Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Jamanii Mrembo by Nature leta basi screen shot za chaga bibi tuone ,Nami ashaniblock hhhhaaaaa
Siku hiz mange ananifurahisha jamaniii japo Ana mapungufu yake lakin pia Ana mazuri yake,halaf haogopi wala hajalii,
Urafiki wetu sie wanawake lazima mgombaneeee tuu sijui kwanini tuna wivu,chuki,husuda,umbea,
Bora kukaa kivyako vyako tu

Hata mimi ananifurahisha sana siku hizi hadi naanza kumpenda kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Kuna bifu moja naona kaingia vibaya na F.e.l ,,, wewe subiri July ndio atapoanza kuomba msamaha
ligati weka wazi bwana unaogopa nini?Gazeti kaandika mwenyewe halafu wewe ushindwe kusema?
 
Last edited by a moderator:
Mmh ushoga wao wote walikuwa feki,wanaishia kuzungukana tu ,na gurupu hilo lote la nini? Au ndio kujenga status, ya udada wa mujini ?
 
Mmh ushoga wao wote walikuwa feki,wanaishia kuzungukana tu ,na gurupu hilo lote la nini? Au ndio kujenga status, ya udada wa mujini ?

Hujasikia kulikua na mambo ya kusagana humo? Ni shiidah.
 
Ila Mange inabidi utagite maragiki wengine sasa maana sio lazima kuwa rafiki na watu.

Inabidi uangalie una lipi hao marafiki waliopita hawakupenda kwako na wengi wanakupita na akili zao kuzoeana na unaowajua, ni vizuri kujiangalia unafanyaga nini na kujishushia heshima kwao.

Tulijuaga zamani kuwa Mwamvita ndio anawawrkaga mjini, ila umemsifia na kuponda humo humo kiujanja as unajua kabisa kuwa urafiki wa mtandaoni uliorudisha sasa ndio unaweza usikae nae uso kwa uso kwa kumuongelea Ndugu yake vibaya. Now nimeamini una ka chuki nao sababu haupati misaada toka kwake. Pole sana urafiki unauma though.

Sasa jaribu kuwa na friends wengine kumbuka wengi kujuana sababu yako sio kosa ji sawa tu as wengi sie tunakutanisha watu na hadi leo hatuumiii rohoni sababu labda sie hatufanyi unayoyafanya.

Ila wale wanaovuka mipaka paka kiaina tofauti dawa yao ni kukaa kimya na wasijue unawafikiriaje...sasa umeandika ndio basi tu tujue ila ndio useme bye bye kweli unaona watataka kuwa close nawe tena hao unaowafikiria.

Bora ukae mbali usilishwe sumu maana dunia hii kuchoresha watu hivi mtandaoni ni hatari.
 
Wa hapa hamuwezi ni next level, Max level yake ni wa kujadiliwa na bunge la Tanzania na si hicho kiblog uchwara.

Mimi kama siyo JF wala nisingemjuwa Mange hata siku moja kwa sababu mimi sitembelei blog za kipuuzi, blog ambayo natembelea huwa ni Mjengwa blog tu.

Yah mjengwa blog hata mi naitembelea,Kuna kitu unaweza ukaisoma pale halafu picha ambazo huwa anazipiga au jinsi anavyoelezea matukio inavutia u can gain something new,Ila kuingia blog ya mange,michuzi au global publishers sina mda kabisa.
 
Juu ya Diamond mnabidi mkubali kuwa imetoka hiyo sasa kusema anamlisha madozi mbona wakati anampango wa kumuacha D mlishabikia ila mkaumbuka as mipango yenu ya kumuonyesha ametemwa na w yalikufa sababu alikutana na Zari.

Mpango mluofanyaga kusema anaibiwa nyota ulivuja na D akaujua akiwa USA na hayo na bmw mlishadadia sana, sasa inabidi wewe na wenzako mumuache kaka wa watu aishi maisha yake.

Sidhani kama duniani kuna julazimisha mapenzi ja unajua hilo esp ulipokuwa unaenda dunda wenzako etc

Sasa mshangao ni unamchafua Diamond ili iweje sababu ushauri wenu mlichemka? Je kosa lake nini hata ingekuwa labda wanarudiana kesho hapo mngefanikiwa kumshusha si mngemwambia huyo w akimbie maili elfu moja kukaa na mtu aliedoda.

Naelewa kuwa w hakujua mali za D sababu hakuwa amejiweka ki mke kwake bali kula bata tu.

Inabidi mubadilike maana kumbukeni kukaa na kumuwaza mnaomchukia ni kujipotezea muda wa kufanya makubwa kwenu au kufikiria.

Kwani wanaume wameisha si wapo? Ni vizuri umekubali D anapendwa bado na w, ila w inabidi akubali wao hawakuendana kwa mengi sana na ndio maana babaake B alikuacha pia na hakutaka kuwa nawe tena na kumzimia kichiI hivyo.

So muacheni Diamond na Zari waishi maisha yao. Mwache Diamond atanue na mapenzi hata wakati wa w picha zilirushwa zao pia.

Ila ni furaha kuona unampaisha Diamond na bila kusahau Zari kwa blog yako usiache basi. Ila sifia sifia chuki mbaya sana inakuuma achana na ya timu wakati nao ni kama hao wengine kwenye list hapo juu. Utajua siku moja pia
 
Khaaa! mzurimie ushaanza yale magazeti yako dear, mwenzio hapa kichwa kinauma.
Pls tuletee screen shots kutoka huko insta itakua poa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Mange ni jasiri sana,samehaneni ila mambo yakufatana kama kumbikumbi muyaache
 
Hahaaaaa uwiii mzurimie kweli anatuongezea gazeti tena buaaana. Alete screen shot ndo itanoga.

Mwenzangu! Naona anataka tusilale bila kumeza headaxe leo...
Mimi hadi comments kwa mange nimeshindwa kusoma kwakweli, hili la leo sio gazeti bali ni novel!
 
Last edited by a moderator:
Khaaa! mzurimie ushaanza yale magazeti yako dear, mwenzio hapa kichwa kinauma.
Pls tuletee screen shots kutoka huko insta itakua poa zaidi.

Mie hao wengi wao walishanibloki kama kawaaaaa hawapendi ukweli, hata Mange kubloki watu na kwa blog yake wengi walishaandika humu kublokiwa.

Zikirushwa marepost na magroup whatsapp ndio naona, leo nasubiria hapa na mie.
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu! Naona anataka tusilale bila kumeza headaxe leo...
Mimi hadi comments kwa mange nimeshindwa kusoma kwakweli, hili la leo sio gazeti bali ni novel!

Yani marefu kwa Mange sijasoma comments Mpaka niamke fresh hivi hivi imenishinda.
 
Haya chagaempress
 

Attachments

  • 1433357543292.jpg
    1433357543292.jpg
    74 KB · Views: 606
  • 1433357605820.jpg
    1433357605820.jpg
    76.9 KB · Views: 578
  • 1433357643741.jpg
    1433357643741.jpg
    64.4 KB · Views: 579
Back
Top Bottom