mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Mods wameedit jina lakini wameshau kitu cha umuhimu sana, NOTIFICATIONS!
Hili litatuondolea raha ya group letu kabisa, hata mimi nimezoea App hii nyingine siipendi.
Invisible (Tumevumilia vya kutosha jamani.Mwezi unakaribia kuisha sasa bila notifications! )
Mimi kuingia leo desktop view mbona nilichoka yaani nots 398 nikabaki nashangaaa quotes 187 mentions 43 nianzie wapi mie na hiyo ni wiki 2 sijui, kazi kweli na app hii. Najua baadhi labda nitakuwa nimeziona
Mtu atazani umemsoma kumbe hata hukuona ame ku quote au mention hadi ukutane nayo kwenye uzi.
Halafu not zikija kama 5 ukifungua unarushwa kwenye vichwa vya forum, muda gani sasa kusaka so nikupotezea.
Nikusubiri tu
Last edited by a moderator: