Franco Zetta
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 1,661
- 843
LEMUTUZ AMPONDA MANGE NAKUSEMA HUWAFUATA WATU MAARUFU TU.
So, ndio kusemaje Wille katika hao maarufu na wewe umo au unajifanya ni maarufu? Na nini hasa umaarufu wako jina la Faza ndio unamo ogelea humo?,unajua sana kujidanganya na unapenda kudanganywa, na kama utoto nao ni kigezo cha mtu kuwa maarufu vizuri hongera.