Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Wacha wote waone uchungu kutukaniwa Watoto. Hakuna mtoto aliye bora kuliko mwingine. Kama Zari aliwahi kutukaniwa Tiffa na Uchungu haupoi. Na akaamua kulianzisha tena yeye mwenyewe Zari Baada ya Mange kuwa kimya. Nadhani awe mpole tu. Yeye na fans wake. Kila mtu sdawa imuingie taratibu.
Makiseo kama ulivyosema ulimfahamu mange tangu u turn nadhan uliona mchokozi ni nani,uchungu haupoi,zari kadhalilishwa sana na mange plus fekero lake la original. Yes hilo ni fekero la mange kila kukicha matakoni mwa zari.

so mamie watoto wa mange ndio binadamu ila wa wengine sio ee????
 
Kuja kwenye saga la juzi sijaona chochote kwenye account ya zari ya insta kumtukana mange. Use brain mama brain but kuja kwa mange uwiii full kujichoresha insta eti victim pheeewww
Kwa hiyo unataka kuniambia hukuona jinsi Zari alivyo wa abuse watoto wa Mange na kuwaita sijui cheap machotara and Blah blah nyingi?
 
Tuheshimiane dada yangu, nani anawa follow mashoga? Nipo JF sijawahi kumtukana mtu yoyote alafu ww mwanamke nakuheshimu. Wewe kama Mange unamuona wa muhimu ni ww wengine si tunamwona mshamba na mpuuzi, tuheshimiane kwani sijakuvunjia heshima.

Mara ya mwisho kuingia instagram 2015 baada yakuona wapuuzi kama hawa wakina Mange wamejaa, hata mimi kutukana najua, ila JF sio mahala pake au labda ww ndiye Mange mwenyewe?.
Yaishe kaka angu. Nilitaka tuu ku refer watu wanaoponda wengine kumbe wanafollow ujinga mwingine.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kuja kwenye saga la juzi sijaona chochote kwenye account ya zari ya insta kumtukana mange. Use brain mama brain but kuja kwa mange uwiii full kujichoresha insta eti victim pheeewww
Huyo Zari naye ni wale wale tu. Anachamba watu halafu anafuta. Ila hiyo ya kuwatukana watoto wa Mange aliiyacha. Nadhani na wengi waliiyona. Wakimwambia wanakula block.
 
Pole sana naona unavyohaha kujibu kila mtu msukule bana
Na wewe msukule ongea facts acha kuja na ufala wa kuita watu misukule hata ww ni msukule pia. Naona msukule wewe unajifanya matawi ya juu kila ishu wajua weye. Tunaongea yaliyojiri kama kumtetea mange mie msukule na ww jidada la zari ni kimsukule plus plus
 
Hio sikuona nionyeshe tena weka account verified ya zari halafu uje ulinganishe na matusi ya mange kwa watoto wa zari. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. This time mange kapata kiboko yake mpaka kawatuma huku kuja kumsambazia sympathy aiseeee
Kwa hiyo unataka kuniambia hukuona jinsi Zari alivyo wa abuse watoto wa Mange na kuwaita sijui cheap machotara and Blah blah nyingi?
 
Huyo Zari naye ni wale wale tu. Anachamba watu halafu anafuta. Ila hiyo ya kuwatukana watoto wa Mange aliiyacha. Nadhani na wengi waliiyona. Wakimwambia wanakula block.
Unajua mtu ukimpenda huoni udhaifu wake waona wa wengine bora hata mtu ukiri kua na huyo umpendae ana madhaifu yake lakini si kutetea tuu
 
Mange hajawahi kukaa kimya kumtukania zari watoto. Habari mbaya kwenu ni kuambiwa account ya original ni ya mange,mnapinga kwa nguvu zote wakati ukweli ndio huo.
Wacha wote waone uchungu kutukaniwa Watoto. Hakuna mtoto aliye bora kuliko mwingine. Kama Zari aliwahi kutukaniwa Tiffa na Uchungu haupoi. Na akaamua kulianzisha tena yeye mwenyewe Zari Baada ya Mange kuwa kimya. Nadhani awe mpole tu. Yeye na fans wake. Kila mtu sdawa imuingie taratibu.
 
Naona unataka kulia kabisa,this time zari kawakamata pabaya na vile mshamaliza kashfa zooote mnaumia sana

ZARI, ZARI, ZARI, ZARI LE PANIC BUTTON PHEEEEWWWWW
Na wewe msukule ongea facts acha kuja na ufala wa kuita watu misukule hata ww ni msukule pia. Naona msukule wewe unajifanya matawi ya juu kila ishu wajua weye. Tunaongea yaliyojiri kama kumtetea mange mie msukule na ww jidada la zari ni kimsukule plus plus
 
Oooh!!kumbe hukuiyona ndiyo maana. Pole. Ungeiyona nadhani ungeelewa ninachosema. Unadhani Mange alikurupuka tu akaanza kuwatukana watoto wa Zari? Wala sihitaji kuweka Acc. Yake hapa. Yeye aliwezaje kuweka watoto wa wenzake na kuwaita Machimpazee na kuwafanyia Editing kabisa? Tena kwa Mwanamke unayeitwa Mama anafanya hivyo hadi ku edit. Aliona akiwaweka hivyo hivyo haitoshi? Sasa Mange anajibu Mashumbulizi anaonekana Mbaya?
Hio sikuona nionyeshe tena weka account verified ya zari halafu uje ulinganishe na matusi ya mange kwa watoto wa zari. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. This time mange kapata kiboko yake mpaka kawatuma huku kuja kumsambazia sympathy aiseeee
 
Kati ya huyo Mange na Zari sioni wa kumcheka au kumwandama mwenzie. Wote ni wale wale tu. Labda kasoro tarehe.
Mange hajawahi kukaa kimya kumtukania zari watoto. Habari mbaya kwenu ni kuambiwa account ya original ni ya mange,mnapinga kwa nguvu zote wakati ukweli ndio huo.
 
Maskini yaan kabisa unajigeuza victim uwiiiiii mange huyu huyu aliyetukana watoto wa wenzie mashoga mara wasagaji eti wanae kuitwa chipanzeee unataka hadi kulia

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi - JamiiForums

Blogger Mtanzania adaiwa kupelekea mtu kujiua kwa kumtukana kupitia blog yake - JamiiForums

Mpelekee boss wako,silent follower wa zari
Oooh!!kumbe hukuiyona ndiyo maana. Pole. Ungeiyona nadhani ungeelewa ninachosema. Unadhani Mange alikurupuka tu akaanza kuwatukana watoto wa Zari? Wala sihitaji kuweka Acc. Yake hapa. Yeye aliwezaje kuweka watoto wa wenzake na kuwaita Machimpazee na kuwafanyia Editing kabisa? Tena kwa Mwanamke unayeitwa Mama anafanya hivyo hadi ku edit. Aliona akiwaweka hivyo hivyo haitoshi? Sasa Mange anajibu Mashumbulizi anaonekana Mbaya?
 
Hahahahhaha hizi ni kauli za mkosaji,zari hajawahi mdhalilisha rais mseven,hajawahi tukana watoto wa shost zake wala kutoa list ya watu aliogombana nao. Hajawahi anzisha blog na kuijaza misukule ya kumtetea kila anapovurunda kubwa kuliko hajawahi mdhalilisha mama ake wa kambo kisa mali za dad ake
Kati ya huyo Mange na Zari sioni wa kumcheka au kumwandama mwenzie. Wote ni wale wale tu. Labda kasoro tarehe.
 
Hivi hao sijui kina Zari na Mange mnaowaongelea hapa ndio kina nani hao? au mimi naishi dunia nyingine?!!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Back
Top Bottom