Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
- hahahahaha huwa unapewa pesa kuja kutetea watu huku so unadhani ni kila mtu, soma tena mada limetejwa jina langu THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, ndio maana nipo hapa kuwaelimisha kwamba akisema Mange sio lazima iwe kweli tumia akili zako kufikiri kwanza okee!!

le Mutuz

yani we bonge kazi yako ni kutumwa tumwa tu na wanaume wenzako,, huyo unaemtetea dr mwaka ana drive range rover sport we unatokwa povu huku na kinoah chako ulichohongwa na davis mosha
 
- pure mburulazzzz sikujui wala sikufahamu nimekublock cause uliandika ujinga na sina business na watu wajinga wasioweza kuona opportunity, mtu mzima unajaza bundle kujakutumia majina ya bandia ni mjinga I have no time for ujinga kwenye my insta, pole sana wala hata sijui wewe ni nani cause nina followers wengi sana! hahahahahah

- Mimi ni Big Celeb. ndio maana unaona hii thread tayari ndio habari ya mjini sasa hivi viewers karibu 8,000 sasa wewe mtu mmoja kwanza hujulikani sio Celeb wa nini ndio maana nimekublock

le Mutuz

If at all you are a big celebrity, why are behaving like a baboon ? Please William if you fail to maintain your status,then try to maintain the status of your parents ! " tell me your friends i will tell you who you are" that aplies to tell me your parents, i will tell who you are!
 
Nachokusifu ni jinsi unavyojua kujibu maswali kisiasa yaani hujibu ile hoja bali ni kumshusha thamani aliyeitoa ama kum attack personly .sasa mimi wapi hapo nlipozungumzia kuhusu dk mwaka,mimi sina tabia ya kumtuhumu mtu bila ushahidi na sijatoa maoni yoyote kuhusu yeye zaidi ya kumwachia yeye mwenyewe na mamlaka husika kutoa ufafanuzi wa hii kadhia.Mimi nimezungumzia tu swala la wewe kila ishu unayobanwa nayo maelezo yako ni eti unatengeneza hela,utafikiri wewe ni wa kwanza ama wa mwisho kutengeneza pesa.hoja nyingi za msingi zilizoletwa hapa hujazijibu.

- hahahaha hoja ya msingi ipi hiyo? Mimi simjui Mange wala sijawahi kuonana naye au hata kujua anafafanaje sasa ninampigiaje simu mtu simjui? Kama kweli nilikuwa nina shida naye ningemwambia Dada yangu lakini sio kumtumia message Mange that is the biggest joke of my life, namshangaa aliyetengeneza hizi sms hahahahaha

le Mutuz
 
yani we bonge kazi yako ni kutumwa tumwa tu na wanaume wenzako,, huyo unaemtetea dr mwaka ana drive range rover sport we unatokwa povu huku na kinoah chako ulichohongwa na davis mosha

- hahahahahaha kumbe walikuhonga hata gari huko walipoku nanihii sasa unadhani ni kila mtu? hahahahahahah

le Mutuz
 
Degree tatu yupo bize kazini😄😄😄
Yaani degree tatu na kukaa kote "mamtoni" hii ndio kazi yakufanya kweli kupigizana kelele na matusi na vitoto insta na mitandao mingine ya kijamii?
 
- pure mburulazzzz sikujui wala sikufahamu nimekublock cause uliandika ujinga na sina business na watu wajinga wasioweza kuona opportunity, mtu mzima unajaza bundle kujakutumia majina ya bandia ni mjinga I have no time for ujinga kwenye my insta, pole sana wala hata sijui wewe ni nani cause nina followers wengi sana! hahahahahah

- Mimi ni Big Celeb. ndio maana unaona hii thread tayari ndio habari ya mjini sasa hivi viewers karibu 8,000 sasa wewe mtu mmoja kwanza hujulikani sio Celeb wa nini ndio maana nimekublock

le Mutuz

Endelea kuwaburuza hao hao mambururaz 8000 wafata upepo.... I remind you this Usim block mtu Kisa kakushinda hoja... huo ni umburulaz wako wa kwanza.... nawasi wasi nahizo degree zako nahisi zote ni majipu.... mbili hao viewers 8000 if wote wanakuunga mkono kwa kila kitu unacho kiandika basi tambua you are a Leader of super Wapumbavu wenzio! Le mutuz u should go back to school ukaongezee degree ziwe 6 maybe then ndio utaweza kukua kichwa maana now naona una mwili jumba content.0. 001.... ninacho kueleza hakiitaji hata certificate kunielewa. Over.
 
If at all you are a big celebrity, why are behaving like a baboon ? Please William if you fail to maintain your status,then try to maintain the status of your parents ! " tell me your friends i will tell you who you are" that aplies to tell me your parents, i will tell who you are!

- Behaving like babooon is when a human being stops using his name and starts to use fake ID like you, that is babooon bahvior hahahahahahaha, and by the way I pay for my life hahahahah

le Mutuz
 
Endelea kuwaburuza hao hao mambururaz 8000 wafata upepo.... I remind you this Usim block mtu Kisa kakushinda hoja... huo ni umburulaz wako wa kwanza.... nawasi wasi nahizo degree zako nahisi zote ni majipu.... mbili hao viewers 8000 if wote wanakuunga mkono kwa kila kitu unacho kiandika basi tambua you are a Leader of super Wapumbavu wenzio! Le mutuz u should go back to school ukaongezee degree ziwe 6 maybe then ndio utaweza kukua kichwa maana now naona una mwili jumba content.0. 001.... ninacho kueleza hakiitaji hata certificate kunielewa. Over.

- Ina maana na wewe ni mpumbavu maana haiwezekani ukatoa mishipa na mapovu na wewe sio mpumbavu hahahaha

le Mutuz
 
Degree tatu yupo bize kazini
Yaani degree tatu na kukaa kote "mamtoni" hii ndio kazi yakufanya kweli kupigizana kelele na matusi na vitoto insta na mitandao mingine ya kijamii?

- nikiwabana mbavu mnakuwa watoto wadogo hahahahahahahahaha umetisha sana hahahaha

le Mutuz
 
- Behaving like babooon is when a human being stops using his name and starts to use fake ID like you, that is babooon bahvior hahahahahahaha, and by the way I pay for my life hahahahah

le Mutuz

Which life, to sell girls to your big potatoes so you can earn your living?! You are old enough to be respected! Sometimes silence means wisdom!
 
I am telling you William, you are the source for your parents to lose political influence because people/voter relate your stupidity/behavior with your parents that's why i am advising you to let you parents be respected by hiding your childish behaviour while you are 70's of age !
 
Which life, to sell girls to your big potatoes so you can earn your living?! You are old enough to be respected! Sometimes silence means wisdom!

- I must have sold you first that is why you are familiar hahahahahahahah

le Mutuz
 
I am telling you William, you are the source for your parents to lose political influence because people/voter relate your stupidity/behavior with your parents that's why i am advising you to let you parents be respected by hiding your childish behaviour while you are 70's of age !

- hahahahahaha say it again my dad is retired because of my behavior? hahahahahahahahaha nonsense at best!1

le Mutuz
 
- hahahahahaha say it again my dad is retired because of my behavior? hahahahahahahahaha nonsense at best!1

le Mutuz

What about his wife ? Also retired ? It was just my advice to you, since you neglected, let me now handle you to the little boys/girls to teach you how an old man should behave!
 
What about his wife ? Also retired ? It was just my advice to you, since you neglected, let me now handle you to the little boys/girls to teach you how an old man should behave!

- So you are saying Same East voted his wife out because I AM THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK? hahahaha more nonsense!! you should learn to advice your foolish self, you want to be respected use your own real ID as long you stay fake you are just fake ok hahahahahaha

le Mutuz
 
Hivi sijui Le Mu tuz ni raia wa nchi gani? Mange pamoja na mdogo wake Saada nimesoma nao. Mange hakuwa hivi huko nyuma.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom