Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Huyounayesema anakupa hadi ziada unamaanisha anakupa mku**ndu? au?
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,

Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,

MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.

Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.

Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.

Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?



Hapo unabidi uangalie zile sifa ambazo hazina uhusiano na ngono ?
Sex ni adaptability everyone can pretend to be nice on her bed

So kuwa makini maana katika kuoa

Huyo mwanamke unaemuoa anaenda kubeba majukumu kama haya

Mama wa watoto wako
Mshauri wako
Mkono wako wa tatu (third hand)


So it is better to be logical in making a choice when to come in marriage issue.
 
Hapo unabidi uangalie zile sifa ambazo hazina uhusiano na ngono ?
Sex ni adaptability everyone can pretend to be nice on her bed

So kuwa makini maana katika kuoa

Huyo mwanamke unaemuoa anaenda kubeba majukumu kama haya

Mama wa watoto wako
Mshauri wako
Mkono wako wa tatu (third hand)


So it is better to be logical in making a choice when to come in marriage issue.
Kimombo mzee
 
Sample yako bado ni ndogo sana. Yaani una wanawake wawili tu ndio unataka uchague mke? Sasa hapo unachagua nini? Ulitakiwa uwe nao angalao 6 - 10 hapo ndio unaweza kufanya uchaguzi! Vigezo vya kuangalia ni vingi sana huwezi kuvipata kwa watu wawili. Ongeza sample acha uzembe.

😊

Wawili tu wanamtoa jasho hadi uzi JF...

Akiwa nao 6 tutamkuta Clouds kipindi cha njia panda...
 
Yaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee😳 sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili
🤣🤣🤣
 
Chukua shilingi 500
Mwenge - mwanamke mrembo
Bichwa - mzuri kitandani
Rusha juu kabla hujaidaka yule mwanamke ambae unatamani umkute ameshinda kwenye shilingi ndo huyo huyo mkeo oa!
When you're not sure, flip a coin. Because when the coin is in the air you'll realize which one you're actually hoping for.❞
 
Chukua shilingi 500
Mwenge - mwanamke mrembo
Bichwa - mzuri kitandani
Rusha juu kabla hujaidaka yule mwanamke ambae unatamani umkute ameshinda kwenye shilingi ndo huyo huyo mkeo oa!
When you're not sure, flip a coin. Because when the coin is in the air you'll realize which one you're actually hoping for.❞
Hii mbinu ya sarafu huwa naitumiaga kwenye matukio yangu flani
 
Sample yako bado ni ndogo sana. Yaani una wanawake wawili tu ndio unataka uchague mke? Sasa hapo unachagua nini? Ulitakiwa uwe nao angalao 6 - 10 hapo ndio unaweza kufanya uchaguzi! Vigezo vya kuangalia ni vingi sana huwezi kuvipata kwa watu wawili. Ongeza sample acha uzembe.
Wewe unanifundisha uhuni
 
Ukimchukua A baadaye utaanza kumfikiria B na ukimchua A baadaye unamfikiria B.

Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa lakini tendo la ndoa ndilo linaimarisha ndoa.

Kesi nyingi za kuchepuka chanzo ni upungufu au ukosefu wa tendo.[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
 
Back
Top Bottom