Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mods wameedit jina lakini wameshau kitu cha umuhimu sana, NOTIFICATIONS!
Hili litatuondolea raha ya group letu kabisa, hata mimi nimezoea App hii nyingine siipendi.
Invisible (Tumevumilia vya kutosha jamani.Mwezi unakaribia kuisha sasa bila notifications! )

Mimi kuingia leo desktop view mbona nilichoka yaani nots 398 nikabaki nashangaaa quotes 187 mentions 43 nianzie wapi mie na hiyo ni wiki 2 sijui, kazi kweli na app hii. Najua baadhi labda nitakuwa nimeziona

Mtu atazani umemsoma kumbe hata hukuona ame ku quote au mention hadi ukutane nayo kwenye uzi.

Halafu not zikija kama 5 ukifungua unarushwa kwenye vichwa vya forum, muda gani sasa kusaka so nikupotezea.

Nikusubiri tu
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu dada zanguni vipenzi za toka jana mnaendeleaje nilikuwa napita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa jana ufanyieni kazi. Nikipata muda tena tapita siku ingine kuwakumbusha.

Asanteni sana kazi njema.
 
Hakuna jipya kwangu na mgazeti wote

Yeye anachotaka ni Nacky asiwe rafiki tena na Mwammy, hayo sijui kuingiza akina Lucy na wengine anataka tu achukiwe

Anaboa sasa mtu anawivu na mbaya wake hadi kuomba afukuzwe kwa wakwe, mbona yeye kaachika na bado anang'ang'ania kumwita mumewe mume bado na nguo za rangi rangi anazirusha.

Angekaa kimya, umbea wenyewe hana wa msuto kazi kuvalia njuga na labda kafanganywa na nacky mwenyewe huyo kaenda andika gazeti

Yote hayo Mwammy, na akome kutofunga mdomo. Bora amemtangaza Nacky now wanamjua wataishi nae kiakili basi.

Lucy mmh hana kazi muongoooooooo hadi anauzi leo amefurahi msuto feki asiojua sababu ni nini zaidi ya kutunga eti kalala uwii, nasubiri picha za Nacky na Mwammy si ataweuka tena.

Na wewe mange hauna mume atiii, ndoa yako imekufaaaaaa, pia acha kusema wanaouza nguo aaaaggghhh unakonunua nao wananunua wanauza pole watukane basi.

Hauna jipya nasema tena ni wivu wivu wivu na roho mbaya ndio maana hakuna hata mmoja kapatana na wewe tena

Hauchoki kuingiza wengine, Lucy wa nini kutaka usikie wamegombana kweli una kazi ya kuwanga.

Kwamimi binafsi nacky kufanyiwa ivyo nimefurahi sanaa tena sana mungu analipa hapa hapa dunia akhera zinaenda hesabu uyo bi kisebengo almanusra avunje ndoa yangu kwa tamaa zake .....
 
Yani hivi kwanini hawashughulikii hili tatizo la notifications bila notifications jf inabore mno. Sasa hyo sijui website ina complications na usumbufu juu. Invisible tuondoleeni kero ya notifications.

Fanyeni kususcribe thread kila mtu akicoment notification unapata,ila mbona mi napata na ninatumia android au haionekani kwa pc?


Mimi sitaki hizi za juu juu bwana ni kero.Nataka nizikute humu kama zamani.
Sio mtu unaona notification ukiingia huku huioni.
 
Last edited by a moderator:
Au nyie mliokua mwanza mnaona nini? Kwani wewe ukiingia humu ndani kwa kutumia App unaona notifications nyingine zaidi ya pm?


zote naona akinikoti,atakaenitag naona pia,pm pia naonaa
 
Habari zenu dada zanguni vipenzi za toka jana mnaendeleaje nilikuwa napita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa jana ufanyieni kazi. Nikipata muda tena tapita siku ingine kuwakumbusha.

Asanteni sana kazi njema.

Wewe unatu shauri ukiwa ka nani? Kama hutufatilii umejuaje saa zote tuko Jf mind ua own business. Ushauri mpelekee mkeo na Dada ako huko kitaa. Bundle zetu hutununulii hatuhitaji ushauri wako wa kichovu. Mwenyewe utakua mbeya ka mke wa balozi mfyuuuuuuu.
 
Habari zenu dada zanguni vipenzi za toka jana mnaendeleaje nilikuwa napita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa jana ufanyieni kazi. Nikipata muda tena tapita siku ingine kuwakumbusha.

Asanteni sana kazi njema.

Mbona unaingia kusoma

Haya karibu chakula cha mchana kimeiva na tumeshawaogesha wapendwa pia.

Kuna lingine tena?
 
Wewe unatu shauri ukiwa ka nani? Kama hutufatilii umejuaje saa zote tuko Jf mind ua own business. Ushauri mpelekee mkeo na Dada ako huko kitaa. Bundle zetu hutununulii hatuhitaji ushauri wako wa kichovu. Mwenyewe utakua mbeya ka mke wa balozi mfyuuuuuuu.


hivi hujamjua huyo anataka kuunganishwa group ndio maana anajikomentishaaa ,mbona siku zote hatumuon kasikia group Tu huyo kawa Baba ushauri aende angaza hukoo
 
Mbona unaingia kusoma

Haya karibu chakula cha mchana kimeiva na tumeahawaogesha wapendwa pia.

Kuna lingine tena?


anataka kuunganishwa group ILA anashindwa kuongea hhhhhaaaaaaaaa
 
Mimi kuingia leo desktop view mbona nilichoka yaani nots 398 nikabaki nashangaaa quotes 187 mentions 43 nianzie wapi mie na hiyo ni wiki 2 sijui, kazi kweli na app hii. Najua baadhi labda nitakuwa nimeziona

Mtu atazani umemsoma kumbe hata hukuona ame ku quote au mention hadi ukutane nayo kwenye uzi.

Halafu not zikija kama 5 ukifungua unarushwa kwenye vichwa vya forum, muda gani sasa kusaka so nikupotezea.

Nikusubiri tu

Sijui mods wana ajenda gani kabisa.Mwanzo tulihamia kwenye participated ikawa rahisi kidogo, baada ya wiki kuisha hata participated hakuna kitu.
😕😕
 
Kwamimi binafsi nacky kufanyiwa ivyo nimefurahi sanaa tena sana mungu analipa hapa hapa dunia akhera zinaenda hesabu uyo bi kisebengo almanusra avunje ndoa yangu kwa tamaa zake .....

Tumalizie basi ule ubuyu shoga, japo nakupa pole sana.
 
Sijui mods wana ajenda gani kabisa.Mwanzo tulihamia kwenye participated ikawa rahisi kidogo, baada ya wiki kuisha hata participated hakuna kitu.
😕😕

Mods wameamua kutukomesha kabisa hivi hawaoni au kuna shida gani.
 
Kwamimi binafsi nacky kufanyiwa ivyo nimefurahi sanaa tena sana mungu analipa hapa hapa dunia akhera zinaenda hesabu uyo bi kisebengo almanusra avunje ndoa yangu kwa tamaa zake .....

Huyu Nacky ni nooooma aisee. Hana haya ama kweli malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni mahesabu tu. Pole mwaaaaya tena angechabwa na kigodoro cha Uruguayi
 
Back
Top Bottom