Manual na Automatic

Manual na Automatic

Mkuu unaonekana umekulia kwenye maisha magumu.
Bado huamini katika maisha ya neema
kwakweli kama wewe unaendesha gari ndogo automatic na gari yenye gear ya manual huwezi hata kuwasha, basi jua wewe si dereva bali ni msindikizaji, haswa kwa sisi wanaume unakuta dume zima lakini ukimwambia awashe gari yenye mfumo wa manual transmission hawezi, jua kabisa katika kundi la madereva wewe haupo,

Ukienda arusha unakuta dada anaendesha manual transmission hadi raha halafu wewe kidume hata ukipewa funguo huwezi kuwasha, na wakina dada mnaoendesha magari yenye mfumo wa automatic yaani nyinyi ndio vilaza kabisaaa na siwezi kuwakalia karibu endapo nitagundua mwanamke ndio a aendesha.

Mwanamke anaendesha auto she always a learner no matter how long she have been riding.

Real men use three pedal
 
Hasa tanzania ndo zimezidi hzi auto, mbona uingereza wenzetu ni manual tuu! Eti bongo kuna foleni ndo, manual inaleta usumbufu... Ndugu yngu kwa uvivu huu hatutaweza kujitawala kamwe. The real men uses three pedel!
Nyie ndo mnatembea mmejivika mashuka mjini huku pumbu zinaninginia,kuoga hamtaki mnanuka kikwapa kisa eti mnadunusha utamaduni wa mababu zenu wa zama za mawe.
 
kwakweli kama wewe unaendesha gari ndogo automatic na gari yenye gear ya manual huwezi hata kuwasha, basi jua wewe si dereva bali ni msindikizaji, haswa kwa sisi wanaume unakuta dume zima lakini ukimwambia awashe gari yenye mfumo wa manual transmission hawezi, jua kabisa katika kundi la madereva wewe haupo,

Ukienda arusha unakuta dada anaendesha manual transmission hadi raha halafu wewe kidume hata ukipewa funguo huwezi kuwasha, na wakina dada mnaoendesha magari yenye mfumo wa automatic yaani nyinyi ndio vilaza kabisaaa na siwezi kuwakalia karibu endapo nitagundua mwanamke ndio a aendesha.

Mwanamke anaendesha auto she always a learner no matter how long she have been riding.

Real men use three pedal
Mzee Baba unaejiita Real Men, kipimo cha kuwa Real ni kujua kuendesha Gari yenye Manual transmition?????[emoji15] [emoji216] Na kwahiyo unataka kusema kuwa WASIOJUA EITHER OF THE TWO. NI WANAWAKE!??? MAANA KUNA WANAUME WASIOJUA HATA KAMA HUWA KUNA PEDAL 2 AU 3 !? CHUNGA SANA EEEEBOO
 
Mzee Baba unaejiita Real Men, kipimo cha kuwa Real ni kujua kuendesha Gari yenye Manual transmition?????[emoji15] [emoji216] Na kwahiyo unataka kusema kuwa WASIOJUA EITHER OF THE TWO. NI WANAWAKE!??? MAANA KUNA WANAUME WASIOJUA HATA KAMA HUWA KUNA PEDAL 2 AU 3 !? CHUNGA SANA EEEEBOO
Mbona povu sana
 
nyie wenye auto gari ikifeli brake mnachukuaga hatua gani au ndo kufa kidigitali
 
Back
Top Bottom