Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Nipanick Zari??? Shoga umechemshaaa zari anipanikishe ananilisha? Au Mange ananilisha? what I like abt Mange ni kunipa mambo ambayo siyajui otherwise siwezi acha lala kisa mtu. Zari ninamfollow pia kuna mambo mazuri pia nayaangalia. Lakini Zari hawezi kunipanikisha for what? Yy anaishi maisha yake na mm naishi yangu Zari ni Zari hawezi kua cajojo so how nipanick. Acha ushabiki maandazi. Hapa tunaongelea ugomvi wao wa wtt ndo maana kwa sisi tunaotetea tunazungumzia huo tuliouona juzi yeye Zari ndo alianza. Sasa waja na makaburi yako ulofukua sijui uturn. Kama hatukuona huko nyuma ndo kukupinga useme tuna panick???. Acha ushabiki maandazi otherwise uko vzrNaona unataka kulia kabisa,this time zari kawakamata pabaya na vile mshamaliza kashfa zooote mnaumia sana
ZARI, ZARI, ZARI, ZARI LE PANIC BUTTON PHEEEEWWWWW