Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Yani nimejaribu kuingia kwa kawaida bila application sijaizoea sijui pakuanzia sijazoea. Yani hadi kuingia jf stimu zinakata.
Mods wameedit jina lakini wameshau kitu cha umuhimu sana, NOTIFICATIONS!
Hili litatuondolea raha ya group letu kabisa, hata mimi nimezoea App hii nyingine siipendi.
Invisible (Tumevumilia vya kutosha jamani.Mwezi unakaribia kuisha sasa bila notifications! )
Last edited by a moderator: