Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #81
Sina uwezo wa kuoa wote wawiliwaoe wote wawili ili upate huo mchanganyiko wa muonekano barabarani na ridhiko kitandani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uwezo wa kuoa wote wawiliwaoe wote wawili ili upate huo mchanganyiko wa muonekano barabarani na ridhiko kitandani.
Kwanza itanilazimu niwaoe wote kwa siku moja. Maana nikianza na mmoja mahusiano na mwengine ndio yatakuwa yamekufawaoe wote wawili ili upate huo mchanganyiko wa muonekano barabarani na ridhiko kitandani.
Mpeleke Shopping atapata nguo nzuri tu za kumpendeza hakuna mwanamke asiyependezaWote wanatabia nzuri shida ya B HAKUNA nguo anaweza vaa akapendeza
Mazingira ya ankara fezwa ndiyo maana unamwona ivooo.Hakuna hata siku nimemuona kavaa kupendeza katika maisha yake
Mpeleke Shopping atapata nguo nzuri tu za kumpendeza hakuna mwanamke asiyependeza
Kwani yupo wapi kwanza😂😂Badili dini, oa wote, yanini kujibana bana na kujinyima raha....
SizaniMazingira ya ankara fezwa ndiyo maana unamwona ivooo.
TanzaniaKwani yupo wapi kwanza😂😂
Ondoka na B utanishukuru baadaeMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
😭😭😭😭😭He Taifa Langu hili kweli?View attachment 3066627
B hawezi kukubali tena kwanza ana wivu baraaOa huyo mwenye sura hata ukienda mahali hujishtukii! Huyo anayekupa vitu mob awe mchepuko wa kudumu.
We oa kwanza haumuombi rahusa yeye, atajileta tu, hakikisha una chenchi za hapa na paleB hawezi kukubali tena kwanza ana wivu baraa
Hizo zipo mbonaWe oa kwanza haumuombi ragusa yeye, atajileta tu, hakikisha una chenchi za hapa na pale
Kwa akili hizi miaka 30 ni midogo sana kwako kuingia kwenye ndoa naandika kama mdogo wako tulia tulia angalau ugonge 40 broo.Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
😣😣😣😣😣😣😣Huyo wa kwenye picha ndio mzuri zaidi? Sasa huyo ambae hujatuma picha yake atakuwaje?
Ushauri mzuri piaKwa akili hizi miaka 30 ni midogo sana kwako kuingia kwenye ndoa naandika kama mdogo wako tulia tulia angalau ugonge 40 broo.
Mfupi, mnene na nyongeza ya weusi na anahisi wanawake wawili wanampenda. Katiba mpya si lazimaYaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee😳 sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili