Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Nadhani ni DIAMOND JUBILEE upanga...Ni wapi huko tupeane location
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni DIAMOND JUBILEE upanga...Ni wapi huko tupeane location
KisiwanNi wapi huko tupeane location
Bado hapajachangamkaNi wapi huko tupeane location
Mlimani kuna dada anaitwa kim perfumeMlimani ndo zinapatikana kwa wingi au sehem nikapata perfume original
Sent using Jamii Forums mobile app
Active manSuper man!!
Elfu 5 tu ilaaaaa.....
Sh ngapi hii shangazi nataka nimnunulie mr.
Sh ngapi hii shangazi nataka nimnunulie mr.
Nitaiulizia shangazi asanteSijui bei zake kwa sasa,ila ni matoleo ya zamani sana..
HAKUNA, kwani wanaume hawatumii perfume, wanatumia cologne.Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one.
Mimi naomba kujua ni pafyum zipi nzuri za kiume?
Msaada tafadhari
Nitaiulizia shangazi asante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe mtu mzma unataka kunukia vizuri .. Anatakiwa kunukia harufu ya pmbu
Bei gani hizi shangazi?
Bei gani hizi shangazi?
380kSauvage dior chuma hiko sijajua bei yake lakn ni nzur sana
Nimeuziwa kichupa cha 10 ml. shilingi 10,000. Hata mwezi haujatimia naona kinaisha380k