tena mfunge kamba asije kutoroka, anamtia shombo Wema
Yani huyu ni class yako wewe sio class ya Wema Sepetu
.. Na anarudi kwako this weeek
. so untill then shut your yarp
. PS: STAKI MESSAGE ZA KUMTUKANA WEMA SAWA? KAMA HUNA USHARI WA KIISTARABU KAJAMBE MBELE
DADAKE NISHAMTUKANA VYA KUTOSHA
. GNITE NAENDA LALA SASA