Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Sijawah pita kwa page ya yule mdada baada ya kuona ni kiasi gani ni kigeu geu na mpotoshati,, nakupa muda utaacha pia
Ulionaje kuwa ni mpotoshaji nakigeugeu kama hujapitia na kuangali hebu kuwa basi ,uongee kam mtu anayetumia akili kuandika,narudia acha kuidhulumu nafsi yako kwa kutuambia kuwa humfuatalii huku moyo unakusuta
 
Ulionaje kuwa ni mpotoshaji nakigeugeu kama hujapitia na kuangali hebu kuwa basi ,uongee kam mtu anayetumia akili kuandika,narudia acha kuidhulumu nafsi yako kwa kutuambia kuwa humfuatalii huku moyo unakusuta
Mbona UNALAZIMISHA watu waseme vile unavyotaka wewe ..... Huyo Mange ni kioo chako wewe sio kwa wote,sasa usitake kuona watu wote tuko sawa kifikra.
Kipi anachokisema Mange ni sahihi,au alivyosema Lowasa "kajinyea" ulimuona alipojinyea ???
Au aliposema makamu wa rais Samia Suluhu anataka kujiudhuru,vipi kajiudhuru ???
Au anavyomshauri Wema atafute mabwana wenye hela ndicho unachokiona cha maana ??
Au anakufurahisha kwa vile kila "adui" wa Wema ni "adui" yake yeye, na kila anachokipenda au kukifuata wema ndicho anachokifuata yeye na kukifurahia ??

Unaweza kutuwekea kitu ambacho kakisema huyo "mange wako" ambacho ni cha kweli na kuwa aliweka na udhibitisho wa alichokisema ???

ACHA KULAZIMISHA UPUMBAVU NA UJINGA WAKO WEWE,UWE NI WA WOTE. KAMA MANGE ANAKUFURAHISHA,BASI UJUE SISI WENGINE ANAONGEA UPUUZI WA KIWANGO CHA LAMI.
 
Unapoona mtu anakuwa mkali kujibu hoja ujuwe ukweli umemchoma achana na hayo mabo ya uthibitisho kilichofanya tukuulize maswali ni kitendo cha wewe kusema huyo ni mchochezi na mchonganishi swali rahisi tu ambalo umeulizwa ulijuwaje kama anafanya hayo yote kama husomi anachoandika sasa badala ya kujibu hilo swali umeanza mambo mengineeeee.
 
mange kaeka account private sasa vingine tunashindwa kuchungulia ubuyu aisee
 
mshaurini aiweke account public kwa mana wadau tupo wengi japo hatuna account instagram
 
Yaani mimi nimeanza Kumfaham hapa juzi kwenye sakata la MADAWA ya kulevya... Nimeanzia Tangagiza ndipo nikaelekezwa huko.
 
Naomba nikuweke sawa Mange ni mwanamke asiye penda ujinga hata kama rafiki,familia yake,baba wa watoto wake au mtu yoyote mwenye ukaribu naye akikosea huwa hafichi anakuchana tu ili ujirekebishe na kuhusu ishu ya ccm ni kweli aliwapigia sana kampeni lakini huu utawala ulivyo anza kuvulunda hakusita kuwachana na bado anaendelea kuwachana.
 
Huyu mdada mpotoshaji sanah,, akae huko huko US hatumhitaji Tanzania,, just kufwata mambo kwa ushabiki ni shida sanah,, na huyu mdada ni a living proof kuwa watatnzania tuna ushabiki wa vitu vya ajabu sanah wakati mwingine

.....vyeti vya bashite je?
 
Mleta mada hebu pandisha na haka kapicha
 
HAUKUWA unaongea na mimi,ila mimi nimeku quote kwa vile unaonekana kutaka watu waongee vile unavyotaka wewe,kwahiyo mimi ni mwingine kabisa na ninataka ujibu hoja zangu nilizokupa hapo juu na sio blah za kujifanya hujui ulikuwa unajibishana na nani ???
 
Ushahidi wa kwanza huu hapa kuwa waziri wako wa ulinzi ni mfuasi wa post za mange tulia nakuletea mwingine soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…