Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

Kitu hiki hapa, hilo pupwe lake si mchezo,
06f70dbb0fc65634be5aa8e782c832cb.jpg
How much.....??
 
Ngumu sana mi nipo chuga ila we nenda kwenye maduka makubwa ya vipodozi ulizia chastisty uwa zinaonekana hivi

97be4a92c05856013988f4369b4aa197.jpg
a30a944604dd66aa20e43ad936a03708.jpg
Hivi Kwa Arusha ni maduka gan naweza aina yeyote ya pafyumu ninayohitaji mkuu,nimejaribu kwenda Sakina Supermarket sijapata
 
Duh....nao walipiga sana sasa perfume ikae nusu saa kama sabuni family?kaka usingekubali ungerudi wakurudishie hela yako.
 
Hili nililisikia kwa mtaalam mmoja wa manukato kwamba unaweza kuta mtu anatumia perfume aina fulani akanukia vizuri sana ila mtu mwengine akajipulizia perfume hiyo hiyo akanukia kitu cha ajabu ajabu,akadai hali hii inatokana na kutofautiana aina ya jasho tunalotoa sijui ni kweli?hii ilinitokea nilibadilisha aina niliyoizoea watu wanaonijua wakawa wananiambia perfume nayotumia bora niiache hainifai ila alienishawishi kuinunua yeye ananukia vizuri.kama wataalam wapo humu naomba watufafanulie hili ni kweli au porojo tu?
 
Hili nililisikia kwa mtaalam mmoja wa manukato kwamba unaweza kuta mtu anatumia perfume aina fulani akanukia vizuri sana ila mtu mwengine akajipulizia perfume hiyo hiyo akanukia kitu cha ajabu ajabu,akadai hali hii inatokana na kutofautiana aina ya jasho tunalotoa sijui ni kweli?hii ilinitokea nilibadilisha aina niliyoizoea watu wanaonijua wakawa wananiambia perfume nayotumia bora niiache hainifai ila alienishawishi kuinunua yeye ananukia vizuri.kama wataalam wapo humu naomba watufafanulie hili ni kweli au porojo tu?
Skin chemical.pia unaweza ona mtu akijipulizia kwenye ngoz cologne ikakaa masaa 8+.na wewe ukajipulizia kama yeye ikadumu kwa 2hrs tu
 
Calvin Klein, Daviddoff, tunazo.


View attachment 490919


View attachment 490920

View attachment 490923


View attachment 490922

View attachment 490924

View attachment 490925
Bei zetu kwa baadhi ya products ni:

Davidoff Cool Water: 120,000/=
Calvin Klein for Men: 150,000/=
Jean Paul Gaultier: 100,000/=
Dolce and Gabbana: 120,000/=
Salvatore Ferragamo 120,000/=

Tunapatikana Kinondoni Road, Dar es Salaam, 0621 475574.

Mkuu, kitu Dior hamna(From France)!Kama kipo nambie nishuke
 
Calvin Klein, Daviddoff, tunazo.


View attachment 490919


View attachment 490920

View attachment 490923


View attachment 490922

View attachment 490924

View attachment 490925
Bei zetu kwa baadhi ya products ni:

Davidoff Cool Water: 120,000/=
Calvin Klein for Men: 150,000/=
Jean Paul Gaultier: 100,000/=
Dolce and Gabbana: 120,000/=
Salvatore Ferragamo 120,000/=

Tunapatikana Kinondoni Road, Dar es Salaam, 0621 475574.
Kinondoni road baada ya Barclays branch iliofungwa?
 
Kinondoni road baada ya Barclays branch iliofungwa?
Nimejaribu kutaka kununua bidhaa kutoka kwa jamaa.sema hana ofisi.alitaka tukutane barabarani tufanye biashara.hata account yake ya jamii forum ndo kwanza ni mpya.nimepata mashaka kiasi flani kibinaadam.
 
Back
Top Bottom