Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,

Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,

MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.

Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.

Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.

Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Sijamaliza kusoma uzi nimetishia pale ulivuosema wewe ni mfupi, hapo tatizo ni kwamba UNA KIBAMIA
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,.
Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa,

Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji niwaoe,.
Shida inakuja kuwa,

MMOJA ni mzuri sana kumtazama machoni pangu na machoni pa watu pia. Yaani akivaa na akiwa anatembea humtoi kasoro. Mfano kwenye picha, ila sasa kasoro yae kitandani hanipi kile ninachohitaji.

Alafu huyu mwengine yeye kitandani ananipa ninachotaka tena mpaka na ziada, nikilala naamshwa naulizwa vipi wangu hautaki tena nilale,. Tena napata haswa iwe asubuhi mchana au jioni.
Ila huyu B yeye kasoro yake ni wakawaida yaani sio wa kulinga nae mtaani wala mbele ya washkaji,.

Mfano hata wewe msomaji ikitokea wamefata wote basi utamuita B ili akuombee namba ya A wakati kumbe hiyo ndio mali kitandani,.

Je nimchukue yupi kwenye kufanya wa maisha yangu.?
Oa wote
 
Mpaka hapo unaongozwa na tamaa.
1. Tamaa ya sifa
2. Tamaa ya ngono

Huoi kwa malengo bali tamaa.
Siwezi kukuambia uchague yupi na umuache yupi kwa sababu;

Ukimchagua huyo mzuri, siku akipata dosari uzuri ukaisha, basi utamtupilia mbali.

Ukimchagua huyo mtamu kitandani, siku utamu ukiisha utamtupilia mbali.

Kiufupi tu nikuambie, bado unasafari. Tafuta mwanamke mwenye hekima, heshima, anayejitambua na ambaye anaweza kukushauri jinsi ya kuishi.

Ahsante!
 
Ohoooooo, kidogo nakuelewa
Sample yako bado ni ndogo sana. Yaani una wanawake wawili tu ndio unataka uchague mke? Sasa hapo unachagua nini? Ulitakiwa uwe nao angalao 6 - 10 hapo ndio unaweza kufanya uchaguzi! Vigezo vya kuangalia ni vingi sana huwezi kuvipata kwa watu wawili. Ongeza sample acha uzembe.
 
Mimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......

Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
Tatizo la B hakuna nguo anaweza vaa akapendeza
 
Back
Top Bottom