Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Upweke unaua.

ukiona wale waliokuwa mashosti zako bado wako poa ila wewe umetengwa lazma ujiulize mara mbili una matatizo gani... i thnk huyu ana psychological problems pia..... kuna watu hawawezagi kuishi na watu... ugomvi na kila mtu..yaani believe me huyu hata akianzisha ushoga na watu wengine wapya kabisaaa still hatomaliza mwaka washakwaruzana...
 
Huwa unakosea spelling za id yangu dear, hata kule blogini kwenu mnakosea.
Cc: mzurimie.

Labda anajikomentia huyu kule

Tena bloguni ndio labda pia hawataki tusechiwe eti tutapata kiki, atiiii followers humu JF...lol
 
Last edited by a moderator:
Ms.Lincoln
Nimponde Mange kisa nini?Sio mara zote hua namkubali Mange, kuna wakati ananikera na hua nasema wazi, ila akifanya poa hua nasema pia.Sina haja ya kumchukia mtu kwa kila jambo, huo ni UNAFKI.Kila mwanadamu ana mema na mabaya yake.
Pia haya maisha kila mtu na lifestyle yake,wao walijichagulia maisha hayo, yakawakuta yaliyowakuta, sisi inatuhusu nini? Wenyewe wamevuna waliyoyapanda.
Hata hivyo Mange hajafanya vibaya kuwaanika maadui zake.Nilichopenda ni jinsi alivyoweka wazi kua wapo ambao yupo tayari kupatana nao na ambao hayupo tayari.

Ni nani asiyekua na maadui? Hata humu JF japo tunatumia fake id's tu lakini sidhani kama kuna ambaye hana adui yake japo tunatofautiana idadi.Hata mimi nifah nina maadui chungu nzima wengine nawajua wengine siwajui hua nasikia wanasema huko pm's kua hawanipendi.
Sasa hapa tu natumia fake id's na bado watu wananichukia kisa misimamo yangu na vile ninavyojielezea, katika maisha ya kawaida hali ikoje?
Hao ni wanaonichukia, wapo ambao tuliwahi kukwaruzana sehemu fulani hadi sasa hatuquote each other.
Vipi huko nje ya JF katika maisha ya kawaida?

Kugombana ni jambo la kawaida tu.Hata huyo Mange siwezi kumlaumu kwa kua na idadi ile ya watu maana hakupenda kuishi kinafki na watu ili tu aonekane mtu mwema.Ndio maana kasema hata yeye alikua na mapungufu yake.
Pia kuongea mambo yaliyokua moyoni ni vyema kwani vinyongo vinaua! Ni wangapi wanakufa kwa kujinyonga/pressure kisa msongo wa mawazo?
Hivyo yeye kutoa yake ya rohoni sio mbaya hata kidogo.
HATA SISI TUNA MAADUI, HAKUNA ALIYE MWEMA KWA WATU WOTE.

What else should I say? U said it all. Hata karl max alisema kugombana ni sehemu ya maisha. Society isiyo na conflict haiexist bado n with conflicts ndio kunakuwa na social progress
 
Last edited by a moderator:
Ms.Lincoln
Nimponde Mange kisa nini?Sio mara zote hua namkubali Mange, kuna wakati ananikera na hua nasema wazi, ila akifanya poa hua nasema pia.Sina haja ya kumchukia mtu kwa kila jambo, huo ni UNAFKI.Kila mwanadamu ana mema na mabaya yake.
Pia haya maisha kila mtu na lifestyle yake,wao walijichagulia maisha hayo, yakawakuta yaliyowakuta, sisi inatuhusu nini? Wenyewe wamevuna waliyoyapanda.
Hata hivyo Mange hajafanya vibaya kuwaanika maadui zake.Nilichopenda ni jinsi alivyoweka wazi kua wapo ambao yupo tayari kupatana nao na ambao hayupo tayari.

Ni nani asiyekua na maadui? Hata humu JF japo tunatumia fake id's tu lakini sidhani kama kuna ambaye hana adui yake japo tunatofautiana idadi.Hata mimi nifah nina maadui chungu nzima wengine nawajua wengine siwajui hua nasikia wanasema huko pm's kua hawanipendi.
Sasa hapa tu natumia fake id's na bado watu wananichukia kisa misimamo yangu na vile ninavyojielezea, katika maisha ya kawaida hali ikoje?
Hao ni wanaonichukia, wapo ambao tuliwahi kukwaruzana sehemu fulani hadi sasa hatuquote each other.
Vipi huko nje ya JF katika maisha ya kawaida?

Kugombana ni jambo la kawaida tu.Hata huyo Mange siwezi kumlaumu kwa kua na idadi ile ya watu maana hakupenda kuishi kinafki na watu ili tu aonekane mtu mwema.Ndio maana kasema hata yeye alikua na mapungufu yake.
Pia kuongea mambo yaliyokua moyoni ni vyema kwani vinyongo vinaua! Ni wangapi wanakufa kwa kujinyonga/pressure kisa msongo wa mawazo?
Hivyo yeye kutoa yake ya rohoni sio mbaya hata kidogo.
HATA SISI TUNA MAADUI, HAKUNA ALIYE MWEMA KWA WATU WOTE.

nifah am sorry but i dont mean to offend u but please we ni mkali sana na una maneno makali mno japo hayana matusi ila daah...!!
am sorry km ntakukwaza kwa hili
kuhusu jf watu kuchukiana mi naonaga ujinga tu eti unsengenye kwa fake id tena hakuna ht mtu mmoja humu anaenijua labda ataanza kujishobosha shobosha
huo si undezi huoo

au eti unajifanya una hasira au hunipendi mpk huniqoute huo uchizi sasa...

mi mbona jf naichulikiaga km sehemu ya kubadilishana mawazo km darchat enzi zile

jamani km kuna mtu ananichukia nyuma ya keyboard"hongera sana"maana unadhihirisha ulivyo sifuri kiakili na kimwili

yani kabisa unachukia id's za watu labda km mshaonanaga hapo sawa na ndo maana sitaki kukutana na snitches yoyote humu labda wale wanaojielewa

maana utakutana na mtu kwa nia njema tu kumbe at very first place mwenzio kashakutangaza kua una sura km king kong mie nachukia sana maugomvi ugomvi hasa kwenye mitandao km hii maana humu wengine wana wenza wao,ndugu zao, nk
mi napenda sana amani ndo maana nikiona mtu anakuja juu mi napotezea sana si km naogopa ila sioni haja ya kujitoa fahamu sana
pole kwa ww usiyoqoute watu kisa umegombana na anonymous
kazi unayooo...!!
 
Last edited by a moderator:
Lakini kama mtu we ndo unapondeaga wenzako wana sura kama king kong kwanini na we wasikutangaze??!! Teh!
Nimewaza tu

nifah am sorry but i dont mean to offend u but please we ni mkali sana na una maneno makali mno japo hayana matusi ila daah...!!
am sorry km ntakukwaza kwa hili
kuhusu jf watu kuchukiana mi naonaga ujinga tu eti unsengenye kwa fake id tena hakuna ht mtu mmoja humu anaenijua labda ataanza kujishobosha shobosha
huo si undezi huoo

au eti unajifanya una hasira au hunipendi mpk huniqoute huo uchizi sasa...

mi mbona jf naichulikiaga km sehemu ya kubadilishana mawazo km darchat enzi zile

jamani km kuna mtu ananichukia nyuma ya keyboard"hongera sana"maana unadhihirisha ulivyo sifuri kiakili na kimwili

yani kabisa unachukia id's za watu labda km mshaonanaga hapo sawa na ndo maana sitaki kukutana na snitches yoyote humu labda wale wanaojielewa

maana utakutana na mtu kwa nia njema tu kumbe at very first place mwenzio kashakutangaza kua una sura km king kong mie nachukia sana maugomvi ugomvi hasa kwenye mitandao km hii maana humu wengine wana wenza wao,ndugu zao, nk
mi napenda sana amani ndo maana nikiona mtu anakuja juu mi napotezea sana si km naogopa ila sioni haja ya kujitoa fahamu sana
pole kwa ww usiyoqoute watu kisa umegombana na anonymous
kazi unayooo...!!
 
Hahahahaa, mmojawapo mie nikiwemo.Sioni sababu ya kukasirika kisa gazeti lake alilolitoa mwenyewe.
VITA VYA PANZI FURAHA YA KUNGURU.

Hahaaaaaa umejuaje sasa. Nothing more than ubuyu wa mjini mweeeeh.

Nimeona tu jana mlivyomdaka SIERA amwage ubuyu! Lol
Kule IG sasa ndo usipime watu wanavyochekelea.

Na ile issue ya Wema kutembea na ex wa Lina ni shida eti watu wanamsubiri mange amchambe mdogo wake! Duuuh hali si shwari aiseee
 
Last edited by a moderator:
ndo maana sitaki kukutana na snitches yoyote humu labda wale wanaojielewa

maana utakutana na mtu kwa nia njema tu kumbe at very first place mwenzio kashakutangaza kua una sura km king kong

Hapa nimecheka hadi bhaaaasssss. JF miaka km 3 iliyopita wakati najiunga members walikuwa wanajitambua sana. Akina lizy, husniyo, preta, gfsonwin n.k hadi nilikuwa natamani kuwaona. Ila JF ya Leo toka registalration ya member Wa kata ianze after techno kuweka internet basi imeharibika. Nawaogopa members Wa JF kama ukoma vile. Japo sina ugomvi na yoyote.
CC kaka matumbo eti kwani tuna ugomvi?
 
Last edited by a moderator:
Hapa nimecheka hadi bhaaaasssss. JF miaka km 3 iliyopita wakati najiunga members walikuwa wanajitambua sana. Akina lizy, husniyo, preta, gfsonwin n.k hadi nilikuwa natamani kuwaona. Ila JF ya Leo toka registalration ya member Wa kata ianze after techno kuweka internet basi imeharibika. Nawaogopa members Wa JF kama ukoma vile. Japo sina ugomvi na yoyote.
CC kaka matumbo eti kwani tuna ugomvi?

Uko sahihi kbs.....
 
Last edited by a moderator:
Nimeona tu jana mlivyomdaka SIERA amwage ubuyu! Lol
Kule IG sasa ndo usipime watu wanavyochekelea.

Na ile issue ya Wema kutembea na ex wa Lina ni shida eti watu wanamsubiri mange amchambe mdogo wake! Duuuh hali si shwari aiseee

Hahaha hahahaha.. Lol mjini kuna mambo aisee.. Ngoja nikaangalie ubuyu wa Wema..
 
Last edited by a moderator:
Hapa nimecheka hadi bhaaaasssss. JF miaka km 3 iliyopita wakati najiunga members walikuwa wanajitambua sana. Akina lizy, husniyo, preta, gfsonwin n.k hadi nilikuwa natamani kuwaona. Ila JF ya Leo toka registalration ya member Wa kata ianze after techno kuweka internet basi imeharibika. Nawaogopa members Wa JF kama ukoma vile. Japo sina ugomvi na yoyote.
CC kaka matumbo eti kwani tuna ugomvi?

Aaah umenikumbusha Lizy jaman hivi na Rose1980 kapotelea wapi...
 
Last edited by a moderator:
Hapa nimecheka hadi bhaaaasssss. JF miaka km 3 iliyopita wakati najiunga members walikuwa wanajitambua sana. Akina lizy, husniyo, preta, gfsonwin n.k hadi nilikuwa natamani kuwaona. Ila JF ya Leo toka registalration ya member Wa kata ianze after techno kuweka internet basi imeharibika. Nawaogopa members Wa JF kama ukoma vile. Japo sina ugomvi na yoyote.
CC kaka matumbo eti kwani tuna ugomvi?

Enzi za Jambo forum ndio hakunaga.
 
Last edited by a moderator:
Unfortunately I don't comment on Mange's blog, I only tell you guys off sometimes because you seemed to have personal crushes with her. It doesn't need a degree for someone to notice, anyway have a good day.


Naoma umeamua kukubali kushindwa kujitetea kwao hadi unasingizia maana hata mimi nimewasona humu hakuna cha crush wala wivu bali wanashusha facts

Ndio ni ngumu kukubali ila unachemsha kuanza kisingizia inaonyesha kushindwa nao na inaeleweka ukweli unauma.
 
Back
Top Bottom