Mangungu: Basi la Timu limeuzwa, haliko kwenye matengenezo kama ilivyotajwa awali

Hilo basi analosema limeuzwa ni lipi? Lililouzwa kabla hajaingia madarakani tunalijua liliuzwa Mtwara. Hili la Africarriers tuliloambiwa na Ahmed Ally nalo limeizwa?
 
Hilo basi analosema limeuzwa ni lipi? Lililouzwa kabla hajaingia madarakani tunalijua liliuzwa Mtwara. Hili la Africarriers tuliloambiwa na Ahmed Ally nalo limeizwa?
Yote Mkuu ndiyo maana timu yetu siku hizi inakodi daladala za Buza
 
Sasa nimeanini kwanini wale wazee wakiongozwa na Kilomoni walikataa kukabidhi Nyaraka muhimu za klabu kwa Wahuni.
Wahuni awatabiriki.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sports pesa hawajawahi kutoa basi najua TBL ndio walitoa basi kwa simba, yanga na TFF.
 
Kwa kuweka tu kumbukumbu sawa; zile Yutong zilinunuliwa na mdhamini wa kipindi hicho (Kilimanjaro Lager).

Sportpesa waliyapaka tu rangi na kuweka nembo yao, baada ya hizo timu mbili kumaliza mkataba wao na hiyo bia ya Kilimanjaro.
 
Duuuh kumbe bus wamejiuzia wenyewe hao viongozi wa Simba [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ona hili hapa nimelipata [emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…