Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #61
Wote wanatabia nzuri shida ya B HAKUNA nguo anaweza vaa akapendezaNaunga mkono hoja, B anaweza akawa chaguo, kikubwa je ana tabia nzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wanatabia nzuri shida ya B HAKUNA nguo anaweza vaa akapendezaNaunga mkono hoja, B anaweza akawa chaguo, kikubwa je ana tabia nzuri?
Sawa mkuuNdugu mjumbe umetukosea sana Wajumbe wenzio, imekuwaje utoe picha ya Binti mmoja badala ya wawili??
Btw Kuna mjumbe mmoja hapo juu ameshauri ubadiri Dini ili uweze kuwaoa wote wawili ili upate a complete package uitakayo
Kumbuka mfalme Suleiman amewahi kudate Wanawake 1,000 ila mwishoni akasema yote ni ubaditili
Chagua mmoja mweke ndani, then ufocus na maisha tu
Alafu mbona kama kalio moja limemzidi mwenzake!?huyo wa kwenye picha nomba no zake nmshauri kitu kuhusu maisha
Kwanza B ni mtamu sana afu anaenda ule mwendo mimi nataka, afu hata ukitaka kutwa mara 4 poa ukitaka kimoja poa pia,.Mi nataka kujua vya ziada unavyopewa ana k mbili au?
DuhAlafu mbona kama kalio moja limemzidi mwenzake!?
Hakuna hata siku nimemuona kavaa kupendeza katika maisha yakeushauri wa kumvalisha vizuri.
Nenda na BKwanza B ni mtamu sana afu anaenda ule mwendo mimi nataka, afu hata ukitaka kutwa mara 4 poa ukitaka kimoja poa pia,.
Ahahahaaaa, mimi ni mwenyeji wa TANZANIAwewe ni mwenyeji wa wapi ngosha?
Tatizo la B ni jau hata kumuweka katika ISTNenda na B
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah, mazarau haya
Nenda na ATatizo la B ni jau hata kumuweka katika IST
Shida ya A mda mwengine mnapangiana hata idadi ya magoliNenda na A
Utakuta mimi nataka yeye hataki tenaNenda na A
MkeMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Jito..mbe tu sasaShida ya A mda mwengine mnapangiana hata idadi ya magoli
Kumbe kuna watu mnaakili humu na hamsemi,.Mke
1:mcha mungu
2:mwenye akili ya maisha/easy to guide
3: kwakua ni mcha mungu hata mavazi yake yatakua ya heshima
4:anaweza asiwe Mtundu kitandani lkn unaweza mfundisha unavyotaka,wengine wakiwa na wapenzi wao hua wanadeka mpk uanzishe wewe mwanaume.
In summary
Anaekupa mapenzi mengi sasa hamtadumu nae kwakua kuna kitu anakitaka Kutoka kwako once ukimuweka ndani atakubadilikia km humjui
AiJito..mbe tu sasa
Kwa hiyo Unataka wa kulinga nae kwa washkaji na sio wa kufanya nae maisha? Sifa zitakuponza. Maisha ni kuridhika wewe mwenyewe, maisha ni yako wewe sio ya washkajiMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
AhaaaaKwa hiyo Unataka wa kulinga nae kwa washkaji na sio wa kufanya nae maisha? Sifa zitakuponza. Maisha ni kuridhika wewe mwenyewe, maisha ni yako wewe sio ya washkaji