Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mods ni wasikivu, natumai watalifanyia kazi hilo maana hata sisi wambea tuna haki zetu JF hii.
cc Invisible

Wasitunyanyapae jaman, sisi ni binadamu kama wengine, umbea sio ukilema, wote tuna haki sawa jaman
 
Last edited by a moderator:
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.

Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.

Kamanda nakuaminia, nimekuandalia ubuyu mzito, una pili pili balaa, yani unazidi kunifanya nitafute maumbeya mazito apa ninayo maubuyu matatu exlcusive yan
 
Nina ubuyu wa watu watatu apa, yan kitu exclusive, warekebishe haraka niyamwage mie nisije kusahaua buree, maana ni shidaa, halaf sijatoa exclusive kitambo kweli humu

Uwiiiiii! Binamu fanya mambo bwana maana na wewe kwa kisahau ni balaa.
Ila ameshatuma maombi kwa mods sio mbaya tukaendelea halafu mambo yatarekebishwa baadae kama sio kesho.
 
Wasitunyanyapae jaman, sisi ni binadamu kama wengine, umbea sio ukilema, wote tuna haki sawa jaman

Hahahahahahaaa binamu nimecheka hadi mdogo wangu kanishangaa!
Una vituko sana!
 
Mwenzangu umemuona alivyodelete posts zake hapo juu? Sijui aliandika nini.
Bila shaka ni vichambo vyangu hivyo...lol

nimeona na nimeyakosa labda anaandika gazeti arudi.
 
Wewe nae hebu tutokee hapa.Huo ushauri wako kawape binti/mke au dada zako.
Sisi tunakuhusu nini? Halafu hao wanaume wala hatuna shida nao.

Labda nijiongelee mimi mwenyewe.Sina shida ya mwanaume maana ninae ninaempenda nae vilevile.
Halafu usichukulie haya mambo serious sana ndugu, umejua vipi niko humu 24/7 hours kama nawe hushindi humu?

Nadhani nimekujibu vyema maana sijakutukana.

Ndo yale yale niliyokuwa namwambia mzurimie na Diva Beyonce, yeye kajuaje kama humu tunashinda 24/7 kama hatushindagi wote? Jamani huyu ananivunja mbavu ujue apa
 
Last edited by a moderator:
Wewe nae hebu tutokee hapa.Huo ushauri wako kawape binti/mke au dada zako.
Sisi tunakuhusu nini? Halafu hao wanaume wala hatuna shida nao.

Labda nijiongelee mimi mwenyewe.Sina shida ya mwanaume maana ninae ninaempenda nae vilevile.
Halafu usichukulie haya mambo serious sana ndugu, umejua vipi niko humu 24/7 hours kama nawe hushindi humu?

Nadhani nimekujibu vyema maana sijakutukana.

Binamu mi nitamnyea huyu leo nipewe ban ujue? Anatuingiliaje kwenye anga zetu kwanza? Nime mmind ujue?
 
Binamu mi nitamnyea huyu leo nipewe ban ujue? Anatuingiliaje kwenye anga zetu kwanza? Nime mmind ujue?

Achana nae bwana binamu.Ndio maana tunataka tuanzishe group letu la umbea kwa ajili ya wanafiki kama hawa.
Sasa hivi watakua wanatuona online tu ila hawajui tunafanya nini.
Watakomaje? Naona watawaomba mods wafute hilo group kwakweli!
 
Mwenzangu umemuona alivyodelete posts zake hapo juu? Sijui aliandika nini.
Bila shaka ni vichambo vyangu hivyo...lol

Nifa nilituma sms 2 ss nilitaka kufuta moja ndo ikaotokea hivyo wala sichambi mtu miye, toka 2012 mpk leo sina bifu na mtu
 
Last edited by a moderator:
Habarini za kazi dada zangu vipenzi, naushauri kidogo naombeni mniazime masikioni yenu kidogo.

Nadhani mtakuwa rika tofuati tofauti kuna wengine mabinti mie na deal na mabinti wakongwe niwaache.

Hivi mnafanya kazi kweli na mnapika majumbani kwenu au kufanya shughuli za nyumbani maana 24/7 mpo JF na maneno maneno mnasoma kweli na kazi za chuo mnazfanya muda gani.

badirikeni mkikosa waume mnalalamika.

Ni ushauri tu msinitukane.

Hahahahahah pacha wa Matola una vituko. Wewe si ndio uwa unaanzisha nyuzi za kusutana na MANGE?
punguza mihadarati na gomba utarudishwa tena milembe.
 
Last edited by a moderator:
Nifa nilituma sms 2 ss nilitaka kufuta moja ndo ikaotokea hivyo wala sichambi mtu miye, toka 2012 mpk leo sina bifu na mtu

Haya niambie ulichotaka kusema kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Kirahisi hvo ujue huyo mpenda ubuyu ila hataki kuonekana na I'd yake iliyozoeleka.

Ndio basi tena, wale waanzisha id's mpya kila siku imekula kwao.
Tunataka wambea tu, hatutaki mamluki.
 
Hahahahahahaaa binamu nimecheka hadi mdogo wangu kanishangaa!
Una vituko sana!

Kweli binamu, wengine wanaweza kutuona sie hamnazo kumbe wenzao tunafaidi na tuna enjoy, so wasitushangae wala kututenga, wambea ni binadamu kama wengine, kwanza inabid na sisi tukadai haki yetu, tunataka tutambuliwe na katika ya nchi kabisa na tupewe haki zetu za kulindwa, maana umbea sio mchezo, mie apa nshaaribu ndoa za watu kama kumi ivi kwa ajil ya umbea
 
Kweli binamu, wengine wanaweza kutuona sie hamnazo kumbe wenzao tunafaidi na tuna enjoy, so wasitushangae wala kututenga, wambea ni binadamu kama wengine, kwanza inabid na sisi tukadai haki yetu, tunataka tutambuliwe na katika ya nchi kabisa na tupewe haki zetu za kulindwa, maana umbea sio mchezo, mie apa nshaaribu ndoa za watu kama kumi ivi kwa ajil ya umbea

Hahahahahaaa warumi kwakweli itabidi urafiki wetu uishie huku JF tu.
Maana usijenivunjia ndoa yangu bure, nimekuogopa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom