Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]io fake life ndio inayowavuta mumfollow na ndio inayowatoa povu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bwahahahahahahah
 
kama hukuona uchafu wa huyo Boss wako aliopost hilo ni kosa lako. Kuna Acc. Ina majungu na fitna kama ya huyo Zari? Wakati anamtukana Hamisa alikuwa anamkosea nino? Uhuni wa Bwana ake anawatukana watu wengine.
Zari mswahili saana basi tu ukingereza wake unambeba .....mama mtu mzima kubishana na vitoto khaaa !!!! Mie hata nilie mzid 3yrs tu siwez bishana naona kama dharau .
 
Amlambishe nani? Labda kama nyie Misuluke yake. Ila sijawahi kuona kitu cha ku nishitua kwake. Zaidi ya maisha fake anayoishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]io fake life ndio inayowavuta mumfollow na ndio inayowatoa povu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bwahahahahahahah
 
Numbi umeishiwa point unaanza kumuita Zari wako na kujichekesha chekesha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]io fake life ndio inayowavuta mumfollow na ndio inayowatoa povu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bwahahahahahahah
Inakutoa Povu wewe siyo mwingine. Maana unahaha utadhani samaki kakosa Maji.
 
Nshajichoresha zamaniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aluta continue enheeee leten story mpya mpya hizo mnazopiga tushazisikia zootee
Unajichoresha aisee
 
Sasa hivi kaachwa na Dai anajifanya Levels ili apewe huruma na fans wake. Enzi zile akiwa na Dai alikuwa na nyodo balaa.
Anaficha makucha yake. Ujinga anaufanyia huko snapchat
 
Mimi mwenyewe yaani. Kijibishana na mtu au watu niliowazidi umri siwezi. Naona kama napata fedheha. Bora ninyamaze nitunze utu uzima wangu.
Zari mswahili saana basi tu ukingereza wake unambeba .....mama mtu mzima kubishana na vitoto khaaa !!!! Mie hata nilie mzid 3yrs tu siwez bishana naona kama dharau .
 
Mimi mwenyewe yaani. Kijibishana na mtu au watu niliowazidi umri siwezi. Naona kama napata fedheha. Bora ninyamaze nitunze utu uzima wangu.
Hana akili watoto wake wakubwa kweli afu wanaona mama kutwa anachambana insta na kugombaniana bwana
 
Back
Top Bottom