Manji amuokoa Komba, anunua shule zake

Manji amuokoa Komba, anunua shule zake

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake zote ambazo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.

Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.

Source: Mwananchi.

MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama Komba angefungwa jela kile kitambi chake angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lililotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi? Chezea mkopo wewe!
 
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake ambayo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.

Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.

Source: Mwananchi.

MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama komba angefungwa jela kile kitambi angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lilotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi. Chezea mikopo wewe!

Jamani kama mtu hujui sheria ni vizuri ukaepuka ku-comment kisheria. Tangu lini kesi ya madai ikampeleka mtu jela.
 
Jamani kama mtu hujui sheria ni vizuri ukaepuka ku-comment kisheria. Tangu lini kesi ya madai ikampeleka mtu jela.

Mbona unaonekana kupanic vp huyo mzee wa kitambi ni baba yako?
 
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake zote ambazo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.

Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.

Source: Mwananchi.

MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama Komba angefungwa jela kile kitambi chake angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lililotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi? Chezea mkopo wewe!

Imekaa kimipasho zaidi ...
 
Ni sheria gani inayoruhusu mdaiwa kufungwa?

Mkuu kumbe nyie wanasheria ukiulizwa swali, unajibu kwa kuuliza swali, nlipokuuliza nlitaka unifahamishe tu, ila kutokana na hiki ulichoandika hapa nachelea kusema hujui sheria au unanibania hiyo shule mkulu.

Asante.
 
Mkuu kumbe nyie wanasheria ukiulizwa swali, unajibu kwa kuuliza swali, nlipokuuliza nlitaka unifahamishe tu, ila kutokana na hiki ulichoandika hapa nachelea kusema hujui sheria au unanibania hiyo shule mkulu.

Asante.

Swali lako halikumaanisha kuwa unataka kuelimishwa bali lilionesha kuwa unajua kuwa ninadanganya. BTW, kesi zote za madai zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria ya madai ambo hukumu yake ni kulipa deni na sio kama sheria ya makosa ya jinai ambayo hukumu yake ni aidha kufungwa, faini au kuachiwa huru.
 
Swali lako halikumaanisha kuwa unataka kuelimishwa bali lilionesha kuwa unajua kuwa ninadanganya. BTW, kesi zote za madai zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria ya madai ambo hukumu yake ni kulipa deni na sio kama sheria ya makosa ya jinai ambayo hukumu yake ni aidha kufungwa, faini au kuachiwa huru.

Na endapo mahakama itathibitisha beyond reasonable doubt kwamba mdaiwa hawezi kulipa deni nini huwa kinafanyika?

Halafu skufikiri kwamba unadanganya ni mtizamo wako tu.

Asante.
 
Kuna habari iliwahi kuletwa hapa na Mh. Ngongo kuwa TACAIDS ndio wamemuokoa Komba.
 
Last edited by a moderator:
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake zote ambazo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.

Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.

Source: Mwananchi.

MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama Komba angefungwa jela kile kitambi chake angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lililotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi? Chezea mkopo wewe!

wangeuza tuu hizo shule
 
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake zote ambazo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.

Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.

Source: Mwananchi.

MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama Komba angefungwa jela kile kitambi chake angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lililotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi? Chezea mkopo wewe!

crdb wanakusanya hela zao maana wenye shea zao kubwa wanataka kutoa
 
Back
Top Bottom