Mange Kimambi ni Spika ya Redio tu

Umezama deep mkuu..Safi sana
 
.....alipokuwa anamtukana lowassa hakuwahi hata siku moja kuweka ushahidi!
 
Leo Mange unafurahia kuona unaongelewa humu. Sababu post zako za insta jana uliandika kuwauliza kama jamiiforums wapo tayari na bomu unalotaka kurusha. Na umefanikiwa.
 
Hv ww una mungu?
 
kazi kwenu kashafanya yakee......zamu yenu sasa
 
Huo uozo wangekuwa wametoa UKAWA mngewasifia kweli ila leo kaamua kutufumbua macho mnasema ooogghh muongo, hayo ni matokeo ya kuazisha ugomvi naye, mtajibeba. Kaa mbali na kichaa utaumia, hamsikii
 
Nasikia kasema akitoka huko anahamia kutukana JF,hapa asithubutu tutamfanya kichaa atembee uchi hovyo barabarani
Aaaaaah wapi tunamkaribisha kufungua special page humu atuanikie uozo. Wewe kama ni muathirika wa silaha zake anza kutafuta uhamisho
 

Kwahiyo kwavile sijachangi, au nina miezi saba, ai ni thread ya kwanza siwezi kuongea point, wewe uliyejiunga mwanzo heri yako, ila kama kuna watu na wewe walikupita basi kaa tulia jibu hoja acha kuattack personality. Ukiona unamshambulia mtu na si hoja basi wewe umekwisha.
 

sasa kwani kuchangia kila siku ni lazima nae Ana uhuru WA kuandika ajisikiavyo,so habari za kujiunga sijui Lini sio habari maana hulipwi ukijiunga
 
Ukweli unachoma kama Pasi wacha Atumbue tu,,,Hatumuone yey ni shujaa tunasubir ujumbe wake ukamilike
 
Mtoa mada acha tusome yanayojiri kwani mwisho penye ukweli uongo hujitenga.
 
Kila Binadamu Ana Mazuri Na Mabaya Yake, Hivyo Sio Vibaya Hata Kabisa, Kumsifia Kwa Jambo Jema Ambalo Amelitenda Kwa Wkt Fulani Au Pahala Fulani Ama Ktk Muda Muafaka!! Au Kumkosoa Na Kumkemea Kwa Jambo Baya Ambalo Pia Limefanywa Na Mtu Huyo Ktk Vipindi Hivyo Pia!! Hata Hao Akina Idd Amini Walikuwa Na Mabaya Yao Yaliokemewa Na Wananchi Na Kuna Mazuri Yalio Pongezwa Na Kuheshimiwa!!! Hivyo Hiyo Sio Hoja Ya Msingi, Labda Ungetuambia Kwa Kuwa Alichokisema Ni Uongo, Uzushi, Fitina, Majungu Na Chuki! Kwa Kuweka Ushaidi Wako Kuprove Usemayo!! Hapo Tungeanza Kujitafakari Upya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…