Pancho panchilo
Senior Member
- May 18, 2017
- 121
- 95
Tena haeaziwezi hta kwa dawa![emoji23].... Usotokwe povu sijamtaja mtu..wanaoponda manual hawaziwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena haeaziwezi hta kwa dawa![emoji23].... Usotokwe povu sijamtaja mtu..wanaoponda manual hawaziwezi
Hasa tanzania ndo zimezidi hzi auto, mbona uingereza wenzetu ni manual tuu! Eti bongo kuna foleni ndo, manual inaleta usumbufu... Ndugu yngu kwa uvivu huu hatutaweza kujitawala kamwe. The real men uses three pedel!kwakweli kama wewe unaendesha gari ndogo automatic na gari yenye gear ya manual huwezi hata kuwasha, basi jua wewe si dereva bali ni msindikizaji, haswa kwa sisi wanaume unakuta dume zima lakini ukimwambia awashe gari yenye mfumo wa manual transmission hawezi, jua kabisa katika kundi la madereva wewe haupo, ukienda arusha unakuta dada anaendesha manual transmission hadi raha halafu wewe kidume hata ukipewa funguo huwezi kuwasha, na wakina dada mnaoendesha magari yenye mfumo wa automatic yaani nyinyi ndio vilaza kabisaaa na siwezi kuwakalia karibu endapo nitagundua mwanamke ndio a aendesha, mwanamke anaendesha auto she always a learner no matter how long she have been riding. Real men use three pedal
MAGARI
asanteAcha kukariri mkuu.kama wewe hujaziona au tanzania hakuna au hujawahi ona sawa.but zipo na zinatengenezwa kama kawaidaaa
Sijakusoma mkuuu,,Mara manual ni beii juu,,Mara watu hawazipendi,,,,ukweli ni UPI?ninavojua hii teknolojia imepitwa na wakati,,so manual now daiz being iko chini course watu hawanunui tenaGari zpo manual ila bei yake n juu kulinganisha na automatic.. Na pia nwdays watu hawapend manual ndio mana nyng unakuta n automatic hawapend usumbufu[emoji622]
Lakin mkuu bavaria ishu iko hvi:Eti Real Men drive with three pedals.
Wewe masikini hivyo unawapangia watu waendeshe nini?
Nimeendesha Manual miaka zaidi ya 10 sasa hivi sina jinsi zaidi ya kutumia gari zenye paddle shifts au auto zaidi.
Dunia inabadilia, teknolojia inakuwa more simplified.
Ndio maana hata siku hizi simu za button zinapotea.
Hata hizo manual zinakuwa simplified to paddle shifts.
sioni hoja uliyoandika rudi shuleEti Real Men drive with three pedals.
Wewe masikini hivyo unawapangia watu waendeshe nini?
Nimeendesha Manual miaka zaidi ya 10 sasa hivi sina jinsi zaidi ya kutumia gari zenye paddle shifts au auto zaidi.
Dunia inabadilia, teknolojia inakuwa more simplified.
Ndio maana hata siku hizi simu za button zinapotea.
Hata hizo manual zinakuwa simplified to paddle shifts.
kwakweli kama wewe unaendesha gari ndogo automatic na gari yenye gear ya manual huwezi hata kuwasha, basi jua wewe si dereva bali ni msindikizaji, haswa kwa sisi wanaume unakuta dume zima lakini ukimwambia awashe gari yenye mfumo wa manual transmission hawezi, jua kabisa katika kundi la madereva wewe haupo, ukienda arusha unakuta dada anaendesha manual transmission hadi raha halafu wewe kidume hata ukipewa funguo huwezi kuwasha, na wakina dada mnaoendesha magari yenye mfumo wa automatic yaani nyinyi ndio vilaza kabisaaa na siwezi kuwakalia karibu endapo nitagundua mwanamke ndio a aendesha, mwanamke anaendesha auto she always a learner no matter how long she have been riding. Real men use three pedal
MAGARI
halafu sidhani kama kuna gari ndogo zinatoka ambazo ni Manual. transmission kwa sasa
kama ipo ipo nitafutie IST manual mkuuu
Acha kujidanganya na kujiweka kwenye fungu la wajinga Dereva mzuri ni yule anaeendesha gari zote kwa makini na kanuni zote za usalama barabarani hakuna Dereva wa automatic zile ni gari za walemavu wazima tunaendesha tu kwa kuwa ndiyo zipo Gari ya Dereva ni manual tuhuyu Jmaa fala kweli
Manual transmission zinaaanza kufa sasa hivi ni Automatic ndio zimetawala
Check Scania hizo R series zote ni Auto usikariri maisha. mjomba zile Landrover 108 ni mateso tuuu
A
Acha ushamba
zinazotoka sasa hivi mkuu hzo ni zamani mkuuuGari ndogo manual zipo kibao sana. Noah za mwaka 1999 na 2000 zipo manual, Hyundai i10 (zingine voda walikuwa wanagawa bure) ni manual. Toyota Yaris za 2002 nyingi manual. Sema tu inabidi tubadilike kadri teknolojia inavyobadilika
Acha kujidanganya na kujiweka kwenye fungu la wajinga Dereva mzuri ni yule anaeendesha gari zote kwa makini na kanuni zote za usalama barabarani hakuna Dereva wa automatic zile ni gari za walemavu wazima tunaendesha tu kwa kuwa ndiyo zipo Gari ya Dereva ni manual tu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
nitafutie IST manual mkuu
Hatare kabisa. Weka mbali na watoto hio Tdi.Hataare sana, kitu kama hiki[emoji116] [emoji116] [emoji116]
![]()
Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app