Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
wewe ni mwenyeji wa wapi ngosha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 ya mbele na ya nyumaMi nataka kujua vya ziada unavyopewa ana k mbili au?
Sijamaliza kusoma uzi nimetishia pale ulivuosema wewe ni mfupi, hapo tatizo ni kwamba UNA KIBAMIAMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Asilimia kubwa atakuwa anayo nzuri tabia.Naunga mkono hoja, B anaweza akawa chaguo, kikubwa je ana tabia nzuri?
Oa woteMimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,
Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,
MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.
Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.
Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.
Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Hilo kasheshe😅😅😅 ya mbele na ya nyuma
Daaah siku izi ndo fasheni kikubwa mwanaume atoe pesa 😚Hilo kasheshe
Mnawezana nayo enyi kizazi cha kizimkaziDaaah siku izi ndo fasheni kikubwa mwanaume atoe pesa 😚
Sample yako bado ni ndogo sana. Yaani una wanawake wawili tu ndio unataka uchague mke? Sasa hapo unachagua nini? Ulitakiwa uwe nao angalao 6 - 10 hapo ndio unaweza kufanya uchaguzi! Vigezo vya kuangalia ni vingi sana huwezi kuvipata kwa watu wawili. Ongeza sample acha uzembe.Ohoooooo, kidogo nakuelewa
We ni kizazi cha nani?? 😅😅😅Mnawezana nayo enyi kizazi cha kizimkazi
ButiamaWe ni kizazi cha nani?? 😅😅😅
Sawa kama ni cha nyerereButiama
Tatizo la B hakuna nguo anaweza vaa akapendezaMimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......
Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
Acha ncheke kwanzaKipa katoka papai
Miaka 30 wewe sio kijana ni mtu mzima hovyo
Cha mkoloni teh!Sawa kama ni cha nyerere
Hakuna mwanamke mbaya duniani kama vipi nitumie picha zake nikupe ushauri wa kumvalisha vizuri.Tatizo la B hakuna nguo anaweza vaa akapendeza