Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

hapo ndo ujue we ni mjinga kabisa. epa walishafungwa sana, kwa wale wanaoenda kisutu mara nyingi tunawajua kina katiti na wenzake...tatizo mnafikiria kwa kupitia masaburi. sio vitu vyote serikali inashindwa......

Nikiendelea kubishana na wewe ntapoteza muda
 
ivi manji ni raia kwa kuzaliwa au amepata uraia kwa kuhamia?
 
Kiko wapi baba mdogo ,mnapoteza kitu kimoja tu?muwe ma judge na mahakimu ccm wote hapo mta win
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Haya mkuu,tumeshasubiri hukumu imetoka serikali imekosa ushahid,,,,hivyo Manji hana hatia,,,,,,,,,,,lete maneno tena ya kuitetea serikali
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Mkuu tumeshasubiri sasa na tumeona matokeo yake .

Zero kwenye paper hata kwenye kuwaza ni zero pia aka DAB bingwa wa kushindwa.
 
Siyo ka punch wamebanwa baada ya containers za dengu na mbaazi kurudishwa. Wangefanyaje?
 
Mkuu tumeshasubiri sasa na tumeona matokeo yake .

Zero kwenye paper hata kwenye kuwaza ni zero pia aka DAB bingwa wa kushindwa.
hahahaha, sawa bwana leo wewe mshindi. tutakutana siku ingine mtani.
 
Haya mkuu,tumeshasubiri hukumu imetoka serikali imekosa ushahid,,,,hivyo Manji hana hatia,,,,,,,,,,,lete maneno tena ya kuitetea serikali
ule ulikuwa utani tu mkuu, kama simba na yanga, lakini kwasasaivi, kwa serikali hii, hakuna anayesapoti wanachofanya, labda wanaofaidina nayo. ni kuleta tu hoja pingamizi ili kunogesha thread lakini kiuhalisia, niko upande wenu.
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Habari mkuu,kesi inaendeleaje..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…