Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wakati namwambia GENTAMYCINE kwamba Mangungu ni mtoto wa Libya street, amekulia Uhindini na anawajuwa Wahindi aliishia kunikebei, sasa ndio mtaelewa Murtaza anamjuwa vizuri Mwamedi ni magumashi tu.Mo naye amekuwa na ujinga. Unarudisha key persons kutoka kwenye board ilioshindwa na kujiudhuru. Huu ni upuuzi wa kiwango cha CCM.
labda wamekaa chini wakajua wapi wamekosea au pengine hakuna wengine bora zaidi ya hao au ndio pigo za CCM maswali ni mengiLakini walijiuzuru, maana yake nini
Afadhali ya MO, waliotia fola ni Mashabiki na wanachama wa Simba. wajumbe walipojiuzururu Simba walishangiia sana, na waliporudishwa waemeshangilia zaidi.Mangungu ni Kama alishtukia kamchezo ka mhindi wa Bombay alikotaka kukafanya ili na yeye akae pembeni afanikishe jambo lake lakini mtoto wa mjini akausoma mchezo kwa umakini na kuupangua!
Bwana kanjibhai karudisha wajumbe wa bodi wale wale kina try again Sasa unajiuliza kulikuwa na haja Gani ya wajumbe hao kujiuzulu?
Wanajiuzulu asubuhi alafu jioni wanarudi Tena???
Wajumbe hao si ndio waliosema wanajiuzulu kwa kushindwa kufikia malengo ya klabu imekuwaje Tena wanarudishwa na wanakubali kurudi?
Ina maana kulikuwa na kamchezo kanafanyika ili kusudi apigwe pia mangungu presha ya kujiuzulu na jopo lake Kisha mhindi arudishe jeshi lake lilelile kwa mlango wa nyuma afanye yake!
Nampongeza mangungu kwa intelijensia yake Kali na aendelee kushikilia hapo hapo kumbe Kuna watu wanataka kuipora Simba kirejareja!
Try again alijiuzulu akaomba mhindi arudi kuwa mwenyekiti wa bodi, Kisha mhindi amemteua Tena kuwa mjumbe wa bodi hivi vichekesho tunaviona Simba tu walahi!
Sasa Mo awasuse mara ngapi, keshawasusa mara kibao na mnamlamba miguu kubembeleza, kukutana na chuma Mangungu kikamwambia ujanja ujanja hapa mwisho sizoelekiKuendelea kwa Mo kuwepo Simba kumewaumiza Sana Utopolo....!
Ndoto Zao Mo naye Asuse...!
Afadhali ya MO, waliota fola ni Mashabiki wanachaa na wamacjama wa Simba. wajumbe walipojiuzururu Simba walishangiia sana, na waliporudishwa waemshangilia zaidi.
Ni mpumbavu tu,anayetumika na yanga kuleta migogoro Simba.Mangungu ni Kama alishtukia kamchezo ka mhindi wa Bombay alikotaka kukafanya ili na yeye akae pembeni afanikishe jambo lake lakini mtoto wa mjini akausoma mchezo kwa umakini na kuupangua!
Bwana kanjibhai karudisha wajumbe wa bodi wale wale kina try again Sasa unajiuliza kulikuwa na haja Gani ya wajumbe hao kujiuzulu?
Wanajiuzulu asubuhi alafu jioni wanarudi Tena?
Wajumbe hao si ndio waliosema wanajiuzulu kwa kushindwa kufikia malengo ya klabu imekuwaje Tena wanarudishwa na wanakubali kurudi?
Ina maana kulikuwa na kamchezo kanafanyika ili kusudi apigwe pia mangungu presha ya kujiuzulu na jopo lake Kisha mhindi arudishe jeshi lake lilelile kwa mlango wa nyuma afanye yake!
Nampongeza mangungu kwa intelijensia yake Kali na aendelee kushikilia hapo hapo kumbe Kuna watu wanataka kuipora Simba kirejareja!
Try again alijiuzulu akaomba mhindi arudi kuwa mwenyekiti wa bodi, Kisha mhindi amemteua Tena kuwa mjumbe wa bodi hivi vichekesho tunaviona Simba tu walahi!
Ni mpumbavu tu,anayetumika na yanga kuleta migogoro Simba.
Huyu mzee ana faida gani unayoiona hapo zaidi ya kuwa kikwazo tu?
Timu haipati matokeo kwa sababu ya mhuni mmoja anayejaribu kupambana na mwekezaji na kuna tetesi amepewa pesa ampigie ndogo ndogo ndogo wa GSM ili apewe timu!
Kifupi kabisa sipendi watu wajinga wajinga kama huyu mzee
Mashabiki wa Simba mkianza kujitambua namna hii timu itasongq mbele. Haiwezekani Mtu aliyejiuzulu ateue Mtu wa kushika nafasi yake, kisha aliyeteuliwa naye amteue aliyejiuzulu. Uliona wapi usanii wa Aina hii?Mo naye amekuwa na ujinga. Unarudisha key persons kutoka kwenye board ilioshindwa na kujiudhuru. Huu ni upuuzi wa kiwango cha CCM.
Siyo Kila Mtu ana kipaji cha kujikomba na kujipendekeza kama wewe. Watu mnatafuta furaha ya Muda mfupi Kwa kuuza utu wenu?Ni mpumbavu tu,anayetumika na yanga kuleta migogoro Simba.
Huyu mzee ana faida gani unayoiona hapo zaidi ya kuwa kikwazo tu?
Timu haipati matokeo kwa sababu ya mhuni mmoja anayejaribu kupambana na mwekezaji na kuna tetesi amepewa pesa ampigie ndogo ndogo ndogo wa GSM ili apewe timu!
Kifupi kabisa sipendi watu wajinga wajinga kama huyu mzee
Kwani Mkuu wewe umemuelewa alichoandika? Mimi sijaelewa.Duh kama ndio hivyo huu ni upuuzi