Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huoni andika yake? HUyo mbea mwenzetu bhana
Muache uchoyo... Wengine tukikosa umbea tunaugua parkison's disease hivooo Diva Beyonce nifah
Hilo nalo neno aiseh, aliyekwambia wambea siku izi wanawake peke yao nani?, mie warumi nawakilisha wanaume wote wambea, mie ndo balozi wao, so please jina hlo wabadilishe kwa kweli, heshima muhimu, chinekeeeee
Tutengenezeni chama chet cha wambea jaman , tuwe tunasaidiana wakati wa shida na raha,
Hilo nalo neno aiseh, aliyekwambia wambea siku izi wanawake peke yao nani?, mie warumi nawakilisha wanaume wote wambea, mie ndo balozi wao, so please jina hlo wabadilishe kwa kweli, heshima muhimu, chinekeeeee
Muache uchoyo... Wengine tukikosa umbea tunaugua parkison's disease hivooo Diva Beyonce nifah
Poleni kwa usumbufu, kubadili nimeshindwa ila nimemuomba bosi Invisible atubadilishie, hakuna tabu ikishindikana ni kufungua lenye jina ulilo suggest Nifah.
Nitawajulisha au mtaona.
Na mie jamani
Habarini za kazi dada zangu vipenzi, naushauri kidogo naombeni mniazime masikioni yenu kidogo.
Nadhani mtakuwa rika tofuati tofauti kuna wengine mabinti mie na deal na mabinti wakongwe niwaache.
Hivi mnafanya kazi kweli na mnapika majumbani kwenu au kufanya shughuli za nyumbani maana 24/7 mpo JF na maneno maneno mnasoma kweli na kazi za chuo mnazìfanya muda gani.
badirikeni mkikosa waume mnalalamika.
Ni ushauri tu msinitukane.
Members wa group mtashikiri kwa juu sana kuamua nani anaongezwa.
Mhhhhh! Mbona mbea wewe sikujui jamani?
Au wenzangu mnamjua huyu?
Samahani lakini.......
Mhhhh! Binamu huko unaenda mbali sasa, ila tungoje na tuombee mema tu yote yanawezekana.
Halafu nimegundua kitu, unaonekana una roho nzuri sana warumi.
Habarini za kazi dada zangu vipenzi, naushauri kidogo naombeni mniazime masikioni yenu kidogo.
Nadhani mtakuwa rika tofuati tofauti kuna wengine mabinti mie na deal na mabinti wakongwe niwaache.
Hivi mnafanya kazi kweli na mnapika majumbani kwenu au kufanya shughuli za nyumbani maana 24/7 mpo JF na maneno maneno mnasoma kweli na kazi za chuo mnazìfanya muda gani.
badirikeni mkikosa waume mnalalamika.
Ni ushauri tu msinitukane.
Wewe mbea mwenzetu lazima uwepo kwakweli, una ubuyu mtamu sana.
Na mie pia simjui.
Sana, pia nina huruma then sijuagi kuweka mabifu na watu, nina hasira za papo hapo then dakika mbil nasahau, mimi ni mtu poa sana yani