Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Tunaomba mchango wako ili tufanikishe zoezi la usajili. Mwenyekiti ameshasema! Kinachofuatia ni utekelezaji tu.Naona Mangungu anawapa content utopolo..endeleeni kukontentika....
Mlio karibu naye pelekeni Mirembe huyu mzee... [emoji599] π‘ππ§ππ¦πππππ π πͺππ‘π¬ππͺπ
"Pesa za usajiri niko tayari kutoa mwenyewe kwa kushirikiana na wanachama na wapenzi wa Simba, kwa sasa natafuta Mkurugenzi wa ufundi ambaye atakuwa na jukumu la kusimamia mtandao wa usajili na upembuzi wa kina kabla ya mchezaji kusajiliwa.β
[emoji2399] Murtza Mangungu.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC
Kha! Mwekezaji ametoa bilioni zake 20+ kuinunua timu, halafu kirahisi tu unataka akuachie nini!!Sawa kabisa mo atuachie timu yetu aondoke hatumtaki
Ngungus Boy yupo sana mpaka amalize nyundo zake nneNaona Mangungu anawapa content utopolo..endeleeni kukontentika....
Unaijua katiba ya 5imba kama anavyoijua mbobevu Ngungus Boy?Kabla hajatoa hizo pesa zake ni aidha atakuwa ametoka Simba au amehamia ulimwengu mwingine,,,
Tatizo lipo hapaHaya waje wale waliokuwa wanamtetea huyu kibaraka kuwa hana nguvu. Kumbe ana nguvu ya kuleta hadi Mkurugenzi wa Ufundi na kusajili wachezaji? Uto mlipopatia ni kuchomeka viongozi kama hawa waivuruge Simba na kuiba siri za klabu.