Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,

Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,

MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.

Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.

Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.

Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
 

Attachments

  • 1709110505476.jpg
    1709110505476.jpg
    448.2 KB · Views: 3
Uzuri wa Mwanamke ni Tabia. Angalia mwenye Tabia njema, atakayekuvumilia katika mapito yako yote. Pia angalia mchapakakazi hata kama atakua mama wa nyumbani, ukimpa support kidogo analeta matokeo chanya katika ustawi wa famila yenu. All the best!
Sawa, hapo tupo pamoja. Na je vipi kuhusu kitandani mzee
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,

Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,

MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.

Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.

Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.

Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Mtafute lucha mgonjwa wa akili ana uraibu wa hivi pia Lucha
 
Dah bro kwani unaolea kijiji? Kama unaona kupata msaidizi angalia anayekufaa wewe. Sisi wengine ni watazamaji tu. Angalia tabia, heshima, uwezo wa kulea wanaona ikiwa utapatwa na changamoto na furaha ya moyo wako. Ondoa binadamu wengine kwenye equation halafu jiamulie sasa.
 
Back
Top Bottom