Makiseo kama ulivyosema ulimfahamu mange tangu u turn nadhan uliona mchokozi ni nani,uchungu haupoi,zari kadhalilishwa sana na mange plus fekero lake la original. Yes hilo ni fekero la mange kila kukicha matakoni mwa zari.
so mamie watoto wa mange ndio binadamu ila wa wengine sio ee????
Kwa hiyo unataka kuniambia hukuona jinsi Zari alivyo wa abuse watoto wa Mange na kuwaita sijui cheap machotara and Blah blah nyingi?Kuja kwenye saga la juzi sijaona chochote kwenye account ya zari ya insta kumtukana mange. Use brain mama brain but kuja kwa mange uwiii full kujichoresha insta eti victim pheeewww
Yaishe kaka angu. Nilitaka tuu ku refer watu wanaoponda wengine kumbe wanafollow ujinga mwingine.Tuheshimiane dada yangu, nani anawa follow mashoga? Nipo JF sijawahi kumtukana mtu yoyote alafu ww mwanamke nakuheshimu. Wewe kama Mange unamuona wa muhimu ni ww wengine si tunamwona mshamba na mpuuzi, tuheshimiane kwani sijakuvunjia heshima.
Mara ya mwisho kuingia instagram 2015 baada yakuona wapuuzi kama hawa wakina Mange wamejaa, hata mimi kutukana najua, ila JF sio mahala pake au labda ww ndiye Mange mwenyewe?.
Kwa hiyo na wewe unajikubari kuwa wewe ni NYUMBU?Nyumbu? Sijawahi kumuamini huyu Dada yapo Kuna wakati anajaribu kujenga hoja
Huyo Zari naye ni wale wale tu. Anachamba watu halafu anafuta. Ila hiyo ya kuwatukana watoto wa Mange aliiyacha. Nadhani na wengi waliiyona. Wakimwambia wanakula block.Kuja kwenye saga la juzi sijaona chochote kwenye account ya zari ya insta kumtukana mange. Use brain mama brain but kuja kwa mange uwiii full kujichoresha insta eti victim pheeewww
Na wewe msukule ongea facts acha kuja na ufala wa kuita watu misukule hata ww ni msukule pia. Naona msukule wewe unajifanya matawi ya juu kila ishu wajua weye. Tunaongea yaliyojiri kama kumtetea mange mie msukule na ww jidada la zari ni kimsukule plus plusPole sana naona unavyohaha kujibu kila mtu msukule bana
Kwa hiyo unataka kuniambia hukuona jinsi Zari alivyo wa abuse watoto wa Mange na kuwaita sijui cheap machotara and Blah blah nyingi?
ahongwe.toka aongwe dola 300,000 na jiwe amepoteza mvuto
Unajua mtu ukimpenda huoni udhaifu wake waona wa wengine bora hata mtu ukiri kua na huyo umpendae ana madhaifu yake lakini si kutetea tuuHuyo Zari naye ni wale wale tu. Anachamba watu halafu anafuta. Ila hiyo ya kuwatukana watoto wa Mange aliiyacha. Nadhani na wengi waliiyona. Wakimwambia wanakula block.
Wacha wote waone uchungu kutukaniwa Watoto. Hakuna mtoto aliye bora kuliko mwingine. Kama Zari aliwahi kutukaniwa Tiffa na Uchungu haupoi. Na akaamua kulianzisha tena yeye mwenyewe Zari Baada ya Mange kuwa kimya. Nadhani awe mpole tu. Yeye na fans wake. Kila mtu sdawa imuingie taratibu.
Na wewe msukule ongea facts acha kuja na ufala wa kuita watu misukule hata ww ni msukule pia. Naona msukule wewe unajifanya matawi ya juu kila ishu wajua weye. Tunaongea yaliyojiri kama kumtetea mange mie msukule na ww jidada la zari ni kimsukule plus plus
Hio sikuona nionyeshe tena weka account verified ya zari halafu uje ulinganishe na matusi ya mange kwa watoto wa zari. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. This time mange kapata kiboko yake mpaka kawatuma huku kuja kumsambazia sympathy aiseeee
Mbona yeye hayaachi maisha ya wenzake!Jaman mwacheni mtu aishi maisha yake, mbona mnampangia maisha mtu?
Mange hajawahi kukaa kimya kumtukania zari watoto. Habari mbaya kwenu ni kuambiwa account ya original ni ya mange,mnapinga kwa nguvu zote wakati ukweli ndio huo.
Oooh!!kumbe hukuiyona ndiyo maana. Pole. Ungeiyona nadhani ungeelewa ninachosema. Unadhani Mange alikurupuka tu akaanza kuwatukana watoto wa Zari? Wala sihitaji kuweka Acc. Yake hapa. Yeye aliwezaje kuweka watoto wa wenzake na kuwaita Machimpazee na kuwafanyia Editing kabisa? Tena kwa Mwanamke unayeitwa Mama anafanya hivyo hadi ku edit. Aliona akiwaweka hivyo hivyo haitoshi? Sasa Mange anajibu Mashumbulizi anaonekana Mbaya?
Kati ya huyo Mange na Zari sioni wa kumcheka au kumwandama mwenzie. Wote ni wale wale tu. Labda kasoro tarehe.