hhaaaaahhuhaaaaaaaa weweeee
mpenzi we acha tuu
niko busy busy na mitihani na mareport napita kuchungulia tu yaani
heheeee dadeeeekiiiiii ni kujiongeza kama radio ya mbao
acha urongo wakati upo unapiga umbeaa Tu watoto umeacha unawimbisha tebo
hhhhhaaaahhhhaaaaaass nimecheka kufaaaeeee mi sitaki uwemo nawe utaje ambao hutaki wawemo iwe vile
mpenzi we acha tuu
niko busy busy na mitihani na mareport napita kuchungulia tu yaani
hhhhhaaaahhhhaaaaaass nimecheka kufaaa
mi kiroho safi kila mtu awemo anaehtaji maana umbea dawa ya kuishi maisha marefu
eeee mi sitaki uwemo nawe utaje ambao hutaki wawemo iwe vile
ndio vile ngoja nione mambo yanavyoendaa,miee nimekumiss na uongo pia na sitaki unieleze chochoteee
acha urongo wakati upo unapiga umbeaa Tu watoto umeacha unawimbisha tebo
hhhhhaaaaaaaa
Umeamkaje laazizi wangu? Kiboko yangu
Ha ha ha ha ndo utufundishie watoto......chezea ualimu wa shule ya msingi nini?
Baby na wewe umbea hadi jumapil, kanisan aah hutak kusikia?
Baby na wewe umbea hadi jumapil, kanisan aah hutak kusikia?
Wewe tena......hatari hiyo.Atakayenihitaji aniambie.Naenda kufanya mazoezi yakuchezea pyumbu kwa kutumia kisosi na poda😎
Umeamkaje laazizi wangu? Kiboko yangu
ndio vile ngoja nione mambo yanavyoendaa,miee nimekumiss na uongo pia na sitaki unieleze chochoteee
yani we acha tu tena mie mwl wa la kwanza na la pili