The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee[emoji15] sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfupi, mweusi, mnene kidogo.. sampuli ya wanaume wa aina hii wanasumbukaga sana kupata wanawake!
🙏🙏🙏🙏😕Dah bro kwani unaolea kijiji? Kama unaona kupata msaidizi angalia anayekufaa wewe. Sisi wengine ni watazamaji tu. Angalia tabia, heshima, uwezo wa kulea wanaona ikiwa utapatwa na changamoto na furaha ya moyo wako. Ondoa binadamu wengine kwenye equation halafu jiamulie sasa.
Sina huo uwezoNdio uufanye na ufaulu.....
NiniMjukuu ongeza
Wee kweli eeeeMbona wote hawana sifa ya kuolewa ,
Anza upyaaa tuu mkuu.
Dah, mazarau hayaVifutu nao wameanza kuchagua wapenzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akhiiiiih Dunia simama, nishukeee.
Anaweza akawa mzuri kitandani lakini tabia ikawa mbovu na akakusumbua usipate amani ya moyo. Kikubwa tabia na wewe je unapata utulivu wa akili yako na amani ya moyo?. Ni hayo tuSawa, hapo tupo pamoja. Na je vipi kuhusu kitandani mzee
Anaweza akwa mzuri kitandani lakini tabia ikawa mbovu na akakusumbua usipate amani ya moyo. Kikubwa tabia na wewe je unapata utulivu wa akili yako na amani ya moyo?. Ni hayo
Ohoooooo, kidogo nakuelewaMimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......
Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
Kipa katoka papaiMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani
Namba B ni uhakika....amini kwamba.Ohoooooo, kidogo nakuelewa
Naunga mkono hoja, B anaweza akawa chaguo, kikubwa je ana tabia nzuri?Mimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......
Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.