Manguli wa Siasa, Zitto Kabwe, Stephen Wassira, John Cheyo, Kuunguruma Kwenye Kipindi cha KMT cha Channel Ten, Kila Jumapili Saa 3:00 Usiku, Usikose!

Manguli wa Siasa, Zitto Kabwe, Stephen Wassira, John Cheyo, Kuunguruma Kwenye Kipindi cha KMT cha Channel Ten, Kila Jumapili Saa 3:00 Usiku, Usikose!

Wanabodi

Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee

Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025

View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_

View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn

View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh

View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z

View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX

View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU

Usikose!.

Paskali


Hichi kipindi sitakiamimi Sana. Kimekaa kinafiki
 
Wanabodi

Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee

Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025

View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_

View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn

View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh

View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z

View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX

View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU

Usikose!.

Paskali

Channel ten+CCM huko waungwana hakutuhusu wanafiki na wazandiki ndio Pahala Pao halafu Mzee momose sio mwenyekiti wa DP badilisha ni mwenyekiti wa UDP
 
Wanabodi

Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee

Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025

View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_

View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn

View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh

View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z

View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX

View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU

Usikose!.

Paskali

Mbona Chadema hujawaalika kabisa ? Au wamesusa mwaliko ?

econonist JokaKuu Tindo Bams zitto junior
 
Wanabodi

Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee

Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025

View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_

View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn

View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh

View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z

View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX

View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU

Usikose!.

Paskali

Mbona HalimaM Mdee hajaalikwa?
 
Bwana Paskali Mayalla anasema anatumia kipindi chake kuwapa watanzania ELIMU YA KATIBA na SHERIA, lakini wakati huohuo kipindi anachokiandaa kimejaa watu ambaye yeye anawaita WANASIASA NGULI, watu ambao wanazifahamu sheria kama raia na wanasiasa, lakini siyo WANASHERIA WENYE UTAALAMU WA KATIBA. Hivi kweli hawa WAZEE WA COLD-WAR aina ya Wassira na Cheyo ndiyo waje kutufundisha sisi watanzania kuhusu mabadiliko ya kikatiba kweli ? Walau hata Zitto Kabwe naweza kukuelewa.

Aiseeh....​
Akimualika Lissu alafu achafue hali ya hewa, Itamgharimu zaidi Paskali.
 
Hichi kipindi ili kiendeleee kurushwa kwenye channel ten, ni lazima waalikwa wawe machawa wa mama Samiah. Maana yeye ndio mmiliki wa hiyio Channel ten
 
Mbona HalimaM Mdee hajaalikwa?
Ataalikwa tena nitawaalika wote 19, watuambie barua yao aliandika nani, alisaini nani, na ali stamp nani?, maana barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC ni bona-fide genuine!.
P
 
Ataalikwa tena nitawaalika wote 19, watuambie barua yao aliandika nani, alisaini nani, na ali stamp nani?, maana barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC ni bona-fide genuine!.
P
Hahaha

Dr.P acha masihara.


Walighushi barua wakasaidiwa na mfumo wa goverment
Wabunge wale 19 ni kielelezo cha kukosekana utawala wa sheria.

Iwapo serikali iliweza kughushi nyaraka za Mdee je wanashindwaje kughushi nyaraka zingine katika kuiba mali ya umma.

Jambo linalofanya Tanzania kuendelea kuwa maskini ni kukosekana utawqla wa sheria. KUNA watu wapo juu ya sheria na wengine chini ya sheria.

Ukiwa kapuku ukikutwa na nyama ya swala ni miaka 22 jela ila ukiwa unacho unaweza kushughi nyaraka na kuendelea kujichotea mamilioni ya pesa za walala hoi kama mbunge.

Uwepo wa Mdee Bungeni ni kielelezo cha uchafuzi uliofanyika wakati wa uchguzi wa 2020. WANACHI hawakupewa fursa kutunia kura zao kuchagua viongozi wao.

Ni kama nchi ipo katika ukoloni baada ya kupata uhuru 1961.
 
Sasa mbona walioitwa wote ni MACHAWA? Maana ktk hao wote hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kumkosoa hangaya
 
Hahaha

Dr.P acha masihara.

Walighushi barua,
Ni kama nchi ipo katika ukoloni baada ya kupata uhuru 1961.
Kughushi ni kosa la jinai, kama kuna any criminal liabilities, Chadema should have known what to do!. Haki haitekelezwi kwa hisia, bali kwa facts supported by evidence!.

Kama unahisi walifoji, kwanini usiwaripoti?. Barua ya uteuzi hujaiona kujiridhisha ni forgery, unawafutaje uanachama bila kuwasikiliza, bila ushahidi wowote?!.
P
 
Kughushi ni kosa la jinai, kama kuna any criminal liabilities, Chadema should have known what to do!. Haki haitekelezwi kwa hisia, bali kwa facts supported by evidence!.

Kama unahisi walifoji, kwanini usiwaripoti?. Barua ya uteuzi hujaiona kujiridhisha ni forgery, unawafutaje uanachama bila kuwasikiliza, bila ushahidi wowote?!.
P
Mahakama zetu si unazijua lakini mkiuu?
Mahakama bado ni tatizo.

Lakini uamuzi wa mahakama ulisharidhia Mdee na wenzake 19 kufukuzwa na kamati kuu.

Suala la Mdee ni kituko katika bunge letu.Tusilifanyie mdhaha.
 
Back
Top Bottom