Hii bomb [emoji378] ni kwa wale wanaopenda harufu zenye makelele,uko hapa wa mtaa wa tatu anajua umepita...
Mnaopenda harufu tulivu achaneni nayo..
8 sprays ni siku nzima.View attachment 2229146
hii ndo pafyumu yangu nayotumia ,haina bwembwe nyingiRoyale blue
Sijui ni sh. Ngap kwa pesa yetuBei ngapi hii
Hainaga kelele hiiRoyale blue
Cool Water King of compliments [emoji1][emoji91]Heshima ya cool waterView attachment 2245414
Laki 1 na 30
😂😂😂Cobra, simla, na Yu .these are the best of the best.
Umenunua chimbo la bei kubwa.Nimeuziwa kichupa cha 10 ml. shilingi 10,000. Hata mwezi haujatimia naona kinaisha
View attachment 2217006
Chimbo liko wapi niende hata jioni hii. Nielekeze nduguUmenunua chimbo la bei kubwa.
Kuna chimbo huo ujazo ni Elfu 5 tu.
Ya elfu 10 ni hii.View attachment 2252363
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kariakoo pale barabara ya uhuru .Chimbo liko wapi niende hata jioni hii. Nielekeze ndugu
Kiongozi nimeenda.Kariakoo pale barabara ya uhuru .
Gari zinazotoka kinyerezi au segerea huwa zinapark pale zinapakia kabla hazijaenda mnazi mmoja.
Sasa pale pale zinapopark gari,Kwa mbele kidogo Kuna zebra..
Ukivuka zebra u unaingia kwenye njia hiyohiyo ina maduka ,duka la kwanza la pili la tatu ndio hapohapo.
Au kama umetokea shimoni huku,,unanyosha na hiyo barabara hadi uikute barabara ya uhuru.
Unavuka barabara kwenye zebra..
Hapo hapo Kuna maduka hayo,
Ukiuliza duka la perfume za kupima utalipata.
Hayo machimbo mengine yote huwa wanatoa hapo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Umeingia sipo.Kiongozi nimeenda.
Nikavuka hiyo zebra.
Lakin mbona nimekuta yamepangana maduka ya Madawa na Electronics tu.
Mfano hilo duka la tatu kutoka main road ni Pharmacy.
View attachment 2257335
Daah utakua umenisave sana ukija tupia picha.Umeingia sipo.
Usiingie barabara ya vumbi.,ukivuka rudi Kwa nyuma kidogo..Chocho yake ipo katikati ya maduka.
Kuna barabara Moja ya vumbi ndio hiyo,,nyingine ya nyuma Yake ina stationaries tu..sasa penyewe ni katikati.
Nitaenda j3 kununua,nitapiga picha hapo barabarani pa kuingilia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hapohapo ukitazama madukani utaona Kuna sehemu Ipo wazi,, ndani yake Kuna frem zimetazamana.Daah utakua umenisave sana ukija tupia picha.
Maana hapa nimerudi nimesimama kwenye hii Zebra.
Sijavuka bado, naangalia nikivuka hilo duka la tatu limeandikwa Westpoint Delta.
Hiyo Chocho siioni kabisaaa
View attachment 2257507