Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

Mkuu huu mtizamo wako sipingani nao, ila ngoja tutaangalia katika comments za wachangiaji wengine ili tuone wapi panakimbiza kutokana na sifa zilizoorodheshwa hapo juu.
Yaah ila kama kuna sehemu inabeat Ilala utanijuza...kimiundombinu,kimajengo,kila kitu kipo Ilala pale
 
Yaah ila kama kuna sehemu inabeat Ilala utanijuza...kimiundombinu,kimajengo,kila kitu kipo Ilala pale
Yah nitakujuza mkuu, ila kuna mwana JF mmoja hapo juu aliandika kwamba Ilala inaongoza zaidi kibiashara, ila kwa sifa zingine hapo juu yeye kaipa Kinondoni.
 
Kinondoni ni moto wa kuotea mbali mkuu asikudanganye mtu.
 
🤭kumbe waishio chanika,mvuti,msongola na kivule ni machizi(punguani kabisa)si eti?!!!!!
Hahaha naona yeye kazungumza kimisemo yetu ya mjini mjini mkuu, wala hakuwa na nia mbaya😀😀
 
Wilaya ni Kinondoni uende kuishi Chanika Una akili kweli wewe
Mbona rais # 2 anaishi huko

Na kuna wazito wengi tu huko

Dar kila maeneo kuna sehemu zingine ni nzuri na watu wanaishi

Hiyo kiluvya tu kuna mahali ukienda watu wamejenga tena kuko kimpangilio wamejaa mashuwa tu

Kivule pia kuna maeneo,mitaa iko vizuri tu watu wanaishi safi

Ova
 
Hapana aisee....

I wish hata angekuwa mimi....sema namfuatilia sana...jamaa yuko smart na video zake ziko poa
Ya ki ukweli jamaa video zake zinavutia sana kuangalia. Hata mimi ni mfuatiliaji wake mkubwa sana wa video zake.
 
Kinondoni ndio wilaya iliyoendelea Tanzania...
Bila shaka wengi humu wanaipa Kinondoni kuwa ndio ya kwanza. Kwahiyo nakubaliana na ww katika mtizamo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…