Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu kuunga dots nimeshindwa kujua anayemtumia messages mume wa uwoya ni nani.
Ngoja wambea wengine waje huenda tukajua.
Ni vizuri kutoleana vinyongo, km waliotajwa hawana kinyongo na wao wacha wajieleze.
Si rahisi kwakwa Mange kumpigia cm kila mmoja waanze kujadili sababu kila mtu atajitetea kuwa si yy na watakuwa wanarushiana mpira na isitoshe group ni kubwa. Nimempenda starlisha kasema ukweli wake na hata Rachel hakuwa mnafki pia.
Ila ni vizuri kusafiana nia.
Yy Mange si perfect, wala ww wala mm yani kila mmoja na mapungufu yake ila kila mtu na alivyojaaliwa akili katika ku deal na vitu. Wengine watanyamaza, wengine watasutana wengine na wengine ni km Mange.
Ila sio vizuri to come to conclusion about people all the time that they are bad people or because they have been nasty to others,that means they can't change.
Life is too short, it's good to come clean and being honest to each other.
Ni vizuri kutoleana vinyongo, km waliotajwa hawana kinyongo na wao wacha wajieleze.
Si rahisi kwakwa Mange kumpigia cm kila mmoja waanze kujadili sababu kila mtu atajitetea kuwa si yy na watakuwa wanarushiana mpira na isitoshe group ni kubwa. Nimempenda starlisha kasema ukweli wake na hata Rachel hakuwa mnafki pia.
Ila ni vizuri kusafiana nia.
Yy Mange si perfect, wala ww wala mm yani kila mmoja na mapungufu yake ila kila mtu na alivyojaaliwa akili katika ku deal na vitu. Wengine watanyamaza, wengine watasutana wengine na wengine ni km Mange.
Ila sio vizuri to come to conclusion about people all the time that they are bad people or because they have been nasty to others,that means they can't change.
Life is too short, it's good to come clean and being honest to each other.
Karibu Mange
Alafu sisi wanawake ndio tumekazana kusema wanawake ni marafiki wabaya, hawafai, mara ooh bora kuwa mwenyewe
Sijaona hata mwanaume mmoja anaponda urafiki, hasa wenye manufaa.
Unapoona rafiki hana manufaa yeyote kifikra au kwa namna yeyote achana naye.Ila sidhani kama katika wanawake wote ukakosa rafiki kabisa, lazima wewe una matatizo makubwa.
Mnapoanza kusimuliana aibu zenu na kuendekeza ujinga lazima mtakorofishana tu, hususani wewe mwanamke mpuuzi unapokutana na mpuuzi mwenzio.
Wanaume wanasaidiana, wanapeana ushauri na kujengana.Wanateteana na kutiana moyo.
Sisi tumekalia majungu tu na kuliana timing ya kuibiana mabwana na kusambaziana siri ingawa sio wote.
Kwa mtindo huu mwanamke atabaki kuwa kiumbe duni kabisa zaidi ya sisimizi.
Choose your friends wisely, the more friends you have, the more enemies you make!
Ulimbukeni wa kutembea kama kumbikumbi ndio chanzo cha magomvi ya wanawake.
Mwanamke mpuuzi, huamabatana na marafiki wapuuzi.
Real friends, defines real friendship.Keep your secret to yourself, your friendship is safe!
Sidhani kama urafiki ni mbaya, sisi miwanawake ndio mibaya.
Pumbaff zetu, haki sawa kwa wote my ass!
This one covers for Mange.
Kila Mange akichafua hali ya hewa yeye kazi yake kuja kusafisha.
Yaani mimi sio bendera fuata upepo.
Hapa duniani usipoweka speed governor ya mdomo haswa katika mambo ya kipuuzi, hakika unajiweka mashakani.
Alafu sisi wanawake ndio tumekazana kusema wanawake ni marafiki wabaya, hawafai, mara ooh bora kuwa mwenyewe
Sijaona hata mwanaume mmoja anaponda urafiki, hasa wenye manufaa.
Unapoona rafiki hana manufaa yeyote kifikra au kwa namna yeyote achana naye.Ila sidhani kama katika wanawake wote ukakosa rafiki kabisa, lazima wewe una matatizo makubwa.
Mnapoanza kusimuliana aibu zenu na kuendekeza ujinga lazima mtakorofishana tu, hususani wewe mwanamke mpuuzi unapokutana na mpuuzi mwenzio.
Wanaume wanasaidiana, wanapeana ushauri na kujengana.Wanateteana na kutiana moyo.
Sisi tumekalia majungu tu na kuliana timing ya kuibiana mabwana na kusambaziana siri ingawa sio wote.
Kwa mtindo huu mwanamke atabaki kuwa kiumbe duni kabisa zaidi ya sisimizi.
Choose your friends wisely, the more friends you have, the more enemies you make!
Ulimbukeni wa kutembea kama kumbikumbi ndio chanzo cha magomvi ya wanawake.
Mwanamke mpuuzi, huamabatana na marafiki wapuuzi.
Real friends, defines real friendship.Keep your secret to yourself, your friendship is safe!
Sidhani kama urafiki ni mbaya, sisi miwanawake ndio mibaya.
Pumbaff zetu, haki sawa kwa wote my ass!
Karibu Mange
This one covers for Mange.
Kila Mange akichafua hali ya hewa yeye kazi yake kuja kusafisha.
Yaani mimi sio bendera fuata upepo.
Hapa duniani usipoweka speed governor ya mdomo haswa katika mambo ya kipuuzi, hakika unajiweka mashakani.
Amani kwako my doll!
Leo umevuta cha wapi?! Lol
Umenikosha sana thumbs up!
ukakosa rafiki kabisa, lazima wewe una matatizo makubwa.
Mnapoanza kusimuliana aibu zenu na kuendekeza ujinga lazima mtakorofishana tu, hususani wewe mwanamke mpuuzi unapokutana na mpuuzi mwenzio.
Wanaume wanasaidiana, wanapeana ushauri na kujengana.Wanateteana na kutiana moyo.
Sisi tumekalia majungu tu na kuliana timing ya kuibiana mabwana na kusambaziana siri ingawa sio wote
There you go, all your words . Stop being two faces, Mange ana majungu when she says what you don't want to hear. I think you're one of the them, you seemed to be very judgmental.
Hypocrisy will never end.
Nyie endeleeni kumsifu na kumpamba.
Freedom of speech, ila hamumjengi bali mnamubomoa.
Kizuri tukiige, kibaya tukikemee na kukikwepa.Hili sio jambo zuri kwa mtazamo wangu.
ukakosa rafiki kabisa, lazima wewe una matatizo makubwa.
Mnapoanza kusimuliana aibu zenu na kuendekeza ujinga lazima mtakorofishana tu, hususani wewe mwanamke mpuuzi unapokutana na mpuuzi mwenzio.
Wanaume wanasaidiana, wanapeana ushauri na kujengana.Wanateteana na kutiana moyo.
Sisi tumekalia majungu tu na kuliana timing ya kuibiana mabwana na kusambaziana siri ingawa sio wote
There you go, all your words . Stop being two faces, Mange ana majungu when she says what you don't want to hear. I think you're one of the them, you seemed to be very judgmental.
Hypocrisy will never end.
Hivi unaweza kukumbuka list ya watu wote hao hadi visa kabisa vilivyowafanya mgombane tena unasimulia......really??!!!
Issue kama ya Flaviana na ya Diamond nazo ni za kukaa akilini kweli mpaka mtu afikie kuwahesabu eti amegombana nao?! Duuuhh pole yake maana roho yake itajaa visasi sasa
Enzi izo fiderin iranga ndo kuwadi mkubwa apo bongo, anajifanya anawaunganishia watu umodo kumbe anawauza kwa wanaume, kashawauza sana hadi akina naniliuu, kuna lijumba lao la ufirauni uko oysterbay yan ni shidaa, wale kwa umalaya wameshindikana sema wanajificha tu, mama ubaya anasubir
Ha ha ha!
My dear, am just speaking out loud!
Naona kila mtu anaponda urafiki wa karibu na mwanamke mwenzako eti bora wanaume! Ndio maana nyadhifa kubwa hatuziwezi kwa sababu sisi wenyewe tumeprove failure katika urafiki ambao ni simplest form of organization.
Eti wanawake wambeya, wanamajungu na wivu wakati in real sense wewe mwenyewe ndiye mmbeya, una husda, mbinafsi afu una domo pana kwani umeambiwa rafiki ndio mtunza siri zako?
Unashindwa kujiamini kujitunzia mambo yako kweli kabisa? Ndio maana wanaume wanatudharau, sisi wenyewe tunakwepana tunakimbilia urafiki wao.Wanaume wanajua kuweka mipaka yao, wanajua kabisa huyu rafiki wa kilaji, huyu wa biashara, huyu snitch, huyu wa msaada ila fulani sio wa msaada kabisa ila ni mshikaji.
Yani wewe unashindwa kupangilia maisha yako una entrust kila kitu kwa rafiki? Lazima ulie tu.Na ujue nothing is permanent even your life itself seuze urafiki wa hapa duniani? Urafiki ukivunjiaka ndio unajitangaza dunia nzima na kulaani dhana nzima ya urafiki?
Rafiki anaweza akatunza siri yako vema kabisa, akakupa msaada vema kabisa na ushauri muruwa kabisa, akipata rafiki mwingine tu imekua kesi!
Mnagombeana status na idadi ya marafiki?
Kah kwa usimple mind huu na uwezo wetu mdogo wa kubeba mambo hakika wanaume endeleeni kututawala kwa dahali yote milele amina.
TATIZO SIO URAFIKI, TATIZO NI WEWE MWENYEWE NA AINA YA MARAFIKI UNAOWACHAGUA NA MAMBO MNAYOAMUA KUFANYA