Manguli wa Siasa, Zitto Kabwe, Stephen Wassira, John Cheyo, Kuunguruma Kwenye Kipindi cha KMT cha Channel Ten, Kila Jumapili Saa 3:00 Usiku, Usikose!

Manguli wa Siasa, Zitto Kabwe, Stephen Wassira, John Cheyo, Kuunguruma Kwenye Kipindi cha KMT cha Channel Ten, Kila Jumapili Saa 3:00 Usiku, Usikose!

Naamini umeusikiliza wimbo wa Lady Jaydee unaoongelea fursa na umeutimia vyema. Kwako ni wakati mzuri wa kutengeneza maokoto kwani ni msimu wa maokoto kuelekea 2025!
Usitusahau wahenga, hata ya bando napokea. Hongera P.ila hiyo channel 10 sijawahi kuyasumbua macho yangu kuiangalia!
 
Atachukuaje wavuta bangi aina ya Mdude Nyagali kumpeleka kwenye kipindi kitakacho sikilizwa na watu wenye hekima na busara zao.nani anataka kukaa kusikiliza Mdude akitukana matusi kama kichaa au mwendawazimu?
Kuyasema majizi ya kura siku hizi ni kutukana. Cha ajabu hayo majizi ya kura yanaamini yanaheshima!
 
Umemsahau Mzee Joseph Butiku, Mzee Sinde Waryoba na Mzee Freeman Mbowe. Ili kupata viewers wengi zaidi washawishi Azam TV nao warushe vipindi hivyo kwa muda na siku muafaka kwao. Ni wazo zuri ambalo baadaye utawaalika pia pia watu kama Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu.

Pia usiache kutupia link ya vipindi hivyo huku Jf forums
 
Wanabodi Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU Usikose!. Paskali
 
Wanabodi

Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee

Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025

View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_

View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn

View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh

View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z

View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX

View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU

Usikose!.

Paskali

Mdude namfahamu vyema sana.alikuwa anaishi mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi mji wa Vwawa. Nachokuambia ndio ukweli wenyewe kuwa Mdude kichwa chake kilishajaa moshi wa Bangi tuuu.
 
Umemsahau Mzee Joseph Butiku, Mzee Sinde Waryoba na Mzee Freeman Mbowe. Ili kupata viewers wengi zaidi washawishi Azam TV nao warushe vipindi hivyo kwa muda na siku muafaka kwao. Ni wazo zuri ambalo baadaye utawaalika pia pia watu kama Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu.

Pia usiache kutupia link ya vipindi hivyo huku Jf forums
Asante sana Mkuu Dr Akili, Channel Ten ni kwa kuanzia tuu, target ni 5 TV Stations, TBC, ITV, Azam TV, Channel Ten na Star TV.

Nitawaleta wote hao.
P
 
Kuyasema majizi ya kura siku hizi ni kutukana. Cha ajabu hayo majizi ya kura yanaamini yanaheshima!

Kweli kabisa channelTen watakuja na msamiati wa maneno kwa kutumia kamusi yao maalum ya lugha ya kiswahili iliyoandaliwa mtaa wa Lumumba Ofisi ndogo ya CCM wataipeleka hapo jirani maana wapo mtaa mmoja na Channel Ten

Serikali ya CCM inahagaika sana kujisafisha inakumbusha kazi ya mtunzi wa riwaya George Orwell na kitabu chake maarufu duniani kiendacho kwa jina 1984 ambapo kuna wizara ya ukweli.

Ni nini kinashangaza kuhusu jina la Wizara ya Ukweli? (ya CCM) itakayowaleta waziri Stephen Wassira, katibu John Cheyo na mkurugenzi Zitto Kabwe na kwenu wananchi kupitia kituo cha Channel Ten siku ya jumapili usiku muda kuanzia saa 3 usiku kuzungumzia HAKI

Wizara kubwa na muhimu kupita zote ni Wizara ya Ukweli. Hapa ndipo Winston (kinara waziri Wassira) anafanya kazi. Kinachoshangaza ni kwamba, Wizara ya Ukweli imejikita katika kuunda uwongo. Wafanyikazi katika idara ya Winston hutumia siku yao kubadilisha rekodi za kihistoria ili ziakisi chochote kinachotokea wakati huo .


Je, kazi ya Winston kada wa chama katika nukuu ya Wizara ya Ukweli ni ipi?
Winston anaenda kufanya kazi katika idara ya kumbukumbu ya Wizara ya Ukweli. Anakaa kwenye meza yake, akiangalia maandishi yake, mashine ambayo huandika kile anachozungumza ndani yake. Kazi yake ni kusasisha taarifa zozote za maandishi ambazo zimethibitishwa kuwa si sahihi au zenye madhara kwa Chama - George Orwell 1984



Je, Wizara ya Ukweli inatumia msemo gani? Wizara ya Ukweli ina kauli mbiu tatu: "Vita ni Amani," "Uhuru ni Utumwa," na "Ujinga ni Nguvu." Mistari hii mitatu imeandikwa nje ya jengo ya Ofisi Ndogo ya Chama mtaa wa Lumumba . - George Orwell


George Orwell :

Je, ni nukuu gani kuhusu ukweli na uongo George Orwell 1984?
"Na ikiwa wengine wote walikubali uwongo ambao Chama kiliweka - ikiwa rekodi zote zilisema hadithi moja - basi uwongo huo ulipitishwa katika historia na kuwa ukweli. 'Ni nani anayedhibiti yaliyopita' aliendesha kauli mbiu ya Chama, 'anadhibiti siku zijazo: ni nani anayedhibiti sasa anadhibiti yaliyopita. '” - George Orwell

'The Ministry of Truth: A Biography of George Orwell's "1984"
 
Back
Top Bottom