Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia isyofutika zaidi ya miaka zaidi ya 43 sasa.Hizo ni histori
Acha kunywa visungura mkuu...APRIL 16,2023
FT: Simba SC 4 : 1 Young African
Leo kula mapema ushibe huo ni ushauri wa bureKolo hawezi mfunga yanga
Hata ungekuwa ni wewe ungekimbia tu. Yale mashuti ya Aziz Kii yanaogopesha!Manula na kapombe ni wasaliti ikikaribia derby tu wanajivunja ukiangalia mechi ya mwisho jinsi manula alivyoumia unaona kabisa ni usanii tu kafanya.
Dah! Naona hofu imekujaa kweli kweli mkurugenzi! Imagine wachezaji muhimu kama hao wanakosekana kwenye mechi ngumu kama hii ya leo!Habari wakuu.
Inasemekana
Wachezaji wafuatao wataukosa mchezo wa Leo dhidi Ya YANGA.
1. Aishi Manura
2. Beno kakolanya.
3. Henock Inonga.
4. Shomary kapombe na
5. Sadio Kanute .
KWA NINI UONGOZI USISEME UKWELI.
UNAFICHA NINI KWA FAIDA GANI????.
NB. HAYA NDIO MADHARA YA UBAHILI WA MO KULETA WACHEZAJI WABOVU. UNAKOSA HATA REPLACEMENT.
MIZIGO IMEZIDI SIMBA.
Sioni nafasi ya Simba kupata ushindi siku ya Leo.
POLENI SANA WANASIMBA.