Mange unataka kufundisha nini wanawake?

All up
Okey...
...............
 

upo sahihi, anatumia nyeti na mbaya zaidi haijamfikisha popote sanasana anaharibikiwa akaili
 
Mumrushie mawe Mange weeee... ila kuna kijiukweli fulani kwa mbaaaaaaliii

Hahahaaaaa huyo mdada ni kiboko.

Sanaa ya kuwatoa watu mapovu anaimudu vizuri sana.

Mida hii usikute yuko kitandani na mumewe halafu huku kwenye mbu watu wanatoa mapovu kushinda concentrated Tide laundry detergent.

Ana 'fans' wengi sana huyo dada. Hata so called haters ni fans pia ila walioko kwenye denial tu.

I hope she turns all her haters into motivators, just like I do.

USA baby......
 
Kumbe Ni Msomi? Amebobea kwenye nini vile?
 
Haki ya mama Mange ndio kwishney! kweli kama ni talaka inampa ulevi hivi kazi ipo.
Huyu dada kuna kipindi nilikua nafuatilia sana Blog yake lakini baada ya kuona kila kukicha ni habari moja tu ya Baby boy ikabidi niachane naye nikajua hana habari, by the way ameachika lini tena huyu mrembo nimtafute anilie hela kidogo namimi
 
Huyu dada kuna kipindi nilikua nafuatilia sana Blog yake lakini baada ya kuona kila kukicha ni habari moja tu ya Baby boy ikabidi niachane naye nikajua hana habari, by the way ameachika lini tena huyu mrembo nimtafute anilie hela kidogo namimi
Habari ipo humu JF jukwaa la hili hili, naona anaeleza jinsi ya kuishi kwa kutumia nyapu.
 
BTW hiyo id siyo ya Mange, iangalieni vizuri ina _ wakati ya Mange haina hiyo alama.

ie real ni Mangekimambi na siyo Mangekimambi_
 
BTW hiyo id siyo ya Mange, iangalieni vizuri ina _ wakati ya Mange haina hiyo alama.

ie real ni Mangekimambi na siyo Mangekimambi_

Talk about attention to detail.

Ina maana kuna mmoja wa ma-fans wake ana pose kama yeye?

If that's the case then wowzers!
 
Talk about attention to detail.

Ina maana kuna mmoja wa ma-fans wake ana pose kama yeye?

If that's the case then wowzers!

Obvious, Mange ni popular figure Bongo kwenye social networks.

Hivyo mtu akitumia account name inayofanana fanana anajihakikishia followers ndani ya kipindi kifupi.

Na anachojaribu kufanya ni kupost kila kitu kwa mfanano wa Mange mwenyewe.

Ni kama Wema Sepetu, kuna acc nyingi sana siyo zake ila ziko kwa jina lake.
 
Mkuu case yako na ya huyu chizi ni tafauti.Hata mm nakukubali ingawaje samtaimz huwa tunatafautiana mitazamo.ndo maisha yalivyo dunianiwatu hatuwezi kuwa na mitazamo sawa.Pili wewe huwa unafanya trolling lakini watu tunajua unaakili zako ziko sawa tu,na uelewa wa mambo unao.lakini huyu bishosti matendo na kauli zake inaonyesha kabisa hayuko sawa.na anachopost ndo anachokusudia ndo akili yake inavyomtuma na sio trolling wala baiting.
 

Got ya.

Ila huyo mdada anatesa sana hisia za watu na keshalijua hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…