TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
TV si ya kwake. Nadhani TV pia haijiendeshi kibiasharA bali ruzuku za mmilikiSawa kaka hatutakosa hapo ila siku nyingine uwalete na kina lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TV si ya kwake. Nadhani TV pia haijiendeshi kibiasharA bali ruzuku za mmilikiSawa kaka hatutakosa hapo ila siku nyingine uwalete na kina lisu
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali
Hao vibaraka nani anataka kuwasikia. Duniani kuna wehu ila CHADOMO wamezidi. Eti Lema mwenyekiti wa kanda? Jambazi, mvuta bangi tunayemfahamu.
CCM ni km maji ndugu huwezi ikwepa.
We una nini umekifanyia nchi hii, nani hata anakufahamu? Kaa mbali na wenye akili
Wassira Ndiye anajua Siasa kuliko hao wengine wote
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali
Sasa Chadema kwa Wassira ni wachumba tu japokuwa Wewe ni CCM Huko umesombwa na Mashemeji tu wa Uchaggani!
Akimualika Lissu alafu achafue hali ya hewa, Itamgharimu zaidi Paskali.Bwana Paskali Mayalla anasema anatumia kipindi chake kuwapa watanzania ELIMU YA KATIBA na SHERIA, lakini wakati huohuo kipindi anachokiandaa kimejaa watu ambaye yeye anawaita WANASIASA NGULI, watu ambao wanazifahamu sheria kama raia na wanasiasa, lakini siyo WANASHERIA WENYE UTAALAMU WA KATIBA. Hivi kweli hawa WAZEE WA COLD-WAR aina ya Wassira na Cheyo ndiyo waje kutufundisha sisi watanzania kuhusu mabadiliko ya kikatiba kweli ? Walau hata Zitto Kabwe naweza kukuelewa.
Aiseeh....
Bila kusahau Jaji Mstaafu mzee wetu Warioba.Bila Dr Mdude, mh Tundu Antipas Lisu na Wakili msomi Mwabukusi hamna la maana hapo
Magufuli: Watanzania siyo Wajinga
Ataalikwa tena nitawaalika wote 19, watuambie barua yao aliandika nani, alisaini nani, na ali stamp nani?, maana barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC ni bona-fide genuine!.Mbona HalimaM Mdee hajaalikwa?
Hebu msikilize hapa kwa kutuoMuda wake umepita apumzike
HahahaAtaalikwa tena nitawaalika wote 19, watuambie barua yao aliandika nani, alisaini nani, na ali stamp nani?, maana barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC ni bona-fide genuine!.
P
Kipindi hakitakuwa na mvuto.Sasa mbona walioitwa wote ni MACHAWA? Maana ktk hao wote hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kumkosoa hangaya
Kughushi ni kosa la jinai, kama kuna any criminal liabilities, Chadema should have known what to do!. Haki haitekelezwi kwa hisia, bali kwa facts supported by evidence!.Hahaha
Dr.P acha masihara.
Walighushi barua,
Ni kama nchi ipo katika ukoloni baada ya kupata uhuru 1961.
Mahakama zetu si unazijua lakini mkiuu?Kughushi ni kosa la jinai, kama kuna any criminal liabilities, Chadema should have known what to do!. Haki haitekelezwi kwa hisia, bali kwa facts supported by evidence!.
Kama unahisi walifoji, kwanini usiwaripoti?. Barua ya uteuzi hujaiona kujiridhisha ni forgery, unawafutaje uanachama bila kuwasikiliza, bila ushahidi wowote?!.
P