Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

Mkuu raisi wa 2 anaishi huko au ulitaka kumaanisha alizaliwa huko?

Maana ninachojua ana majumba yake huko ostabay ambayo ni Kinondoni. Sina uhakika kama ana mjengo huko uliposema.
 
upatikanaji wa memeπŸ˜‚πŸ˜€Ivi kwan ulikua unakimbizwa huku una type?
 
Mkuu raisi wa 2 anaishi huko au ulitaka kumaanisha alizaliwa huko?

Maana ninachojua ana majumba yake huko ostabay ambayo ni Kinondoni. Sina uhakika kama ana mjengo huko uliposema.
Ameishi huko muda tu hajawahi kukaa obay au masaki
Hata igp mstaafu anamjengo huko
Kuna matop wengi wanaishi huko

Ova
 
Ameishi huko muda tu hajawahi kukaa obay au masaki
Hata igp mstaafu anamjengo huko
Kuna matop wengi wanaishi huko

Ova
Ok nilikuwa sifahamu, hilo la IGP mstaafu nalifahamu mkuu.
 
Majengo kumi tu ya pale Posta yanaweza kua na thamani yamajengo 5000 ya kinondoni
Pspf towers,TPA Tower,Mnf Tower, pension fund Tower Benjamin mkapa....
Hayo majengo yanaweza safisha vibanda 5000 vya kinondoni
 
Majengo kumi tu ya pale Posta yanaweza kua na thamani yamajengo 5000 ya kinondoni
Pspf towers,TPA Tower,Mnf Tower, pension fund Tower Benjamin mkapa....
Hayo majengo yanaweza safisha vibanda 5000 vya kinondoni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…