mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Yaliyomo yamo, habar kamili [emoji116]
Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameeleza kuwa basi la timu hiyo limeuzwa na halipo kwenye matengenezo tofauti na ilivyoelezwa hapo awali.
Murtaza amesema hayo leo, Januari 20, 2022 wakati akifanya kampeni za kuomba kura za kuendelea kushikilia nafasi hiyo Uenyekiti katika uchaguzi utakaofanyika Januari 29, 2023.
"Basi la Simba limeuzwa mimi nikiwa sipo kwenye uongozi sikuwa mjumbe wa bodi wala Mwenyekiti wa timu kama nilivyo sasa lakini baada ya kufuatilia hili suala lilipelekwa kwenye bodi ya klabu na wajumbe tumefuatilia na kubaini kuwa limeuzwa kwa kufuata taratibu,” amesema Mangungu.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameeleza kuwa basi la timu hiyo limeuzwa na halipo kwenye matengenezo tofauti na ilivyoelezwa hapo awali.
Murtaza amesema hayo leo, Januari 20, 2022 wakati akifanya kampeni za kuomba kura za kuendelea kushikilia nafasi hiyo Uenyekiti katika uchaguzi utakaofanyika Januari 29, 2023.
"Basi la Simba limeuzwa mimi nikiwa sipo kwenye uongozi sikuwa mjumbe wa bodi wala Mwenyekiti wa timu kama nilivyo sasa lakini baada ya kufuatilia hili suala lilipelekwa kwenye bodi ya klabu na wajumbe tumefuatilia na kubaini kuwa limeuzwa kwa kufuata taratibu,” amesema Mangungu.