Ukweli wa kutoa siri za mashost? Wangemalizana hukohuko ili ku keep friendship. Urafiki ni gharama sana, lazima uwaelewe na kuwapenda marafiki.
Mtu akiwa anakurupuka na decisions za kum favor yeye binafsi, urafiki hauwezi kudumu.
Kuna siku kwa blog yake aliandika, bi fulani (mpole mno na rafik wa kigroup chao) alisaliti ndoa yake akalala hotel flani na fulani.
Yaani, sikumuelewa kabisa huyo msema kweli. Mi hata tukosanaje na shosti.. Bado siri yake ni yangu