Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
Degree tatu yupo bize kazini😄😄😄
Yaani degree tatu na kukaa kote "mamtoni" hii ndio kazi yakufanya kweli kupigizana kelele na matusi na vitoto insta na mitandao mingine ya kijamii?

you killed bro hahahaa

Damn
 
attachment.php
akiwa na age mates wake ndani ya xxl after xul bash

Teh teh teh hivi after xul bash si ya wanafunzi kidato cha sita kushuka chini au?
 
Le Mutuzi ndo nani huyo? mmesema ana Degree tatu sasa mbona anaspell broken? My little sister who is kindergartener ameobserve hilo sio mimi!
 
Sioni na sielewi kabisa kwanini Dr. Mwaka anaandamwa namna hii.

Siasa za kijinga, pluss wivu wa kike pluss ignorance...

Na pia ushindan wa kibiashara..kuna wapinzan wake anawafunikaaa
 
Nenda kwenye Account ya mange insta Kaweka Video nayo usipo Amini duuu!

Video alishaitoa sababu maadui wake wengine walimuunbua kwa kuwa na app ya kuendesha teksi UBER.

Wanamcheka mke wa tajiri anavyoringa kumbe anapandisha abiria kula.
 
Mange sio mtoto wa dada ake Lemutuz. Hawana hata undugu. Hasira nazo za kukataliwa kukaa Upanga zinahusu nilishangaa nilikuwa simuoni kitaa hicho cha upanga napoendaga na alikuwa bongo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1450214953.613083.jpg
SIMJUI MTU HUYU.....!
Hapo ndio utagundua chizi karogwa tena haaa haa eti kasema hamjui Le super Hero kweli babu kaishiwa pumzi kwa binti kama hata uyu hamjui basi wanaokuamini wana kazi kubwa.
 
Miogoni mwa degree hizo tatu kuna moja ya "Bachelor of arts and american war and civil right war with latin history. Useless!!

No wonder anashinda anazurula hovyo hovyo mitandaoni..hana namna kshavurugwa huyu kibabu.

Acha mange ampe za uso.
 
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka

Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka kwa hali na mali huku Mkimama wetu Mange kimambi Akimkosoa vibaya sana Dr Mwaka akidai elimu ake kapata Google!

Mzee wa degree 3 anaonekana sana kumtetea Dr.Mwaka hadi akaamua kumpigia simu Mange ili aache kile anacho kifanya kwani ana Contract inabido asign kwa Dr.Mwaka

Mange hajakausha kaamua Kumumbua Le Mutuzi kwa Kupost text zote alizotumiwa na kujibu

Baadae kidogo baba la baba Mtu munene Akajibu kuwa hizo ni text za kutengenezwa na akidai Mange kazitengeneza yeye hajawahi kumpigia simu Mange wala kuchat Nae ila anakiru kuwa Namba ni yake

Kabla hilo halijakaa sawa Mama la Mama Mange kimambi Akarudisha mapigo kwa kupost Video ikionesha kupitia Iphone ake anafungua app ya whatsapp then anaenda kwenye conversations anatafuta namba ya Le mutuzi Mara vuuu Aniona hii hapa Anaifungua na kuonesha kuwa kile alicho screenshot ni cha kweli pale hata mimi Naamini ile Conversation siyo ya kutengenezwa ni ya kweli

Baba la baba baad ya kuona hilo akajibu tena kwa majigambo

Najaribu kusoma Comment za watu insta kwa page ya Le mutuzi naona watu wamevurugwa wapo teari kama niblock wapigwe tuuu Ila wanadai Le mutuzi na Dr mwaka Nijibu na Mange analitumbua

Jamani siwezi kuelezea yote ila Kifupi ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu Le mutuz Kashikwa vibaya sana huko ingekuwa vita Angekuwa kashindwa

Mange pamoja kupelekewa dau la pesa lakini Kagoma kufuta post anasema anataka kuwatetea akina mama wote

Katishiwa uchawi lakini bado hebu nendeni huko insta mkaone

Mange Kaweka pia link inayo onesha elimu ya Dr Mwaka

Home
Mbona lemutuz hasndikagi hivyo .hayo MANENO sio choice ya lemutuz.i don't think ni yeye
 
Mbona lemutuz hasndikagi hivyo .hayo MANENO sio choice ya lemutuz.i don't think ni yeye

Umemzoea kwa haya

U know haahaahaha

Le mbebezzzzz

Le Mualikozzzz

Le super mbebezzzz

gademu mburulaZzzzz

Hapo alibanwa asingeweza kusema hivyo alikuwa mpole na nidhamu ya hali ya juu
 
- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?

- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"

- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!

- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU

le Mutuz
Sio biashara ya utumbo tena?
 
Sio biashara ya utumbo tena?

Afu huyu Le Mutuzi Sijui Yupo Jambo lipo Serikalini Linasubiri Sheria ifuate Mkondo wake Lakini yeye hatulii kila siku kila Leo lazima Apost kitu kinacho husu Kumtetea Dr mwaka Hapa ndo naamini kuwa kalipwa

Sahizi anataka Naibu waziri aombe msamaha yeye ni nani Hapa nchini kwanini Asisubiri sheria ifuate mkondo wake?
 
- Ina maana na wewe ni mpumbavu maana haiwezekani ukatoa mishipa na mapovu na wewe sio mpumbavu hahahaha

le Mutuz

Hili jambo limeshafika kwa Wahusika Sahizi lipo kisheria linasubiri sheria ifuate Mkondo wake

Mbona wewe mwenzetu huko instagram hutulii kila siku kila leo wewe Ni kupost kuhusu kumtetea Dr Mwaka na kumponda Naibu waziri unataka aombe hadi radhi akati jambo bado halija amliwa kisheria hivi wewe ni nani Hadi uwe juu ya sheria

Mbna muhusika kakaa kimya lakini wewe kila siku ni kumtetea kwanini usisubiri Maamuzi yafanyike ndo uje uandike yale unayo yaandika Boy are u serious kweli?

Wewe ni Msomi kweli? Kumbuka mambo ya kisheria hayanaga siasa wala urafiki unaijua RULE OF LAW vizuri kweli? Mbona kama unamlazimisha Naibu waziri kuharakisha kuchukua Maamuzi Akati bado analishughulikia?

Hebu acha hiyo kitu wewe ni mtu mzima bhna kaa mbali na sheria acha viongozi wafanye kazi ake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom