Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Naona unataka kulia kabisa,this time zari kawakamata pabaya na vile mshamaliza kashfa zooote mnaumia sana

ZARI, ZARI, ZARI, ZARI LE PANIC BUTTON PHEEEEWWWWW
Nipanick Zari??? Shoga umechemshaaa zari anipanikishe ananilisha? Au Mange ananilisha? what I like abt Mange ni kunipa mambo ambayo siyajui otherwise siwezi acha lala kisa mtu. Zari ninamfollow pia kuna mambo mazuri pia nayaangalia. Lakini Zari hawezi kunipanikisha for what? Yy anaishi maisha yake na mm naishi yangu Zari ni Zari hawezi kua cajojo so how nipanick. Acha ushabiki maandazi. Hapa tunaongelea ugomvi wao wa wtt ndo maana kwa sisi tunaotetea tunazungumzia huo tuliouona juzi yeye Zari ndo alianza. Sasa waja na makaburi yako ulofukua sijui uturn. Kama hatukuona huko nyuma ndo kukupinga useme tuna panick???. Acha ushabiki maandazi otherwise uko vzr
 
Maskini yaan kabisa unajigeuza victim uwiiiiii mange huyu huyu aliyetukana watoto wa wenzie mashoga mara wasagaji eti wanae kuitwa chipanzeee unataka hadi kulia

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi - JamiiForums

Blogger Mtanzania adaiwa kupelekea mtu kujiua kwa kumtukana kupitia blog yake - JamiiForums

Mpelekee boss wako,silent follower wa zari
Sasa mimi na wewe nani Silent Follower?? Kama Boss wako anapost picha huoni. Unaomba uwekewe Acc. Hapa mara bla blah sijui na hizo picha huoni wewe na mimi nani silent follower wake?
Halafu hoja inajibiwa kwa hoja. Kumtetea Mange au Huyo Zari hakufanyi mtu kuwa fans wake. Sasa nashangaa wewe kila anayemtetea Mange ni Msukule mara sijui watu wanataka kulia.
Sioni unachojibu zaidi ya kushambulia watu na maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Kwa hiyo na wewe Zari anavyotukaniwa watoto unataka kufanyaje? Maana naona huna tofauti na hao Shabiki wa Mange.
 
Mbona umejikita huko. Sijui kutukana na nini? Mange ni Mwandishi kama walivyo waandishi wengine.Na ana uandishi wake unaomtofautisha na wengine. Usilazimishe wafanane. Huyo Zari na Mange wakae watulie walee watoto. Maana kama ni upuuzi wote wamefanya.
Hahahahhaha hizi ni kauli za mkosaji,zari hajawahi mdhalilisha rais mseven,hajawahi tukana watoto wa shost zake wala kutoa list ya watu aliogombana nao. Hajawahi anzisha blog na kuijaza misukule ya kumtetea kila anapovurunda kubwa kuliko hajawahi mdhalilisha mama ake wa kambo kisa mali za dad ake
 
Sasa mimi na wewe nani Silent Follower?? Kama Boss wako anapost picha huoni. Unaomba uwekewe Acc. Hapa mara bla blah sijui na hizo picha huoni wewe na mimi nani silent follower wake?
Halafu hoja inajibiwa kwa hoja. Kumtetea Mange au Huyo Zari hakufanyi mtu kuwa fans wake. Sasa nashangaa wewe kila anayemtetea Mange ni Msukule mara sijui watu wanataka kulia.
Sioni unachojibu zaidi ya kushambulia watu na maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Kwa hiyo na wewe Zari anavyotukaniwa watoto unataka kufanyaje? Maana naona huna tofauti na hao Shabiki wa Mange.
Hajielewi huyo anakimbilia ku abuse watu kwa majina ya kishamba.
 
Huyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond
Either Diamond Amefanya Jambo zuri au baya yeye anatukana tu.
Kipindi anafanya harakati za siasa nilikuwa naona kama anajenga hoja Kama mtu mwenye utimamu lakini kwa sasa dishi channel zimekata

Mkuu

Alipigwa 350,000USD na jiwe asimfatilie.

Sasa topic hana kaamua amgeukie Diamond full swing!

Pia anakomaa na Zari day and night...!

Main issue ya CCM kashaiacha anakula fungu at the moment,hatakaa aiguse tena,hata Bashite afanye nini,hatamgusa!
 
Yeye ndo kapanick hajatulia. Ukweli upo wazi tuu kwa ugomvi wa juzi kaanza shoga ake Zarina
Hivi unajua Binafsi sijaelewa ule ugomvi ulitokana na nini? Maana nilishangaa tu Zari kaanza kupost picha.
 
Hivi unajua Binafsi sijaelewa ule ugomvi ulitokana na nini? Maana nilishangaa tu Zari kaanza kupost picha.
Na mm niliingia kwanza page ya Mange nikaona ameandika sitoi kiki na comments chini wanaandika Mange achana nae usimjibu hata kama amekutukania wtt wako. Kule kwa Zarina sikuona kwny page yake hayo matusi so nikawa nashangaa kumbe sijui alisnap ndo watu wakawa wamezituma hizo snap shot zake matusi ya hajaa. Naona Mange yalimshinda ndo na yy akaanza
 
Hamna kaburi nililofukua kama huamin nenda kakoment kwenye hizo link uone kama uzi utaibuka. Gazeti lote hili bwahahahahaah umepanic vibaya mno halafu sidhan kama zile link nilikuwekea wewe au ndo kusema najibizana na mtu mmoja ID mbili ee
Nipanick Zari??? Shoga umechemshaaa zari anipanikishe ananilisha? Au Mange ananilisha? what I like abt Mange ni kunipa mambo ambayo siyajui otherwise siwezi acha lala kisa mtu. Zari ninamfollow pia kuna mambo mazuri pia nayaangalia. Lakini Zari hawezi kunipanikisha for what? Yy anaishi maisha yake na mm naishi yangu Zari ni Zari hawezi kua cajojo so how nipanick. Acha ushabiki maandazi. Hapa tunaongelea ugomvi wao wa wtt ndo maana kwa sisi tunaotetea tunazungumzia huo tuliouona juzi yeye Zari ndo alianza. Sasa waja na makaburi yako ulofukua sijui uturn. Kama hatukuona huko nyuma ndo kukupinga useme tuna panick???. Acha ushabiki maandazi otherwise uko vzr
 
Mkuu

Alipigwa 350,000USD na jiwe asimfatilie.

Sasa topic hana kaamua amgeukie Diamond full swing!

Pia anakomaa na Zari day and night...!

Main issue ya CCM kashaiacha anakula fungu at the moment,hatakaa aiguse tena,hata Bashite afanye nini,hatamgusa!
Ndo maana sasahivi kazi yake kuporomosha mitusi Mara Dudubaya, diamond, harmonize, Zari yaani Kama ana alegi na WCB Kila mtu akiwa karibu nao anatukana
 
Hivi unajua Binafsi sijaelewa ule ugomvi ulitokana na nini? Maana nilishangaa tu Zari kaanza kupost picha.
Nadhani ni ile page ya originaleast ndo Zari anadhani ni ya Mange kwa sbb kule kwa kweli full tym anawapost watt wa Zari
 
Na mm niliingia kwanza page ya Mange nikaona ameandika sitoi kiki na comments chini wanaandika Mange achana nae usimjibu hata kama amekutukania wtt wako. Kule kwa Zarina sikuona kwny page yake hayo matusi so nikawa nashangaa kumbe sijui alisnap ndo watu wakawa wamezituma hizo snap shot zake matusi ya hajaa. Naona Mange yalimshinda ndo na yy akaanza
Na mimi niliona Mange anatukana watoto wa Zari. Nikawa sielewi. Kwenda kwa Zari mbona zilikuwepo. Pale kwenye DP juu. Kukiwa na Rangi nyekundu inaonesha kuna picha. Si ndiyo nikakuta Zari kawatukana watoto wa Mange vibaya. Mange naye katukanwa. Chanzo sijui. Ila baadaye Mange akasema eti kosa ni yeye kumsifia Missa.
 
Hadi mnapata kigugumizi kama boss wenu. Sijaomba mie nimewataka muweke ushahidi. Account ya zari haina uchafu wowpte ni yeye na familia yake pale bila kusahau kazi zake hakuna umbea wala ujingajinga
Sasa mimi na wewe nani Silent Follower?? Kama Boss wako anapost picha huoni. Unaomba uwekewe Acc. Hapa mara bla blah sijui na hizo picha huoni wewe na mimi nani silent follower wake?
Halafu hoja inajibiwa kwa hoja. Kumtetea Mange au Huyo Zari hakufanyi mtu kuwa fans wake. Sasa nashangaa wewe kila anayemtetea Mange ni Msukule mara sijui watu wanataka kulia.
Sioni unachojibu zaidi ya kushambulia watu na maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Kwa hiyo na wewe Zari anavyotukaniwa watoto unataka kufanyaje? Maana naona huna tofauti na hao Shabiki wa Mange.
 
Hamna kaburi nililofukua kama huamin nenda kakoment kwenye hizo link uone kama uzi utaibuka. Gazeti lote hili bwahahahahaah umepanic vibaya mno halafu sidhan kama zile link nilikuwekea wewe au ndo kusema najibizana na mtu mmoja ID mbili ee
Sina muda wa kuwa na Id mbili. Nimeku qoute ww ulichojibu. Umepanick ww muhahahaaaaaaa ndo maana unaongea kwa hasira sana kuita watu majina ambayo na ww uko mule mule hahaaaa
 
Hivi unajua Binafsi sijaelewa ule ugomvi ulitokana na nini? Maana nilishangaa tu Zari kaanza kupost picha.
Zari aliona kaishiwa kiki ,watu hawamuongelei tena wakat yeye ndo furaha yake akaona aanzishe vagi na mange ......hahahahaha
Inshort atulie tu kulea watoto ,mama watoto 5 cjui anapata wapi mda wa kuanzia maugomvi insta na umri ulee
 
Back
Top Bottom