Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchafu wa mazingira huo na kama mme wako anatabia hiyo mkataze okMange lemutuz kakushinda insta una mleta huku mbona hyo ni tabia ya wanaume wengi wa kibongo kuchimba dawa popote
MTU mzima aliye balehe nitamkatazaje mana kila cku naona wanaume wanakojoa hata pembeni ya foleni. Hii ni tabia ya wanaume wa kibongouchafu wa mazingira huo na kama mme wako anatabia hiyo mkataze ok
swissme
Kwahiyo wewe unaona anachokifanya huyo jamaa ni sawa na hapo ni mjini watu wanatumia hiyo sehemu wamepaki magari hujui mikijo huwa inaleta harufu mbayaMTU mzima aliye balehe nitamkatazaje mana kila cku naona wanaume wanakojoa hata pembeni ya foleni. Hii ni tabia ya wanaume wa kibongo
Kwani nimesema ni sawa au umenisoma kimakengeza hyo ndo tabia ya wanaume wa kibongo hata Dar hadharani wanajojoaKwahiyo wewe unaona anachokifanya huyo jamaa ni sawa na hapo ni mjini watu wanatumia hiyo sehemu wamepaki magari hujui mikijo huwa inaleta harufu mbaya
Baada ya hapo wana nawa mikono wapi na kuikausha?Mange lemutuz kakushinda insta una mleta huku mbona hyo ni tabia ya wanaume wengi wa kibongo kuchimba dawa popote
Wakishamng'uta jamaa wanaendelea na safari ka mkaanga chips ana shika mshikaki hivo hivo na kumpa mteja. Yan wanaume ni jipu kwanza kukojoa hadharani kuchafua mazingira.Baada ya hapo wana nawa mikono wapi na kuikausha?
Kwahiyo!??????hii picha ina zaidi ya mwaka
Duh inabidi tubadilike kwa kweli.Wakishamng'uta jamaa wanaendelea na safari ka mkaanga chips ana shika mshikaki hivo hivo na kumpa mteja. Yan wanaume ni jipu kwanza kukojoa hadharani kuchafua mazingira.
Tena unakute ni wababa wewe wa pembeni ndo waona aibuDuh inabidi tubadilike kwa kweli.
Fiance wako una uhakika ananawa.Tena unakute ni wababa wewe wa pembeni ndo waona aibu